Watanganyika ajira za TRA 1574 Wazanzibar wametengewa 21%

Watanganyika ajira za TRA 1574 Wazanzibar wametengewa 21%

Ubia ni 50/50,yaani hapo bado mmewaonea sana, mara nne? No hii haikubaliki, muungano ni inchi kwa inchi so mgao ni nusu kwa nusu


Siku mkiiachia Zanzibar na mambo yao ndio siku mtamaliza mzizi wa fitina,

Ila kwa sasa endeleeni kuumia tu, si mliyataka wenyewe?
50/50 umeitoa wapi? Watanganyika hawawezi kuajiriwa Zanzibar sekta yeyote serikalini.
 
Heshima sana wanajamvi.

TRA wametangaza ajira mpya 1,574.

Hili ni jamba zuri sana vijana wetu watapata ajira za uhakika zenye mishahara mizuri na nafasi kubwa ya kutengeneza kipata cha ziada kupitia urefu wa kamba zao.

Kitu wasichakijua WATANGANYIKA katika ajira hizo WAZANZIBAR wametengewa nafasi 331 huku WATANGANYIKA MACHOGO wakitengewa 1243 tu.

Idadi ya watu TANGANYIKA ni zaidi ya 64 Million idadi ya watu ZANZIBAR ni 836,000.
Hizi hesabu nimejaribu kuzipiga,kugawanya,kuzidisha nimetoka kapa.

Huu upuuzi uliletwa na Mchengerwa katika bunge hili linalomaliza muda wake WABUNGE wetu hawakuhoji,hawakudadisi,hawakuuliza waligonga meza kama kawaida yao.

Wakati LISSU akishangaa idadi ya wabunge wa ZANZIBAR kuchanguliwa na wastani wa watu 11,000 tu wakati wabunge wa TANGANYIKA wanachaguliwa na idadi ya watu 300,000 na kuendelea angejiuliza na kudadi inakuwaje WAZANZIBAR wanatengewa nafasi 331 katika taasisi moja tu.Siku BOT wakitangaza ajira utaratibu ni huo huo.

Lissu badala ya kutazama nafasi za kisiasa pekee yake angetazama pia suala zima la ajira katika hii JMT.
Mkuu hoja yako niya kitoto sana...huu ubaguzi unaoshadadia nakushauri uachane nao
 
Aise inaumiza sana mbona sisi watanganyika ajira zao za ZRA hatuna uwezo wa kuomba?.....Nyerere alituingiza chaka sana japo wengi mnahisi alikua mwema sana.
 
Huu muungano Nyerere alituingiza chaka Watanganyika kuchomoka ni ngumu
sijui yule mzee aliwaza nin!
 
Mbona nyny serelikal yenu inafungamana na dini yetu hapana natukija huko mnatubagua sana mtu unaulizwa kwann hujaswali .serikal yenu inatakiwa kuacha kufungamana na din kwanza
 
Ubia ni 50/50,yaani hapo bado mmewaonea sana, mara nne? No hii haikubaliki, muungano ni inchi kwa inchi so mgao ni nusu kwa nusu


Siku mkiiachia Zanzibar na mambo yao ndio siku mtamaliza mzizi wa fitina,

Ila kwa sasa endeleeni kuumia tu, si mliyataka wenyewe?
Kwahiyo ZRA ya kazi gani???

Kama TRA ni suala la muungano?
 
Back
Top Bottom