Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna siku yatawaeukia kama NapeUkitaka kujua kuwa jeshi la polisi lipo kila mahali jaribu kufanya vurugu tu
Kweli! Nimeshindwa kuelewa lengo na thrd yako ilikuwa ni nini! Yaani unaamini mukishakuwa wengi basi, ni kutumia nguvu kuwashinda askari kila kona! Halafu hujui kama ni upole au ujinga wa Watanzania! Hukutumia kichwa kwa manufaa yako. Hakuna jamii ya aina unayoitaka.Umejisemea kilicho akilini mwako!!
Maswali Kama haya ni mazuri sana kujiuliza kabla ya kuchukua hatua, ila maswali haya haya ndio yataendelea kuwafanya hawa wanaofanya wanalotaka wao kwa maelekezo ya wanaowajua wao bila kujali haki na usawa waendelee kuonea watu maana wanatambua hayo maswali yamejaa vichwani mwetu na yameshatujengea hofu na kuamua kumuachia Mungu!Umewahi kupigana na askari akiwa on duty?
Umewahi kua eneo ambalo askari wamekuja kwa ajili ya kupiga na kukamata?
Umewahi kua eneo ambalo yanapigwa mabomu ya machozi?
Umewahi kuingilia ugomvi wa askari?
Kuongea ni rahisi kweli kweli
Mkuu, tukikupa askari mmoja upigane naye sasa hivi unaweza ukampiga, tena sana tu.Maswali Kama haya ni mazuri sana kujiuliza kabla ya kuchukua hatua, ila maswali haya haya ndio yataendelea kuwafanya hawa wanaofanya wanalotaka wao kwa maelekezo ya wanaowajua wao bila kujali haki na usawa waendelee kuonea watu maana wanatambua hayo maswali yamejaa vichwani mwetu na yameshatujengea hofu na kuamua kumuachia Mungu!
Wakristu wanajua Daudi ili kumshinda Goliat hakumuachia Mungu, alichukua jiwe akalifunga kwenye kombeo na Goliath alipojitokeza tu kuja kummaliza Daud, alikutana na jiwe la kwenye paji la uso lililorushwa ki ustadi kabisa na Daud. Daud angesema amuachie Mungu, nani angekufa?
policee gani????Ukitaka kujua kuwa jeshi la polisi lipo kila mahali jaribu kufanya vurugu tu
Alikuwa anachukua picha ya video kwa kutumia simu yakeWewe ulichukua hatua gani!?
Kila mtu analifahamu hilo, lakini tutaendelea hivi hadi lini? Tuwaache waendelee kutuone tu kwasababu sheria zitawapendelea wao? Ni nani atabadilisha hali hii? Inatakiwa kitokee nini ili hali hii isiwepo? Haya ndo mambo jamii inatakiwa ijiulize na kutafutia majawabuMkuu, tukikupa askari mmoja upigane naye sasa hivi unaweza ukampiga, tena sana tu.
Tatizo linakuja kwenye consequences za kumpiga.
Yeye sheria itamlinda kwa nguvu zote unlike wewe raia.
Haya ndo yanayoleta hasiraKulikuwa hakuna haja ya jeshi la polisi kujiingiza katika huo mtego,
na kutumia nguvu kubwa kana kwamba hawa waliokutana kwa nia njema ni magaidi.
Ifike mahali jeshi la polisi lijitafakari kwa wanayowafanyia wapinzani.
Pole pole yupo huko anafanya mikutano ya nje na hakuna hatua jeshi la polisi linachukua.
Lakini wananchi wakipata uamuzi wakachachamaa ujue silaha zote zitawekwa chini.Ukitaka kujua kuwa jeshi la polisi lipo kila mahali jaribu kufanya vurugu tu
Nadhani raia hawa jakuelewa........wanachukulia rahis sana........siku wakiwa mtu kati ndio watajua kumbe hata mgambo akiwa na sare naye ni mwanajeshiUmewahi kupigana na askari akiwa on duty?
Umewahi kua eneo ambalo askari wamekuja kwa ajili ya kupiga na kukamata?
Umewahi kua eneo ambalo yanapigwa mabomu ya machozi?
Umewahi kuingilia ugomvi wa askari?
Kuongea ni rahisi kweli kweli
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Si mnasema kuwa mna nguvu ya umma?
