Habari yako BIA YETUUkitaka kujua kuwa jeshi la polisi lipo kila mahali jaribu kufanya vurugu tu
Labda ungeuliza mimi ningechukua hatua gani?Wewe ulichukua hatua gani!?
Mkuu umeandika nini?Wewe mbona hukufanya chochote!
Uvunje Sheria wewe, waijitokeze wengine waende jela ama kuumizwa Kwa ajiri yako, huo ndio upumbavu unaozitesa nchi nyingi za Africa
Au Umeona wapi hata huko nchi za watu wenye akiri, akikosea kiongozi mwanasiasa wanajitokeza wananchi wa kusema watalipia makosa yake, kama sio Kampeni za kijinga za Mabeberu ili tuuwane!!
Kila mtu afuate Sheria, la kuwakera wananchi wataandama na sio kiongozi mjinga wa kisiasa amevunja Sheria Eti niandamane, Bora Tanzania sasa huo ujinga unapotea
Kila mtu Apambane na Hali yake
Mkuu umesoma nini?Mkuu umeandika nini?
Watu zaidi ya 100 wapo ndani kiongozi wao anachukuliwa kutpka meza kuu wao wanapiga makofi kama vile anapelekwa kupewa cheo kumbe rumande!!
Eti Mungu anawaona, iko siku yataisha tu, yana mwisho hayo, hawataingia Mbinguni. Hii ndiyo misemo ya watanzania siku hizi mara wanaponyanyaswa na mfumo Imla wa awamu ya 5. Tujiulize huu ni upole au ujinga? Hii ni busara au ujinga? Huu ni uvumilivu au ujinga? Je, babu zetu wangetumia misemo mkoloni angeondoka??
Hata mbuyu ulianza kama mchicha! Wamewazuia maandamano mmekubali, wamewazuia mikutano ya hadhara mkakubali, sasa watawazuia hata mikutano ya ndani pia mtakubali!!
Wewe ulichukua hatua gani!?
Si mnasema kuwa mna nguvu ya umma?
Ukitaka kujua kuwa jeshi la polisi lipo kila mahali jaribu kufanya vurugu tu
Kwa hiyo unashauri nini?
Nduli huyo anazidi kuvimba mwisho atapasuka nyie fuatilieni tu kwa karibu. Na vibaraka wake hapo wengi wanatoka pande za chattle.Tii bila shuruti kama ukileta ubishi huwa wanatumia nguvu.
Kila mahali kwa Jamii isiyojitambua,mbona Mbeya walichezeshwa mchakamchaka na machinga tuUkitaka kujua kuwa jeshi la polisi lipo kila mahali jaribu kufanya vurugu tu
Kila mahali kwa Jamii isiyojitambua,mbona Mbeya walichezeshwa mchakamchaka na machinga tu