Watanzania lazima Tufahamu Rais wa nchi siyo Sawa na Rais Wa Bendi ya Mziki kiulinzi na Kiusalama


Wenye sera msingeendekeza siasa za utukufu wa bei rahisi kwenye nyumba za watu za ibada.
 
Wenye sera msingeendekeza siasa za utukufu wa bei rahisi kwenye nyumba za watu za ibada.
Tunakubalika ndio sababu ya kupewa heshima kila sehemu, Tofauti na nyie mlioshindwa kujenga hata ofisi ya makao makuu licha ya mamilioni mliyokuwa mnapokea Kama Ruzuku lakini mmeishia kuzitafuna na kunywea pombe
 
Tunakubalika ndio sababu ya kupewa heshima kila sehemu, Tofauti na nyie mlioshindwa kujenga hata ofisi ya makao makuu licha ya mamilioni mliyokuwa mnapokea Kama Ruzuku lakini mmeishia kuzitafuna na kunywea pombe

Heshima ya kushurutisha haijawahi kuwa heshima bali dhihaka.
 
Kaidai ww maana ulishuhudia Sabodo akitoa hiyo hela.
Kwani wewe ulikuwa wapi wakati huo Sabodo akitoa? Basi umechelewa Sana kufika hapo ufipa na kumbe huelewi kwanini makamanda walishamkimbia Mbowe hapo, walishashituka mchezo wake wakuzitafuna Ruzuku na michango yote ya wanachama na wafadhili bila huruma huku vijana mkipigwa jua tu
 
Watanzania wameridhishwa na kuridhishwa na CCM ndio maana unaona nchi ikiwa imetulia vyema

Hata akina Mugabe walipokuwa wanatawala kwa shuruti huku wananchi wakiwa waoga, wapambe wake kama wewe walisema nchi imetulia. Yaani kwao uoga huku wakinajisi chaguzi waliita ni nchi kutulia. Siku watu waliingia mtaani hawakuamini.
 
Hata akina Mugabe walipokuwa wanatawala kwa shuruti huku wananchi wakiwa waoga, wapambe wake kama wewe walisema nchi imetulia. Yaani kwao uoga huku wakinajisi chaguzi waliita ni nchi kutulia. Siku watu waliingia mtaani hawakuamini.
Usifananishe nchi yetu chini ya serikali ya CCM na mambo yasiyoendana, wewe huoni kila mtu anakuja kujifunza hapa Tanzania, Anzeni kumpumzisha Mwenyekiti wenu ambaye muda wote yupo madarakani
 
Usifananishe nchi yetu chini ya serikali ya CCM na mambo yasiyoendana, wewe huoni kila mtu anakuja kujifunza hapa Tanzania, Anzeni kumpumzisha Mwenyekiti wenu ambaye muda wote yupo madarakani

Nani anakuja kujifunza Tanzania boss, labda waliopoteza ramani. Lakini hakuna mtu au nchi inayojitambua inaweza kuja kujifunza Tanzania. Sana sana watakuja kuangalia asili ya huu ujinga na uoga imetokana na nini.
 
Nani anakuja kujifunza Tanzania boss, labda waliopoteza ramani. Lakini hakuna mtu au nchi inayojitambua inaweza kuja kujifunza Tanzania. Sana sana watakuja kuangalia asili ya huu ujinga na uoga imetokana na nini.
CCM Ni Tanuri la kupika viongozi wa leo na kesho, Ndio maana unaona hata nchi jirani zinatuheshimu
 
CCM Ni Tanuri la kupika viongozi wa leo na kesho, Ndio maana unaona hata nchi jirani zinatuheshimu

Tanuri la kupika wanafiki, waongo, wazandiki nk. Narudia tena watu wanaoweza kuja kujifunza hapa labda watoke Burundi maana hao ndio waliochoka kuliko sisi.
 
Ukishangaa ya Musa.....
 
Umenikumbusha Gazeti la Mzalendo .Jifunze kusummarized Chief.
 
Tanuri la kupika wanafiki, waongo, wazandiki nk. Narudia tena watu wanaoweza kuja kujifunza hapa labda watoke Burundi maana hao ndio waliochoka kuliko sisi.
Nilikuuliza hivi Ile michango ya join the chain IPO wapi? Mmetafuna nazo? Mbona hamna huruma nyie? Watu wanaomba mrejesho, mbona kimya? Au ndio zimetafunwa kama zile za Ruzuku?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…