Watanzania hawawezi kuandika

Ukinitoa mimi, watanzania 59,999,999 ni vilaza
 

Soma hiyo mada

Key missing information kwenye hoja yake:

Amezungumzia sheria ya mtoto

Hakuna mahala kaongelew sheria inayomlinda mtoto. taratibu zilizopo kwa sasa kuzuia mimba za utotoni.

Namna ya kupambana na mimba za utotoni ama kuboresha mbinu za kuzuia au mbinu za kuwasaidia wahanga..

Halafu topić yake title ‘inahusu kufuta mimba za utoto ni’.

Sasa hiyo azma urafikiwa vipi bila ya kuonyesha chanzo cha tatizo (based on evidence) na suluhisho tunalipataje with literature review evidence

Yaani mtu anaweza jiandikia tu upumbavu kutoka kichwani.

Huyo jamaa ni mfano tu lakini 90% ya mada za mule kwenye !stories of change 2024! huo ndio muktadha wake.

Ni kwamba watu wengi awawezi kuandika, uwezi kujiandikia upuuzi kutoka kichwani ukadhani una hoja.
 
Katika wengi umefanikiwa kujibu hoja ya mleta mda. Huu ndio msingi wa hoja ya mleta mada.
 
😁😁😁Mkuu bora ukaushe tu wewe pia ni mweupe tu kama baadhi yetu humu jukwaani.
 
Una hoja ya msingi ijapokuwa wadau wameamua kutoiongelea. Wengi wamejikita kukosoa usahihi wa 'kisarufi' hali yakuwa uliweka wazi kwamba ni suala la 'kihariri'.

Msingi wa hoja upo katika muundo, na ushahidi wa kitafiti ili kupata mtiririko wenye mantiki katika jumuiya ya wanataaluma.
 
Safi, mleta mada anakosoa uandishi wa wengine wakati Kiswahili hakijui.
Ujuaji usiokidhi vigezo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…