Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kiuhasibu imekaaje?Uzi umekugeuka, acha kukaza shingo. Mods msimsaidie chochote msomi uchwara huyu
Ndio maana akasrma watanzania wengi, akijijumuisha.. hujaelewa nini mkuu?Wewe mwenyewe heading yako umeandika awawezi badala ya hawawezi.
Kuna makosa mengi sana ya uandishi kwenye uzi wako mkuu.
Sio ukilaza ni, uki-lazaWewe mwenyewe unadhihirisha ukilaza wako hapa
Ukinitoa mimi, watanzania 59,999,999 ni vilazaAwawezi, ata, awatambui, wanazoabdika.
Hayo nimakosa baadhi Kwenye uandishi wako wa maada uliyoleta hapo juu.
Ukiwa unafanya ukosoaji jitahidi angalau ukidhi usahihi angalau wa 95% yakile unachokosoa.
Wewe pamoja na sisi watanzania unaotuzungumza wote hatujui kuandika vizuri.
Punguza kukurupuka.
Ukinitoa mimi lakiniWote ni kama wewe tu ulivyochanganya lugha.
Kuathirikakuathilika
tuzo - award, reward (something purposely earned)SIO tuzo ni tunzo >> ongeza n
ovyo na hovyo ni sahihiSIO hovyo ni ovyo >> ondoa h mbele
Wewe mwenyewe heading yako umeandika awawezi badala ya hawawezi.
Kuna makosa mengi sana ya uandishi kwenye uzi wako mkuu.
www.jamiiforums.com
Katika wengi umefanikiwa kujibu hoja ya mleta mda. Huu ndio msingi wa hoja ya mleta mada.Kuna vitu vingi ambavyo binadamu wachache waliotutangulia walifanta kaujanja ka kufunga wenzao..
Vitu vingi na elimu nyingi huwa zinaanzia kwenye theories - maono, hisia basing na variables ambazo ubonngo wako unachaka na kukupa majibu subconciously bila hata wewe kujua...
Hivyo usishambulie watu ambao ni wazee wa theories - kuna kitu ambacho kinamfanya atoe hayo maoni..ni wajibu wako wewe kwenye kutengeneza hypothesis zako ili upime hayo maoni...
Kuhusu facts etc..huwezi ukaandika au ukaongea kwa kukusanya na kutamka taarifa ambazo watu walikusanya...huko unaangalia lkn pia lazima ubongo wako uende nje ya dirisha ndo itakuja elimu mpya.
Hivyo usijali sana jinsi watu wanavyoandika...hicho ni kitu cha chini sana..wewe chukua na elewa wazo la mtu - lichakate halafu toa ufafanuzi au pinga kwa hoja na logic..
Pia watu hawaongei au mazungumzo ya kawaida sio kama huo uandishi wa papers ambao wewe una-advocate...Duniani huku tukiweza kusimplify na kuandika au kupresent katika kiwango ambacho hata kijana wa darasa la saba akasoma na kuelewa..thats much better...Ndo maana kuna research nyingi sana lkn application yake haipo...uwezo wa kuiweka katika hali ya kawaida.....
Yaani hata hao wanaoandika research papers baadae husahau hata waliandika nini...
😁😁😁Mkuu bora ukaushe tu wewe pia ni mweupe tu kama baadhi yetu humu jukwaani.View attachment 3007077
Siwalazimishi kuamini hiyo dissertation marking yangu amini usiamini nimewafyatulia maneno 15,000 kwa week tatu tu wazungu.
Iła naamini majungu tu kwa sababu ata lecture zenyewe nilikuwa siendi vinginevyo ile kazi ni 90%+.
Sasa unajua shughuli unayotakiwa kufanya hadi wazungu wakupe A dissertation ata hiyo ya 70%.
Mie sio mzaha mzaha mjue, hiyo attendance nikwamba lecture zenyewe nilikuwa siendi.
Kwa hiyo school fees zilienda bure?😂😂😂Humu ni ma excavator tu hili linaharibu lingine linasawazisha, linakuja lingine linaharibu tena,, ni balaa tupu
Una hoja ya msingi ijapokuwa wadau wameamua kutoiongelea. Wengi wamejikita kukosoa usahihi wa 'kisarufi' hali yakuwa uliweka wazi kwamba ni suala la 'kihariri'.SoC04 - Tanzania tuitakayo baada ya miaka sita kufikia 2030 ni kufuta mimba za utotoni na ndoa za utotoni
TANZANIA TUITAKAYO BAADA YA MIAKA MITANO NI KUTOKEMEZA MIMBA Z A UTOTONI NDOA ZA UTOTONI KWA KUANZISHA NA KUIMARISHA MITANDAO YA KIJAMII NA KISHERIA AMBAYO INASHUGHULIKIA UKATILI WA KIJINSIA, KUFUTA HAKI FULANI ZA KIJAMII AU KISHERIA KWA WAHALIFU WA UKATILI WA KIJINSIA, KAMA VILE HAKI YA KUWANIA...www.jamiiforums.com
Soma hiyo mada
Key missing information kwenye hoja yake:
Amezungumzia sheria ya mtoto
Hakuna mahala kaongelew sheria inayomlinda mtoto. taratibu zilizopo kwa sasa kuzuia mimba za utotoni.
Namna ya kupambana na mimba za utotoni ama kuboresha mbinu za kuzuia au mbinu za kuwasaidia wahanga..
Halafu topić yake title ‘inahusu kufuta mimba za utoto ni’.
Sasa hiyo azma urafikiwa vipi bila ya kuonyesha chanzo cha tatizo (based on evidence) na suluhisho tunalipataje with literature review evidence
Yaani mtu anaweza jiandikia tu upumbavu kutoka kichwani.
Huyo jamaa ni mfano tu lakini 90% ya mada za mule kwenye !stories of change 2024! huo ndio muktadha wake.
Ni kwamba watu wengi awawezi kuandika, uwezi kujiandikia upuuzi kutoka kichwani ukadhani una hoja.
Safi, mleta mada anakosoa uandishi wa wengine wakati Kiswahili hakijui.SIO ata ni hata >> ongeza h mbele
SIO uwezi ni huwezi >> ongeza h mbele
SIO awatambui ni hawatambui >> ongezea h mbele
SIO awawezi ni hawawezi >> ongezea h mbele
Pole sana Mkuu na hapo tumechambua kidogo tukichambua sana hili Andiko lako hata HICHO kingereza utatoka na 0.5 out of 10