Mathanzua
JF-Expert Member
- Jan 4, 2017
- 17,251
- 22,929
Mmewachoka wewe na nani,jisemee wewe mwenyewe.Mimi nampenda Magufuli sitamchoka.Ni ujumbe kuwa Makonda na Magufuli aliyemkumbatia muda mwingi tumewachoka.
Ndio maana Magufuli alihakikisha anasimama mwenyewe kwenye kura za maoni.
Angeacha kampenyo tu asingetoboa