Josemanjeezy
Member
- Mar 4, 2017
- 59
- 24
Kuwa mwanaume wa dar akili yako inafanya kazi mala 1000 ya mwanaume wa mkoa,hesabu na hali ya maisha ni tofaut kabisa na ukiwa mkoani n kama mbingu na ardhi
Nimezaliwa Mkoa nafahamu vitu vingi vipo kwenye systém inayeleweka Wakati wa Kulima na kuvuna
Ukiwa na Tsh 10000 haina noma maana haina kupanda daladala wala nn n mwendo wa miguu hamna kwa kwenda
Kuhusu panya road/Vibaka aisee watu wa mkoa ndio wahanga wakubwa wa vibaka wa Dar
Story za kupigwa mizigo ubungo haziishagi
Wanawake wa mkoa ni walain sana Wakishajua Mwanaume anatokea dar Yaan unaweza ukamaliza kijiji kama umetokea Dar sound yako Mwambie nitakupeleka dar tu umemaliza
Nimezaliwa Mkoa nafahamu vitu vingi vipo kwenye systém inayeleweka Wakati wa Kulima na kuvuna
Ukiwa na Tsh 10000 haina noma maana haina kupanda daladala wala nn n mwendo wa miguu hamna kwa kwenda
Kuhusu panya road/Vibaka aisee watu wa mkoa ndio wahanga wakubwa wa vibaka wa Dar
Story za kupigwa mizigo ubungo haziishagi
Wanawake wa mkoa ni walain sana Wakishajua Mwanaume anatokea dar Yaan unaweza ukamaliza kijiji kama umetokea Dar sound yako Mwambie nitakupeleka dar tu umemaliza