Tupingane na huyu Nduli sasa amezidi na inaonekana akipata nafasi baada ya October mambo yatakuwa mabaya sana.We jinga nini? Siku hizi JF imejaza mijitu iliyostahili kuwa darasani ikifundishwa kusoma na kuandika, eti! Mamia walioko Magereza wanalindwa na askari wangapi?
Eti Wanalindwa au wanalindwa na ukuta.We jinga nini? Siku hizi JF imejaza mijitu iliyostahili kuwa darasani ikifundishwa kusoma na kuandika, eti! Mamia walioko Magereza wanalindwa na askari wangapi?
Endeleeni kuwachochea wananchi wazoee kuona jela na vituo vya polisi ni Kama chumbani.Endelea kujidanganya
Amerukwa akiri huyo, hao ndio wanaotetea uvunjaji wa SheriaWe jinga nini? Siku hizi JF imejaza mijitu iliyostahili kuwa darasani ikifundishwa kusoma na kuandika, eti! Mamia walioko Magereza wanalindwa na askari wangapi?
Polisi anatakiwa akamate mtu kwa mujibu wa sheria. Kama mtu anakuwa mbishi ndio useme kuna nduli?Nduli huyo anazidi kuvimba mwisho atapasuka nyie fuatilieni tu kwa karibu. Na vibaraka wake hapo wengi wanatoka pande za chattle.
Kwani mkigoma kiongozi wenu kuchukuliwa ndiyo vuruguuu! Unajua maana ya vurugu?Ukitaka kujua kuwa jeshi la polisi lipo kila mahali jaribu kufanya vurugu tu
Umejisemea kilicho akilini mwako!!We jinga nini? Siku hizi JF imejaza mijitu iliyostahili kuwa darasani ikifundishwa kusoma na kuandika, eti! Mamia walioko Magereza wanalindwa na askari wangapi?
Mbona jibu limohumo kwenye post Mkuu!Kwa hiyo unashauri nini?
Lwakatare naye ni wa kumzungumzia au umekosa watu was kuwazungumzia.RED BRIGADE walikuwa wapi au ni kweli kwamba kilikuwa ni kikundi cha kigaidi kama anavyodai Mh. Rwakatare wa Bukoba
Kwani hichi anachoshauri siyo hatua?Wewe ulichukua hatua gani!?
Kwani wewe ulikuwa wapi?Watu zaidi ya 100 wapo ndani kiongozi wao anachukuliwa kutoka meza kuu wao wanapiga makofi kama vile anapelekwa kupewa cheo kumbe rumande
Eti Mungu anawaona, iko siku yataisha tu, yana mwisho hayo, hawataingia Mbinguni. Hii ndiyo misemo ya watanzania siku hizi mara wanaponyanyaswa na mfumo Imla wa awamu ya 5. Tujiulize huu ni upole au ujinga? Hii ni busara au ujinga? Huu ni uvumilivu au ujinga? Je, babu zetu wangetumia misemo mkoloni angeondoka?
Hata mbuyu ulianza kama mchicha! Wamewazuia maandamano mmekubali, wamewazuia mikutano ya hadhara mkakubali, sasa watawazuia hata mikutano ya ndani pia mtakubali
Watu zaidi ya 100 wapo ndani kiongozi wao anachukuliwa kutoka meza kuu wao wanapiga makofi kama vile anapelekwa kupewa cheo kumbe rumande
Eti Mungu anawaona, iko siku yataisha tu, yana mwisho hayo, hawataingia Mbinguni. Hii ndiyo misemo ya watanzania siku hizi mara wanaponyanyaswa na mfumo Imla wa awamu ya 5. Tujiulize huu ni upole au ujinga? Hii ni busara au ujinga? Huu ni uvumilivu au ujinga? Je, babu zetu wangetumia misemo mkoloni angeondoka?
Hata mbuyu ulianza kama mchicha! Wamewazuia maandamano mmekubali, wamewazuia mikutano ya hadhara mkakubali, sasa watawazuia hata mikutano ya ndani pia mtakubali
Bado naitafakari hiyo nukuu ya Makamba.Wale wangewasha timbwili hilo gari lisingeondoka.....kina mama wangelala chini chali wote mbele ya gari lisingewaua....vijana wangesimama na Mh. wao Zitto hakuna ambacho kingefanyika...
Kufikia hapo Tanzania ni safari ndefu mno..... wacha tuendelee kutawaliwa watakavyo maana nchi hii ni yao na vyote vilivyomo... hii ndiyo nukuu ya katibu mkuu mstaafu Makamba kama mtakumbuka na ni ya kweli kabisa.
Ha ha ha acha kulaumu wenzako, wewe ungefanya nini?.Watu zaidi ya 100 wapo ndani kiongozi wao anachukuliwa kutoka meza kuu wao wanapiga makofi kama vile anapelekwa kupewa cheo kumbe rumande
Eti Mungu anawaona, iko siku yataisha tu, yana mwisho hayo, hawataingia Mbinguni. Hii ndiyo misemo ya watanzania siku hizi mara wanaponyanyaswa na mfumo Imla wa awamu ya 5. Tujiulize huu ni upole au ujinga? Hii ni busara au ujinga? Huu ni uvumilivu au ujinga? Je, babu zetu wangetumia misemo mkoloni angeondoka?
Hata mbuyu ulianza kama mchicha! Wamewazuia maandamano mmekubali, wamewazuia mikutano ya hadhara mkakubali, sasa watawazuia hata mikutano ya ndani pia mtakubali