Watanzania acheni roho mbaya kuhusu Zuchu na mziki wake, embu mwambieni ukweli

Watanzania acheni roho mbaya kuhusu Zuchu na mziki wake, embu mwambieni ukweli

Acheni roho mbaya bali semeni ukweli. Kwa Sasa Tanzania na East Africa hatuna msanii wa Maana kama Zuchu, bidada anajua kwa kweli sijui hawa wakina Nandy, Nadia Mukami na wasanii wengine wa kike ambao mnawapa maua ya uongo na ukweli wamepigwa gap sana na Zuchu tena kubwa kuanzia uandishi, sauti na hata ubunifu kawaacha palefu sana wenzie.

Kuna kipindi niliwaza sana nikasema ni msanii gani anaweza akachukua mikoba ya Vanessa Mdee na Shaa(kusema ukweli hawa wadada wawili walijitahidi sana enzi zao) hasa Vee Money na walipokuja kuachana na muziki nikahisi labda Maua Sama anaweza kutufuta machozi kwa sababu na huyu bidada enzi zake alikuwa wa moto sana sijui aliteleza wapi kama hujawai ambiwa wewe ndo ulikuwa msanii wa kutubeba sisi WATANZANIA baada ya wakina Shaa na Vee Money kuachana na mziki ila ulijiangusha mwenyewe sijui ni issue ya management au vp ila ulikuwa na kila kitu rafiki yangu.

Najua Nandy mnashangaa kwanini sijamtaja, binafsi Nandy naonaga ni msanii ambaye anaweza kutamba ndani labda na nchi za jirani tu kama Kenya, Congo na Majirani zetu wengine ila hatuwezi kumtegemea Nandy atupeperushie bendera yetu Afrika na duniani kiujumla.

Why Zuchu ukiachana na issue za management yake kwanza bidada ana kipaji kikubwa sana uwezo wake wa kubadilika badilika kama kinyonga ndio unaomtofautisha na wasanii hao wengine akiamua aimbe nyimbo za kuamsha vibes, zenye melody kali, zenye ujumbe mkali imagine ngoma za Napambana na Naringa mnaziona za kawaida ila ni ngoma za hatari zile nyie.

Zishindanishe watu hapa ila nasema Zuchu ndiye msanii bora Tanzania na East Africa.

WATANZANIA mnasubiri Zuchu afe ndo mseme ukweli! Mpeni maua yake sasa hivi.
Zuchu ni mwanamuziki mzuri ila Nandy mi naona kama analazimisha tu kuwa mwanamuziki, she's like Ali Kiba na Jux watu ambao hawafai hata kidogo kuwa wanamuziki, wanabebwa tu tena Jux ndiyo kabisaaaa.
 
Mpaka sasa kati ya Abby na Zuchu nani anajulikana zaidi kwenye soko la nje?
Zuchu ana popularity kubwa zaidi haswa kimuziki ila globally, naona Abby ana platform kubwa zaidi maana anajihusisha na kazi za mashirika ya umoja wa mataifa pia. Ukiangalia hata kupata interview na show kubwa marekani kama kelly clarckson au kuwa posted na Beyonce kwenye insta page yake. Vyote vilimpa mileage ambayo Zuchu hajawahi kupata
 
Zuchu ana popularity kubwa zaidi haswa kimuziki ila globally, naona Abby ana platform kubwa zaidi maana anajihusisha na kazi za mashirika ya umoja wa mataifa pia. Ukiangalia hata kupata interview na show kubwa marekani kama kelly clarckson au kuwa posted na Beyonce kwenye insta page yake. Vyote vilimpa mileage ambayo Zuchu hajawahi kupata
Kupostiwa hata Miso Misondo kapostiwa na Chris Brown

Nyimbo za Zuchu zinachezwa na watu wengi nje ya nchi ukiangalia kwenye TikTok unajionea

Ni tuzo gani kubwa Abby aliwahi kwenda kuiwakilisha Tanzania nje ya bongo?
 
Kuna kitu nadhani hatujaelewana.
Sijasema sauti haichujwi. Nilichomaanisha kuchuja sauti haiondoi sana uhalisia ule ulionao, ndio nikakutolea mfano ungekua ni hivyo kila muimbaji angekua na sauti nzuri unapomsiliza iwe redioni, au kwenye platforms zingine.

Kuhusu kufatilia show za zuchu na kugundua ameunderperform hapa hukutakiwa kutoka hitimisho la jumla jumla ndio maana nikasema ulipaswa usema katika show ngapi za live amefanya vibaya kati ya ngapi. Umetolea mfano wa US kwa zuchu, inawezekana alifanya vibaya kutokana na mazingira na ugeni alionao. Hawa unaowasifia show za ndani tu hapa mbona ndio kila mara wanalia wakifanya vibaya wanasingizia kuhujumiwa.
Sawa tuachane na shows zake za nje, tukija hata hizo za ndani nafikiri wewe kama shabiki uliitazama Wasafi Festival mwaka jana mwanzo mwisho, labda unaweza ukaniambia kama namsingizia ile sauti wewe unaona iko sawa na ndio tunayoisikia kwenye nyimbo zake
 
Acheni roho mbaya bali semeni ukweli. Kwa Sasa Tanzania na East Africa hatuna msanii wa Maana kama Zuchu, bidada anajua kwa kweli sijui hawa wakina Nandy, Nadia Mukami na wasanii wengine wa kike ambao mnawapa maua ya uongo na ukweli wamepigwa gap sana na Zuchu tena kubwa kuanzia uandishi, sauti na hata ubunifu kawaacha palefu sana wenzie.