Malawi wote ni wakurya wala sio tatizo la englishKa nchi kadogo Malawil. au kwa sababu hatujui ENGLISH ndiyo maana tupo hivi?
Mkuu 'lukoma', umeuliza maswali mengi, tena kwa mfululizo kuonyesha kiasi cha hisia ulichokuwa nacho wakati ukiwasilisha mada yako.Watu zaidi ya 100 wapo ndani kiongozi wao anachukuliwa kutoka meza kuu wao wanapiga makofi kama vile anapelekwa kupewa cheo kumbe rumande
Eti Mungu anawaona, iko siku yataisha tu, yana mwisho hayo, hawataingia Mbinguni. Hii ndiyo misemo ya watanzania siku hizi mara wanaponyanyaswa na mfumo Imla wa awamu ya 5. Tujiulize huu ni upole au ujinga? Hii ni busara au ujinga? Huu ni uvumilivu au ujinga? Je, babu zetu wangetumia misemo mkoloni angeondoka?
Hata mbuyu ulianza kama mchicha! Wamewazuia maandamano mmekubali, wamewazuia mikutano ya hadhara mkakubali, sasa watawazuia hata mikutano ya ndani pia mtakubali
KWA FAIDA YA WAPENDA AMANI NA UTULIVU MPUMBAVU KAMA WEWE HATUWEZI KUKUACHA BILA KUKUPATIA KILE UNCHOSTAHILI KUTOKANA NA UPUMBAVU WAKO KWA HIYO UNADHANI WALE MIA NI WAPUMBAVU KAMA WEWE WALIONA KUNA UKWELI NDIYO MAANA WALITULIA INGEKUWA NI MWIZI WANGAPIGA MPAKA KUUWA LAKINI SERIKALI WANAIHESHIMU NDIYO MAANA WAKATII SHERIA BILA SHURUTI ILA KAMA WEWE NI JEURI NA UNAONA UNA NGUVU SANA KAMCHOMOE MTUHUMIWA YEYOTE POLISI AU MAGEREZA NDIYO TUTAAMINI HUO UPUMBAVU ULIOANDIKA HAPA, HATA HIVYO ZAID YA KUBWABWAJA NA KUANDIKA HAYA ULIYOANDIKA WEWE BINAFSI UMECHUKUA HATUA GANI ILI NA SISI TUKUFUATE KAMANDA WETU?Watu zaidi ya 100 wapo ndani kiongozi wao anachukuliwa kutoka meza kuu wao wanapiga makofi kama vile anapelekwa kupewa cheo kumbe rumande
Eti Mungu anawaona, iko siku yataisha tu, yana mwisho hayo, hawataingia Mbinguni. Hii ndiyo misemo ya watanzania siku hizi mara wanaponyanyaswa na mfumo Imla wa awamu ya 5. Tujiulize huu ni upole au ujinga? Hii ni busara au ujinga? Huu ni uvumilivu au ujinga? Je, babu zetu wangetumia misemo mkoloni angeondoka?
Hata mbuyu ulianza kama mchicha! Wamewazuia maandamano mmekubali, wamewazuia mikutano ya hadhara mkakubali, sasa watawazuia hata mikutano ya ndani pia mtakubali
Umewahi kupigana na askari akiwa on duty?
Umewahi kua eneo ambalo askari wamekuja kwa ajili ya kupiga na kukamata?
Umewahi kua eneo ambalo yanapigwa mabomu ya machozi?
Umewahi kuingilia ugomvi wa askari?
Kwahiyo ukiogopa polis hautakufa??
Kuongea ni rahisi kweli kweli
Watu zaidi ya 100 wapo ndani kiongozi wao anachukuliwa kutoka meza kuu wao wanapiga makofi kama vile anapelekwa kupewa cheo kumbe rumande
Eti Mungu anawaona, iko siku yataisha tu, yana mwisho hayo, hawataingia Mbinguni. Hii ndiyo misemo ya watanzania siku hizi mara wanaponyanyaswa na mfumo Imla wa awamu ya 5. Tujiulize huu ni upole au ujinga? Hii ni busara au ujinga? Huu ni uvumilivu au ujinga? Je, babu zetu wangetumia misemo mkoloni angeondoka?
Hata mbuyu ulianza kama mchicha! Wamewazuia maandamano mmekubali, wamewazuia mikutano ya hadhara mkakubali, sasa watawazuia hata mikutano ya ndani pia mtakubali