kifaulongo
JF-Expert Member
- Nov 18, 2011
- 1,033
- 458
Unakuta Mtu na akili zake anashangilia CCM oyeee wakati kwa meiaka 5, mshahala wake haujaongezwa hata sent 1. Na wakati ghalama za Maisha zipo juu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umenikumbusha ujinga wa watu wa Afrika Kusini na Zimbabwe miaka 1960,1970 ,1980 eti wanapinga kukamatwa kwa Mandela na Mugabe yaani.Wewe mbona hukufanya chochote!
Uvunje Sheria wewe, waijitokeze wengine waende jela ama kuumizwa Kwa ajiri yako, huo ndio upumbavu unaozitesa nchi nyingi za Africa
Au Umeona wapi hata huko nchi za watu wenye akiri, akikosea kiongozi mwanasiasa wanajitokeza wananchi wa kusema watalipia makosa yake, kama sio Kampeni za kijinga za Mabeberu ili tuuwane!!
Kila mtu afuate Sheria, likitokea la kuwakera wananchi wataandama wenyewe na sio kiongozi mjinga wa kisiasa amevunja Sheria Eti niandamane, Bora Tanzania sasa huo ujinga unapotea
Kila mtu Apambane na Hali yake
Kondoo wa Nyerere!!!!!!Watu zaidi ya 100 wapo ndani kiongozi wao anachukuliwa kutoka meza kuu wao wanapiga makofi kama vile anapelekwa kupewa cheo kumbe rumande
Usiombe machafuko mzeeUkitaka kujua kuwa jeshi la polisi lipo kila mahali jaribu kufanya vurugu tu
Taifa la wajinga na mang'ombe ndio Hilo Lenu mnakaa na hao wanaowanyanyasa mtaaniWatu zaidi ya 100 wapo ndani kiongozi wao anachukuliwa kutoka meza kuu wao wanapiga makofi kama vile anapelekwa kupewa cheo kumbe rumande
Eti Mungu anawaona, iko siku yataisha tu, yana mwisho hayo, hawataingia Mbinguni. Hii ndiyo misemo ya watanzania siku hizi mara wanaponyanyaswa na mfumo Imla wa awamu ya 5. Tujiulize huu ni upole au ujinga? Hii ni busara au ujinga? Huu ni uvumilivu au ujinga? Je, babu zetu wangetumia misemo mkoloni angeondoka?
Hata mbuyu ulianza kama mchicha! Wamewazuia maandamano mmekubali, wamewazuia mikutano ya hadhara mkakubali, sasa watawazuia hata mikutano ya ndani pia mtakubali
Wanspigwa tu. Nimeona wanatimua mbio wakipiga ukunga kama mademu sehemu nyingi. Tarime rchuga mifano michacheUkitaka kujua kuwa jeshi la polisi lipo kila mahali jaribu kufanya vurugu tu
Hahaha Mtanzania kwenye ubora wake,unaanza kujinyea kabla tukioUmewahi kupigana na askari akiwa on duty?
Umewahi kua eneo ambalo askari wamekuja kwa ajili ya kupiga na kukamata?
Umewahi kua eneo ambalo yanapigwa mabomu ya machozi?
Umewahi kuingilia ugomvi wa askari?
Kuongea ni rahisi kweli kweli
Wewe mbona hukufanya chochote!
Uvunje Sheria wewe, waijitokeze wengine waende jela ama kuumizwa Kwa ajiri yako, huo ndio upumbavu unaozitesa nchi nyingi za Africa
Au Umeona wapi hata huko nchi za watu wenye akiri, akikosea kiongozi mwanasiasa wanajitokeza wananchi wa kusema watalipia makosa yake, kama sio Kampeni za kijinga za Mabeberu ili tuuwane!!
Kila mtu afuate Sheria, likitokea la kuwakera wananchi wataandama wenyewe na sio kiongozi mjinga wa kisiasa amevunja Sheria Eti niandamane, Bora Tanzania sasa huo ujinga unapotea
Kila mtu Apambane na Hali yake
Upumbavu haujibiwi kwa jazba tena mtu makini hapotezi muda wake kujibu upumbavu!KWA FAIDA YA WAPENDA AMANI NA UTULIVU MPUMBAVU KAMA WEWE HATUWEZI KUKUACHA BILA KUKUPATIA KILE UNCHOSTAHILI KUTOKANA NA UPUMBAVU WAKO KWA HIYO UNADHANI WALE MIA NI WAPUMBAVU KAMA WEWE WALIONA KUNA UKWELI NDIYO MAANA WALITULIA INGEKUWA NI MWIZI WANGAPIGA MPAKA KUUWA LAKINI SERIKALI WANAIHESHIMU NDIYO MAANA WAKATII SHERIA BILA SHURUTI ILA KAMA WEWE NI JEURI NA UNAONA UNA NGUVU SANA KAMCHOMOE MTUHUMIWA YEYOTE POLISI AU MAGEREZA NDIYO TUTAAMINI HUO UPUMBAVU ULIOANDIKA HAPA, HATA HIVYO ZAID YA KUBWABWAJA NA KUANDIKA HAYA ULIYOANDIKA WEWE BINAFSI UMECHUKUA HATUA GANI ILI NA SISI TUKUFUATE KAMANDA WETU?
