Watanzania kuweni wakubwa akilini

Ni ushamba. Saivi imekuja kasumba ya kuficha mwaka wa kuzaliwa. Ssbabu ni hii na nyuma yake ni umalaya.
 
Ujana wangu ulikuwa moto hatua zangu weee uziwezi nipo hapa kitambaa cheupe nakunywa zangu soda ya fanta na bado unaniita mzee
Sasa unajaza seat bure kunywa soda pub wakati dukani Kwa Mangi zipo 500tu?
 
Kina JB hawana shida mkuu, hao ulio wataja we mwenyewe una jua jinsi wanavyo zingua! Hali ya kwamba wana jijua umri umeenda.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…