Watanzania huu ni upole au ujinga? Kiongozi anachukuliwa meza kuu, mbele yenu mnapiga makofi!

Unakuta Mtu na akili zake anashangilia CCM oyeee wakati kwa meiaka 5, mshahala wake haujaongezwa hata sent 1. Na wakati ghalama za Maisha zipo juu.
 
Nguvu nyingi sio solution for both sides.Lakini upande wa watawala wasipoliona hilo na kulitatua mapema,majuto ni mjukuu.
 
Umenikumbusha ujinga wa watu wa Afrika Kusini na Zimbabwe miaka 1960,1970 ,1980 eti wanapinga kukamatwa kwa Mandela na Mugabe yaani.
 
Watu zaidi ya 100 wapo ndani kiongozi wao anachukuliwa kutoka meza kuu wao wanapiga makofi kama vile anapelekwa kupewa cheo kumbe rumande
Kondoo wa Nyerere!!!!!!
 
Taifa la wajinga na mang'ombe ndio Hilo Lenu mnakaa na hao wanaowanyanyasa mtaani
 
Ukitaka kujua kuwa jeshi la polisi lipo kila mahali jaribu kufanya vurugu tu
Wanspigwa tu. Nimeona wanatimua mbio wakipiga ukunga kama mademu sehemu nyingi. Tarime rchuga mifano michache
 
Umewahi kupigana na askari akiwa on duty?

Umewahi kua eneo ambalo askari wamekuja kwa ajili ya kupiga na kukamata?

Umewahi kua eneo ambalo yanapigwa mabomu ya machozi?

Umewahi kuingilia ugomvi wa askari?

Kuongea ni rahisi kweli kweli
Hahaha Mtanzania kwenye ubora wake,unaanza kujinyea kabla tukio

Woga Ni adui mkubwa wa maendeleo yako,Tunisia,Egypt, Suadn,Algeria........nk,wameweza kwanini Watanzania Wasiweze
 


Alivunja (alikiuka) sheria gani?
 
Upumbavu haujibiwi kwa jazba tena mtu makini hapotezi muda wake kujibu upumbavu!
Kumbe maneno ni silaha kubwa sana! Ona sasa ulivyoumia kwa maneno machache tu kama umejeruhiwa na silaha ya moto kumbe maneno.
 
Ukitaka kujua kuwa jeshi la polisi lipo kila mahali jaribu kufanya vurugu tu
Hata wana waisrael walivumilia sana miaka ya kutosha ila ilifika siku farao alitoa ruhusa kwa midomo yake mwenyewe, unafikiri farao hakuwa na jeshi?
Ni mda tu ila juwa ipo siku kabla hujafa utaelewa kuwa maandiko hayakudanganya
 
Great! Watu wanapanic sana.
 
Ingependeza sana huu Ujasiri wako ungeanza Kutuonyesha Sisi wengine Mfano kwa Wewe kwenda mbele ili Ukifa tuzidi Kujimaarisha dhidi yao.
Ujasiri gani? Mkuu kwani unaongelea issue gani?
 
Hahaha Mtanzania kwenye ubora wake,unaanza kujinyea kabla tukio

Woga Ni adui mkubwa wa maendeleo yako,Tunisia,Egypt, Suadn,Algeria........nk,wameweza kwanini Watanzania Wasiweze
Mi nimewahi kua katika baadhi ya situations hapo. Wewe umewahi?
 
Nyinyi mababu ndiyo mnakaa mnatulaumu vijana kwanini tunaandamana wakati vyuoni tumeenda kusoma. Leo upo nyuma ya keyboard unaandika tu unachojisikia.

Haya sisi vijana tushajionjea. Zamu yenu sasa, toka kwenye keyboard nenda Msimbazi waambie umekuja kuwafundisha adabu.
 
Unataka KONDOO awe na usemi , sauti na akili ya kujiamulia. Utabaki ukiendelea kuota ndoto mchana na usiku.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…