Watanzania huu ni upole au ujinga? Kiongozi anachukuliwa meza kuu, mbele yenu mnapiga makofi!

Watanzania huu ni upole au ujinga? Kiongozi anachukuliwa meza kuu, mbele yenu mnapiga makofi!

We jinga nini? Siku hizi JF imejaza mijitu iliyostahili kuwa darasani ikifundishwa kusoma na kuandika, eti! Mamia walioko Magereza wanalindwa na askari wangapi?
Tupingane na huyu Nduli sasa amezidi na inaonekana akipata nafasi baada ya October mambo yatakuwa mabaya sana.
 
We jinga nini? Siku hizi JF imejaza mijitu iliyostahili kuwa darasani ikifundishwa kusoma na kuandika, eti! Mamia walioko Magereza wanalindwa na askari wangapi?
Eti Wanalindwa au wanalindwa na ukuta.
 
We jinga nini? Siku hizi JF imejaza mijitu iliyostahili kuwa darasani ikifundishwa kusoma na kuandika, eti! Mamia walioko Magereza wanalindwa na askari wangapi?
Amerukwa akiri huyo, hao ndio wanaotetea uvunjaji wa Sheria
 
Ningekuwa kwenye huo mkutano nadhani hao polisi waliothubutu kuingia wasingetoka nje au Mimi nisingetoka nadhani wangejifunza kitu kibaya sana siku hiyo.
 
Nduli huyo anazidi kuvimba mwisho atapasuka nyie fuatilieni tu kwa karibu. Na vibaraka wake hapo wengi wanatoka pande za chattle.
Polisi anatakiwa akamate mtu kwa mujibu wa sheria. Kama mtu anakuwa mbishi ndio useme kuna nduli?
 
Ka nchi kadogo Malawil. au kwa sababu hatujui ENGLISH ndiyo maana tupo hivi?
 
We jinga nini? Siku hizi JF imejaza mijitu iliyostahili kuwa darasani ikifundishwa kusoma na kuandika, eti! Mamia walioko Magereza wanalindwa na askari wangapi?
Umejisemea kilicho akilini mwako!!
 
Baadaye watoto wetu watakuja kushangaa ilikuaje baba zetu walikuwa mandezi kiasi hiki? Ni kama sisi tunavyowashangaa babu zetu enzi za ukoloni ilikuaje wanambeba mkoloni mgongoni huku wakichapwa fimbo?
 
RED BRIGADE walikuwa wapi au ni kweli kwamba kilikuwa ni kikundi cha kigaidi kama anavyodai Mh. Rwakatare wa Bukoba
Lwakatare naye ni wa kumzungumzia au umekosa watu was kuwazungumzia.
 
Huo ndo utamaduni mzuri wa kuheshimu vyombo vya ulinzi na usalama.
 
Watu zaidi ya 100 wapo ndani kiongozi wao anachukuliwa kutoka meza kuu wao wanapiga makofi kama vile anapelekwa kupewa cheo kumbe rumande

Eti Mungu anawaona, iko siku yataisha tu, yana mwisho hayo, hawataingia Mbinguni. Hii ndiyo misemo ya watanzania siku hizi mara wanaponyanyaswa na mfumo Imla wa awamu ya 5. Tujiulize huu ni upole au ujinga? Hii ni busara au ujinga? Huu ni uvumilivu au ujinga? Je, babu zetu wangetumia misemo mkoloni angeondoka?

Hata mbuyu ulianza kama mchicha! Wamewazuia maandamano mmekubali, wamewazuia mikutano ya hadhara mkakubali, sasa watawazuia hata mikutano ya ndani pia mtakubali
Kwani wewe ulikuwa wapi?
Pia muda bado upo nenda kapambane na wale waliomchukuwa.
 
Watu zaidi ya 100 wapo ndani kiongozi wao anachukuliwa kutoka meza kuu wao wanapiga makofi kama vile anapelekwa kupewa cheo kumbe rumande

Eti Mungu anawaona, iko siku yataisha tu, yana mwisho hayo, hawataingia Mbinguni. Hii ndiyo misemo ya watanzania siku hizi mara wanaponyanyaswa na mfumo Imla wa awamu ya 5. Tujiulize huu ni upole au ujinga? Hii ni busara au ujinga? Huu ni uvumilivu au ujinga? Je, babu zetu wangetumia misemo mkoloni angeondoka?

Hata mbuyu ulianza kama mchicha! Wamewazuia maandamano mmekubali, wamewazuia mikutano ya hadhara mkakubali, sasa watawazuia hata mikutano ya ndani pia mtakubali

Kaka lukoma
Naunga mkono mawazo yako. Inabidi tubadilike na ingekuwa bora kama yule polisi aliyemuinua Zitoi angetolewa jicho na sikio ingekuwa safi sana
 
Wale wangewasha timbwili hilo gari lisingeondoka.....kina mama wangelala chini chali wote mbele ya gari lisingewaua....vijana wangesimama na Mh. wao Zitto hakuna ambacho kingefanyika...

Kufikia hapo Tanzania ni safari ndefu mno..... wacha tuendelee kutawaliwa watakavyo maana nchi hii ni yao na vyote vilivyomo... hii ndiyo nukuu ya katibu mkuu mstaafu Makamba kama mtakumbuka na ni ya kweli kabisa.
Bado naitafakari hiyo nukuu ya Makamba.
 
Huo ndio mfano wa karibuni jinsi wabongo tulivyozubaa, kila jambo tunamuachia Mungu muumba wa mbingu na nchi.

Mtu anakuja kutia kidole kwenye jicho lako, unamuona kabisa, lakini unamuachia Mungu, nahisi watanzania ndio tutakuwa viumbe rahisi zaidi kutawaliwa hapa duniani.

Tunaishi kulingana na maandiko ya vitabu vitakatifu, kama mwisho wa dunia upo, natumai sote tutakutana kwa muumba, kasoro watawala tu, wao wataishia jehanamu.
 
Watu zaidi ya 100 wapo ndani kiongozi wao anachukuliwa kutoka meza kuu wao wanapiga makofi kama vile anapelekwa kupewa cheo kumbe rumande

Eti Mungu anawaona, iko siku yataisha tu, yana mwisho hayo, hawataingia Mbinguni. Hii ndiyo misemo ya watanzania siku hizi mara wanaponyanyaswa na mfumo Imla wa awamu ya 5. Tujiulize huu ni upole au ujinga? Hii ni busara au ujinga? Huu ni uvumilivu au ujinga? Je, babu zetu wangetumia misemo mkoloni angeondoka?

Hata mbuyu ulianza kama mchicha! Wamewazuia maandamano mmekubali, wamewazuia mikutano ya hadhara mkakubali, sasa watawazuia hata mikutano ya ndani pia mtakubali
Ha ha ha acha kulaumu wenzako, wewe ungefanya nini?.
 
Back
Top Bottom