Kuna kipindi niliwaza sana nikasema ni msanii gani anaweza akachukua mikoba ya Vanessa Mdee na Shaa(kusema ukweli hawa wadada wawili walijitahidi sana enzi zao) hasa Vee Money na walipokuja kuachana na muziki nikahisi labda Maua Sama anaweza kutufuta machozi kwa sababu na huyu bidada enzi zake alikuwa wa moto sana sijui aliteleza wapi kama hujawai ambiwa wewe ndo ulikuwa msanii wa kutubeba sisi WATANZANIA baada ya wakina Shaa na Vee Money kuachana na mziki ila ulijiangusha mwenyewe sijui ni issue ya management au vp ila ulikuwa na kila kitu rafiki yangu.

Najua Nandy mnashangaa kwanini sijamtaja, binafsi Nandy naonaga ni msanii ambaye anaweza kutamba ndani labda na nchi za jirani tu kama Kenya, Congo na Majirani zetu wengine ila hatuwezi kumtegemea Nandy atupeperushie bendera yetu Afrika na duniani kiujumla.

Why Zuchu ukiachana na issue za management yake kwanza bidada ana kipaji kikubwa sana uwezo wake wa kubadilika badilika kama kinyonga ndio unaomtofautisha na wasanii hao wengine akiamua aimbe nyimbo za kuamsha vibes, zenye melody kali, zenye ujumbe mkali imagine ngoma za Napambana na Naringa mnaziona za kawaida ila ni ngoma za hatari zile nyie.

Zishindanishe watu hapa ila nasema Zuchu ndiye msanii bora Tanzania na East Africa.

WATANZANIA mnasubiri Zuchu afe ndo mseme ukweli! Mpeni maua yake sasa hivi.
Zuchu apewe maua yake.
 
Nandy amemuacha Zuchu almost miaka mitano kwenye muziki, hizo ni zama tofauti katika muziki.

Nandy ameingia na kufikia prime yake kipindi bado traditional media ina nguvu huku digital platforms ndio inaanza kueleweka

Zuchu kaingia kipindi ambacho digital platforms zina nguvu sana na hata WCB ishakuwa successful label huku ikitawala mitandao. Leo Zuchu akitoa wimbo, WCB nzima na machawa wote wataipigia promo, hivyo kupata numbers zaidi mtandaoni ni kawaida ila vipi kuhusu Nandy ?.

By the way, sitetei mtu ila ukiona mwanamuziki especially wa kike kama Nandy ameweza kusimama hadi anakaribia miaka kumi kwenye game bila kushuka. Muheshimu sana
Bora wewe umeeleza ukweli mkuu Zuchu kwa asilimia kubwa anabebwa na WCB Media na umaarufu wa mama yake, ila angeanza mwenyewe from the scratch asingekuwa hapo hata nyimbo zake ni watu ndio wanazifanya zinakuwa hit songs, so hata za Nandy nazo mashabiki wangeamua zingekuwa hit songs vile vile sema ndio vile tena ushabiki wa kimazoea
 
Bora wewe umeeleza ukweli mkuu Zuchu kwa asilimia kubwa anabebwa na WCB Media na umaarufu wa mama yake, ila angeanza mwenyewe from the scratch asingekuwa hapo hata nyimbo zake ni watu ndio wanazifanya zinakuwa hit songs, so hata za Nandy nazo mashabiki wangeamua zingekuwa hit songs vile vile sema ndio vile tena ushabiki wa kimazoea
Hata Nandy ana hits mfano dah, falling, mchumba, siwezi etc

Ila nadhani kinachompa Zuchu advantage ukiachana na label ni aina ya uimbaji anaofanya. Ni rahisi mtoto wa pwani aliezoea taarab kuzipenda nyimbo za Zuchu kuliko Nandy kwa hiyo Zuchu, anafikia fans wa aina tofauti zaidi ya Nandy

Ila hadi sasa bado Nandy ni A'List artist East Africa nzima na ukiongelea top 3 ya waimbaji wa kike, humtoi
 
Kupostiwa hata Miso Misondo kapostiwa na Chris Brown

Nyimbo za Zuchu zinachezwa na watu wengi nje ya nchi ukiangalia kwenye TikTok unajionea