Hata wana waisrael walivumilia sana miaka ya kutosha ila ilifika siku farao alitoa ruhusa kwa midomo yake mwenyewe, unafikiri farao hakuwa na jeshi?Ukitaka kujua kuwa jeshi la polisi lipo kila mahali jaribu kufanya vurugu tu
Great! Watu wanapanic sana.Mkuu 'lukoma', umeuliza maswali mengi, tena kwa mfululizo kuonyesha kiasi cha hisia ulichokuwa nacho wakati ukiwasilisha mada yako.
Inaeleweka.
Nimejaribu kusoma baadhi ya michango iliyowekwa kwenye mada hii, lakini kama kawaida ya JF yetu, sikuona mchango uliojaribu kujibu maswali yako. Kila jambo hapa jamvini siku hizi hata liwe mhimu kiasi gani, ni lazima litajadiliwa kishabikishabiki tu. Ni hivi ndivyo ulivyojibiwa hadi sasa.
Maoni yangu:
Hapana, waTanzania sio wajinga, siyo wapumbavu, n.k., n.k.
Chukulia mfano huo hapo, uliouweka wewe. Kiongozi akiendesha mkutano, mara ghafla mkutano unavamiwa bila staha.
Ndiyo, ingeeleweka, kama hao watu 100 wangezuia kiongozi wao kudhalilishwa na kulianzisha, kwa sababu ni hulka ya binaadam yeyote kutafuta njia za kujihami anaposhambuliwa, au akimbie toka sehemu inayohatarisha.
Katika hali iliyopo nchini sasa hivi, maoni yangu ni kwamba ni kazi bure kwa hao ndugu, kama wangesimama na kuzuia kwa nguvu kiongozi wao asichukuliwe. Uamini wangu ni kuwa hicho ndicho wanachokitafuta kitokee hao waliotumwa kukamata kiongozi.
Unakumbuka ile kesi iliyompeleka Mbowe jela na kusababisha kifo cha Akwilina? Unaweza kuona mfanano wowote hapa?
Nisije nikaandika gazeti na kukuchosha kusoma...; ni hivi, kuna njia nyingi za kukataa manyanyaso yote haya bila ya kuwaumiza zaidi viongozi na wananchi kwa ujumla. Kitu kinachokosekana ni viongozi wanaoelewa njia hizi mbadala na kuzisisitiza kwa wananchi ili zitumike wakati tukielekea kwenye hiyo ngazi kubwa unayoikikmbilia wewe.
Hayo unayotaka waTanzania wayafanye sasa hivi, haina maana kwamba ikifika mahali wakishindwa kuvumilia hayatakuwepo. Kwa sasa hivi, weka juhudi kuwaelimisha wazitumie njia nyingine, kama hiyo ya kuwadharau hao waliovamia mkutano wao na kumchukua kiongozi wao.
Ujasiri gani? Mkuu kwani unaongelea issue gani?Ingependeza sana huu Ujasiri wako ungeanza Kutuonyesha Sisi wengine Mfano kwa Wewe kwenda mbele ili Ukifa tuzidi Kujimaarisha dhidi yao.
Kwani kisu na umma kipi kina nguvu zaidi?Si mnasema kuwa mna nguvu ya umma?
Lkn kwenye kutafuta watekaji na wanaojeruhi wapinzani ndio utajua hawapo.Ukitaka kujua kuwa jeshi la polisi lipo kila mahali jaribu kufanya vurugu tu
Mi nimewahi kua katika baadhi ya situations hapo. Wewe umewahi?Hahaha Mtanzania kwenye ubora wake,unaanza kujinyea kabla tukio
Woga Ni adui mkubwa wa maendeleo yako,Tunisia,Egypt, Suadn,Algeria........nk,wameweza kwanini Watanzania Wasiweze
Nyinyi mababu ndiyo mnakaa mnatulaumu vijana kwanini tunaandamana wakati vyuoni tumeenda kusoma. Leo upo nyuma ya keyboard unaandika tu unachojisikia.Pambaf
Koko wewe