Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Upuuz kwa lipi,watz ni malimbukeni sanaWatangazaji wa clouds Media kwa niaba ya media imependekeza siku ya kuzaliwa ya mhe Raisi Mama Samia Suluhu ingizwe kwenye calendar ya kusherekea siku ya kuzaliwa kama ilivyo Nyerere day n.k iwe sehemu ya siku ya kitaifa
Siyo kila raia anayekufa tunasherehekea siku yake.Huyu mh siku akifa tutakuwa tunaadhimisha sherehe zake mara 2 kwa mwaka?!
Watangazaji wakiongozwa na millard ayo na Hilo pendekezo cloud media wamelipost pia hata kwenye social media zao zote hapa ndio nikajua ni agenda ya media waliowatumia watangazajiNi clouds kama media ama mtangazaji mmoja kaongea kwa njaa yake tu?
Wapuuzi Sana alafu wameitumia hiyo siku ya kuzaliwa kama Samia day kwenye vipindi vyao vyoteHizo ni Kejeli yaani wanatoa Kejeli....
Ila hii tabia ya kufanyia viongozi Birthday (kutengeneza Fursa na Kujikomba) walikuwa nayo wenyewe huenda wanakasirika TBC amewawahi....
Tuna mambo ya msingi mengi sana yanayolikabili Taifa letu kwa sasa ikiwemo mgao wa umeme usio na kikomo, mauaji ya raia na askari yasiyo eleweka, halafu wanakuja na pendekezo ambalo hakina maslahi yoyote kwa TaifaWatangazaji wa clouds Media kwa niaba ya media imependekeza siku ya kuzaliwa ya mhe Raisi Mama Samia Suluhu ingizwe kwenye calendar ya kusherekea siku ya kuzaliwa kama ilivyo Nyerere day n.k iwe sehemu ya siku ya kitaifa
Sasa si mawazo yao ila sio sheriaWapuuzi Sana alafu wameitumia hiyo siku ya kuzaliwa kama Samia day kwenye vipindi vyao vyote
Kuliko hata TBC yenyeweAiseee kujipendekeza kiwango cha juu kabisa
Na hivi ndio vyombo vya habari nchini. Kulamba viatu vya viongozi?Watangazaji wa clouds Media kwa niaba ya media imependekeza siku ya kuzaliwa ya mhe Raisi Mama Samia Suluhu ingizwe kwenye calendar ya kusherekea siku ya kuzaliwa kama ilivyo Nyerere day n.k iwe sehemu ya siku ya kitaifa