Watangazaji Clouds Media wapendekeza siku ya kuzaliwa Rais Samia Suluhu ingizwe kwenye kalenda ya kusheherekea

Watangazaji Clouds Media wapendekeza siku ya kuzaliwa Rais Samia Suluhu ingizwe kwenye kalenda ya kusheherekea

Watangazaji wa clouds Media kwa niaba ya media imependekeza siku ya kuzaliwa ya mhe Raisi Mama Samia Suluhu ingizwe kwenye calendar ya kusherekea siku ya kuzaliwa kama ilivyo Nyerere day n.k iwe sehemu ya siku ya kitaifa
Pumbafu zao,kwa lipi hasa?. Kazi kujipendekeza tu.
 
Watangazaji wa clouds Media kwa niaba ya media imependekeza siku ya kuzaliwa ya mhe Raisi Mama Samia Suluhu ingizwe kwenye calendar ya kusherekea siku ya kuzaliwa kama ilivyo Nyerere day n.k iwe sehemu ya siku ya kitaifa
Wazee wa fursa na radio ya michongo.total nonsense hawachelewi kuanzisha ule usemi wa take asitake. Total bullshit
 
Watangazaji wa clouds Media kwa niaba ya media imependekeza siku ya kuzaliwa ya mhe Raisi Mama Samia Suluhu ingizwe kwenye calendar ya kusherekea siku ya kuzaliwa kama ilivyo Nyerere day n.k iwe sehemu ya siku ya kitaifa
Hawa walimdangaya sana mwenda zake akawa akaingia kingi
 
Watangazaji wa clouds Media kwa niaba ya media imependekeza siku ya kuzaliwa ya mhe Raisi Mama Samia Suluhu ingizwe kwenye calendar ya kusherekea siku ya kuzaliwa kama ilivyo Nyerere day n.k iwe sehemu ya siku ya kitaifa
Hivi wewe unaamini kitu kama hicho kinaweza hata kufikiriwa na mtu yeyote mwenye akili timamu?

Ndiyo maana tunasema nchi hii ina watu wendawazimu wengi kuliko tunavyodhania. Ebu fikria kuwa maneno hayo yametolewa na mtu ambaye ameajiriwa, mtu ambaye unaona kabisa labda siyo mzima, alistahili kuwa hospitalini akipata matibabu.

Kwa fikra za huyo mgonjwa wa akili, ina maana tutakuwa:

1) Nyerere day
2) Karume day
3) Mwinyi day
4) Mkapa day
5) Kikwete day
6) Magufuli day
7) Samia day
8.
9.
10.
Huyo mgonjwa wa akili aliyesema hivyo, anaelewa athari za kiuchumi, kwa nchi nzima, watu kutofanya kazi hata siku 5 tu?
 
Watangazaji wa clouds Media kwa niaba ya media imependekeza siku ya kuzaliwa ya mhe Raisi Mama Samia Suluhu ingizwe kwenye calendar ya kusherekea siku ya kuzaliwa kama ilivyo Nyerere day n.k iwe sehemu ya siku ya kitaifa
Wameshiba
 
Watangazaji wa clouds Media kwa niaba ya media imependekeza siku ya kuzaliwa ya mhe Raisi Mama Samia Suluhu ingizwe kwenye calendar ya kusherekea siku ya kuzaliwa kama ilivyo Nyerere day n.k iwe sehemu ya siku ya kitaifa
Ukisikia kufilisika hoja ndio huku sasa! Tunaomba vyombo vya habari vinavyofikiwa na Watanzania wengi, misiendelee kutufanya watanzani kuwa watu wasiojitambua, kwani tayari ktk maeneo mengi bado hatujitambui.
 
Watangazaji wa clouds Media kwa niaba ya media imependekeza siku ya kuzaliwa ya mhe Raisi Mama Samia Suluhu ingizwe kwenye calendar ya kusherekea siku ya kuzaliwa kama ilivyo Nyerere day n.k iwe sehemu ya siku ya kitaifa
Wamekosa kazi aiseh

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
Watangazaji wa clouds Media kwa niaba ya media imependekeza siku ya kuzaliwa ya mhe Raisi Mama Samia Suluhu ingizwe kwenye calendar ya kusherekea siku ya kuzaliwa kama ilivyo Nyerere day n.k iwe sehemu ya siku ya kitaifa
Sasa hii ndiyo akili alisi ya mtanzania kujipendekeza na kuwaza upumbavu.
 
Yeah wako sahihi ili mgao wa umeme uishe,ili vitu vishuke bei,ili kodi zikusanywe kwa wingi,ili madawa yapatikane hospitalin,maji nk.

TENA WAWEKE NA ZA UKOO WAKE....KAZI IENDELEE
 
Nyerere day tunaadhimisha siku ya kufa kwake. Huyu mh siku akifa tutakuwa tunaadhimisha sherehe zake mara 2 kwa mwaka?!
Siyo Kila rais akifa inawekwa kwenye calendar,
Mkapa day , Magufuli day, Aboud Jumbe day, nk zipo?
Nyerere day na Karume day tu
Hiyo Samia day wafanye na Kusaga waweke hata Ruge day maana ni studio binafsi.
 
Japan na China hawana masherehe mengi ya kijingajinga kama huku kwetu. Kila siku sherehe mara Karume day mmeweka kitako chini hakuna kazi. Sijui 88 mara 77 sijui Nyerere day. Sikukuu zingekuwa tatu tu. Uhuru, Idd na Xmas. Au tano na Maulid na pasaka.
Pasaka huwa jumapili, iondoe hapo.
 
Japan na China hawana masherehe mengi ya kijingajinga kama huku kwetu. Kila siku sherehe mara Karume day mmeweka kitako chini hakuna kazi. Sijui 88 mara 77 sijui Nyerere day. Sikukuu zingekuwa tatu tu. Uhuru, Idd na Xmas. Au tano na Maulid na pasaka.
Umewahi kufika China? New year wanasherehekea siku 3, mwaka mpya wa Kichina siku tatu, may day siku 5, spring festival siku 7 na bado kuna sikukuu kadhaa ambazo kimsingi wao ndio wana off zaidi kuliko sisi.
 
Back
Top Bottom