Watanzania huu ni upole au ujinga? Kiongozi anachukuliwa meza kuu, mbele yenu mnapiga makofi!

Watanzania huu ni upole au ujinga? Kiongozi anachukuliwa meza kuu, mbele yenu mnapiga makofi!

Ukitaka kulijua jitu la mrengo wa kidhalimu wa ccm angalia comment
 
Wewe mbona hukufanya chochote!

Uvunje Sheria wewe, waijitokeze wengine waende jela ama kuumizwa Kwa ajiri yako, huo ndio upumbavu unaozitesa nchi nyingi za Africa

Au Umeona wapi hata huko nchi za watu wenye akiri, akikosea kiongozi mwanasiasa wanajitokeza wananchi wa kusema watalipia makosa yake, kama sio Kampeni za kijinga za Mabeberu ili tuuwane!!

Kila mtu afuate Sheria, likitokea la kuwakera wananchi wataandama wenyewe na sio kiongozi mjinga wa kisiasa amevunja Sheria Eti niandamane, Bora Tanzania sasa huo ujinga unapotea

Kila mtu Apambane na Hali yake

Umeandika pumba tupu.
 
Watu zaidi ya 100 wapo ndani kiongozi wao anachukuliwa kutoka meza kuu wao wanapiga makofi kama vile anapelekwa kupewa cheo kumbe rumande

Eti Mungu anawaona, iko siku yataisha tu, yana mwisho hayo, hawataingia Mbinguni. Hii ndiyo misemo ya watanzania siku hizi mara wanaponyanyaswa na mfumo Imla wa awamu ya 5. Tujiulize huu ni upole au ujinga? Hii ni busara au ujinga? Huu ni uvumilivu au ujinga? Je, babu zetu wangetumia misemo mkoloni angeondoka?

Hata mbuyu ulianza kama mchicha! Wamewazuia maandamano mmekubali, wamewazuia mikutano ya hadhara mkakubali, sasa watawazuia hata mikutano ya ndani pia mtakubali
Vipi hiyo nguvu ya umma mliyonayo ni kivuli tu kama Mawaziri vivuli wenu Mjengoni? Maana utawasikia' upinzani uko mioyo mwetu', 'iko siku umma utaamua' lakini mbwembwe tu
 
Watu zaidi ya 100 wapo ndani kiongozi wao anachukuliwa kutoka meza kuu wao wanapiga makofi kama vile anapelekwa kupewa cheo kumbe rumande

Eti Mungu anawaona, iko siku yataisha tu, yana mwisho hayo, hawataingia Mbinguni. Hii ndiyo misemo ya watanzania siku hizi mara wanaponyanyaswa na mfumo Imla wa awamu ya 5. Tujiulize huu ni upole au ujinga? Hii ni busara au ujinga? Huu ni uvumilivu au ujinga? Je, babu zetu wangetumia misemo mkoloni angeondoka?

Hata mbuyu ulianza kama mchicha! Wamewazuia maandamano mmekubali, wamewazuia mikutano ya hadhara mkakubali, sasa watawazuia hata mikutano ya ndani pia mtakubali
Ni ubwege wa kiwango cha juu kabisa!
 
Ukiweza kuwatawala watanganyika,hata maiti unaweza kuzitawala!
 
Siku hizi ukilikoroga unalinywa mwenyewe! Maana wabunge na mishahara yao wanachangiwa ila wanaonuka kikwapa wanaozea jela nawake zao kuolewa na wakuu wachama.
 
Watu zaidi ya 100 wapo ndani kiongozi wao anachukuliwa kutoka meza kuu wao wanapiga makofi kama vile anapelekwa kupewa cheo kumbe rumande

Eti Mungu anawaona, iko siku yataisha tu, yana mwisho hayo, hawataingia Mbinguni. Hii ndiyo misemo ya watanzania siku hizi mara wanaponyanyaswa na mfumo Imla wa awamu ya 5. Tujiulize huu ni upole au ujinga? Hii ni busara au ujinga? Huu ni uvumilivu au ujinga? Je, babu zetu wangetumia misemo mkoloni angeondoka?

Hata mbuyu ulianza kama mchicha! Wamewazuia maandamano mmekubali, wamewazuia mikutano ya hadhara mkakubali, sasa watawazuia hata mikutano ya ndani pia mtakubali
umechelewa kutoa taarifa mkuu
 
Back
Top Bottom