Ni tuzo gani kubwa Abby aliwahi kwenda kuiwakilisha Tanzania nje ya bongo?
Zuchu ni mkubwa kwa Abby kimafanikio na popularity ila hajamzidi Abby platform globally kwa sababu nje ya Muziki, Zuchu hana kingine wakati ukifuatilia Abby,ana foundation nzito ya mashirika ya umoja wa mataifa kama UNICEF..Hii ndio point yangu kama ulikuwa bado hujanisoma mkuu

So, yeah Abby hajawahi pata global nomination, Zuchu ameshapata MTV EMA

Siwalinganishi maana hata Abby bado anajitafuta, unaweza muweka kwenye top 5 ya mwaka huu ila sio top 3. So, tusubiri tuone
 
Oyaa ushawahi kumsikia Zuchu akiimba live, ni kweli studio wanachuja sana sauti ila kwa Zuchu nahisi maproducer huwa wana kazi ya ziada maana siyo kwa sauti ile, uwezo wa msanii hautakiwi kuonekana studio tu bali hata jukwaani kwenye show
Hahaaa kuna kipindi alikua na yale matamasha yake alizingua kichizi watu wametoa hela ndefu kuingia harafu mtu anaingia anaimba km kabanwa mlango tangu kipindi kile hajafanya tamasha lake.Live show kwa wabongo bado sana hata huyo mondy mwenyewe hovyo tu.Ipigwe honey live bila playback unaweza kusema huyo sio zuchu ni chuzu maana hata
 
Tupe top 5 yako yenye Abby tuone
Sorry nilimaanisha kwenye upande wa female artists...

Maana ukiingiza wasanii wa kiume, ukishamuweka mariio, platnumz, jay melody, Harmo, hata wa kike wawili hawakai

Wa kike kwa mwaka huu kama sitosahau mtu, Zuchu, Nandy, Phina, Abby, Yammi..
 
Hazina msaada wowote kwenye muziki wake
Chochote chenye kumpa mtu vissibility ama publicity ni muhimu katika showbiz.... Na kwa Aby ambaye brand yake haijaegemea kwenye controversies, kuwa na back up ya charity work ni muhimu sana

Kuna wengine kama Nandy wameongeza uigizaji, kwa hiyo inasaidia kuwafanya wawe relevant
 
Tanzania tuna wanamuziki wa kike wafuatao,
1.Lady Jay dee
2.Vanessa Mdee
3.Ruby
4.Jolie, na
5. Saraphina.

The rest ni wasanii yaani waswahili wajanja wajanja, Masuperstar wa mitandaoni na skendo, Wazuri/Warembo, Wauza uchi na Viburi tu wanaoforce mambo kutokana na Mwanya walioupata.
 
Acheni roho mbaya bali semeni ukweli. Kwa Sasa Tanzania na East Africa hatuna msanii wa Maana kama Zuchu, bidada anajua kwa kweli sijui hawa wakina Nandy, Nadia Mukami na wasanii wengine wa kike ambao mnawapa maua ya uongo na ukweli wamepigwa gap sana na Zuchu tena kubwa kuanzia uandishi, sauti na hata ubunifu kawaacha palefu sana wenzie.

Kuna kipindi niliwaza sana nikasema ni msanii gani anaweza akachukua mikoba ya Vanessa Mdee na Shaa(kusema ukweli hawa wadada wawili walijitahidi sana enzi zao) hasa Vee Money na walipokuja kuachana na muziki nikahisi labda Maua Sama anaweza kutufuta machozi kwa sababu na huyu bidada enzi zake alikuwa wa moto sana sijui aliteleza wapi kama hujawai ambiwa wewe ndo ulikuwa msanii wa kutubeba sisi WATANZANIA baada ya wakina Shaa na Vee Money kuachana na mziki ila ulijiangusha mwenyewe sijui ni issue ya management au vp ila ulikuwa na kila kitu rafiki yangu.

Najua Nandy mnashangaa kwanini sijamtaja, binafsi Nandy naonaga ni msanii ambaye anaweza kutamba ndani labda na nchi za jirani tu kama Kenya, Congo na Majirani zetu wengine ila hatuwezi kumtegemea Nandy atupeperushie bendera yetu Afrika na duniani kiujumla.

Why Zuchu ukiachana na issue za management yake kwanza bidada ana kipaji kikubwa sana uwezo wake wa kubadilika badilika kama kinyonga ndio unaomtofautisha na wasanii hao wengine akiamua aimbe nyimbo za kuamsha vibes, zenye melody kali, zenye ujumbe mkali imagine ngoma za Napambana na Naringa mnaziona za kawaida ila ni ngoma za hatari zile nyie.

Zishindanishe watu hapa ila nasema Zuchu ndiye msanii bora Tanzania na East Africa.

WATANZANIA mnasubiri Zuchu afe ndo mseme ukweli! Mpeni maua yake sasa hivi.
Mkuu unamuongelea Zuchu yupi? huyu aliyeimba mafuta ya taa yamemwagika, mara chapati sijui imefanyaje, sijui anamkatikia nani viuno yaan vitu havieleweki😇😇😇
 
Back
Top Bottom