Mbao za Mawe
JF-Expert Member
- May 11, 2015
- 23,372
- 54,943
Siku ya kufa huadhimishwa moja tu kwa kiongozi wa kwanza wa Taifa (hii desturi ya mataifa mengi) viongozi wengine wakifariki siku yao ya kufa haiwekwi kwenye kalenda ya kitaifa.Nyerere day tunaadhimisha siku ya kufa kwake. Huyu mh siku akifa tutakuwa tunaadhimisha sherehe zake mara 2 kwa mwaka?!