OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
waambie hawana akili kuanzia wao mpaka vyoo vya jengo lao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
usikute kuna fungu limetoka vote 20 kwa ajili ya promoWapuuzi Sana alafu wameitumia hiyo siku ya kuzaliwa kama Samia day kwenye vipindi vyao vyote
[emoji1751] Sijui hata kama umeelewa nlichomaanisha mkuu.Pointless and wasteful life.
Inasikitisha kusifia vitu ambavyo havitatui changamoto za Watanzania bali vinafanya chuki na dharau kutamalaki nchini.[emoji1751] Sijui hata kama umeelewa nlichomaanisha mkuu.
Acha kumfananisha Martin Luther King na Samia, hao ni watu wawili tofauti sana ulimwengu ata bongo hakuna aliefikia ata nusu ya legacy aliyoiacha MLK duniani labda JKN.Marekani mwezi huu waliadhimisha siku aliyozaliwa Martin Luther King. Hakuwa kiongozi wa kwanza wa taifa lao. Unasemaje hapo!
Watangazaji wa clouds Media kwa niaba ya media imependekeza siku ya kuzaliwa ya mhe Raisi Mama Samia Suluhu ingizwe kwenye calendar ya kusherekea siku ya kuzaliwa kama ilivyo Nyerere day n.k iwe sehemu ya siku ya kitaifa
Marehemu wamefufuka tena, sometime Mr Kibajaji unakuwa na vitukoNgoja Bavicha waje!
Uchurooo huo!Watangazaji wa clouds Media kwa niaba ya media imependekeza siku ya kuzaliwa ya mhe Raisi Mama Samia Suluhu ingizwe kwenye calendar ya kusherekea siku ya kuzaliwa kama ilivyo Nyerere day n.k iwe sehemu ya siku ya kitaifa
Japan na China hawana masherehe mengi ya kijingajinga kama huku kwetu. Kila siku sherehe mara Karume day mmeweka kitako chini hakuna kazi. Sijui 88 mara 77 sijui Nyerere day. Sikukuu zingekuwa tatu tu. Uhuru, Idd na Xmas. Au tano na Maulid na pasaka.
Acha kumfananisha Martin Luther King na Samia, hao ni watu wawili tofauti sana ulimwengu ata bongo hakuna aliefikia ata nusu ya legacy aliyoiacha MLK duniani labda JKN.
Hata Uhuru FM na channel 10 hawawezi kuongea jambo kama hiliWatangazaji wa clouds Media kwa niaba ya media imependekeza siku ya kuzaliwa ya mhe Raisi Mama Samia Suluhu ingizwe kwenye calendar ya kusherekea siku ya kuzaliwa kama ilivyo Nyerere day n.k iwe sehemu ya siku ya kitaifa
Kwa ujinga huu hii nchi haitakaa ipate maendeleoWatangazaji wa clouds Media kwa niaba ya media imependekeza siku ya kuzaliwa ya mhe Raisi Mama Samia Suluhu ingizwe kwenye calendar ya kusherekea siku ya kuzaliwa kama ilivyo Nyerere day n.k iwe sehemu ya siku ya kitaifa
Ebu kasome kwanza umjue kiundani ni nani JPM siwez mlinganisha ata Malcom X. Kwanza JPM alichangia sana mtabakamartin luther king hamfikii jpm hata nyerere hamfikii jpm
Kubwa kwenye familia yakoCMG ni taasisi kubwa nchini na inakubalika kwa kila lika
Lakini kwa hili mjitafakari samia ataondoka na nyie mtadondoka
Mazuzu hawawezi isha nchi hiiKubwa kwenye familia yako
Hatari sn mkuuMazuzu hawawezi isha nchi hii