Pre GE2025 Watanzania Msife Moyo 2025 tunaenda kumpata Magufuli Mwingine, ila anatofauti kidogo

Pre GE2025 Watanzania Msife Moyo 2025 tunaenda kumpata Magufuli Mwingine, ila anatofauti kidogo

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ukitazama kwa jicho la maendeleo, uzalendo, weledi na mapenzi Tundu Lissu ana fanana kwa asilimia 90% na Hayati Dr Josef Pombe Magufuli Aliyekuwa Rais wa JMT awamu ya tano.
Jambo moja ambalo sote tunakubaliana ni kuwa Tundu Lissu hana vielement vya One Man Show. He is inclussive and Citzens oriented


This man has special features packaging

  • confidence
  • reliability
-knowledgiable
-Patriotism
- Human Rights Defender
-Development oriented
-Citzen centred Approach

Tunamshukuru Mungu anaenda kutupa Magufuli wa Tofauti Kidogo. Ataziba hamu yetu iliyopungua baada ya kuondokewa na Mpendwa wa Taifa.
Atakachosema Paskali ndio hiko kitakachotokea
 
Ukitazama kwa jicho la maendeleo, uzalendo, weledi na mapenzi Tundu Lissu ana fanana kwa asilimia 90% na Hayati Dr Josef Pombe Magufuli Aliyekuwa Rais wa JMT awamu ya tano.
Jambo moja ambalo sote tunakubaliana ni kuwa Tundu Lissu hana vielement vya One Man Show. He is inclussive and Citzens oriented


This man has special features packaging

  • confidence
  • reliability
-knowledgiable
-Patriotism
- Human Rights Defender
-Development oriented
-Citzen centred Approach

Tunamshukuru Mungu anaenda kutupa Magufuli wa Tofauti Kidogo. Ataziba hamu yetu iliyopungua baada ya kuondokewa na Mpendwa wa Taifa.
Huyu bwabwaja aliyesema tusipowapa wazungu madini tutashitakiwa ndo anafanàna na Magufuli?
 
Ukitazama kwa jicho la maendeleo, uzalendo, weledi na mapenzi Tundu Lissu ana fanana kwa asilimia 90% na Hayati Dr Josef Pombe Magufuli Aliyekuwa Rais wa JMT awamu ya tano.
Jambo moja ambalo sote tunakubaliana ni kuwa Tundu Lissu hana vielement vya One Man Show. He is inclussive and Citzens oriented


This man has special features packaging

  • confidence
  • reliability
-knowledgiable
-Patriotism
- Human Rights Defender
-Development oriented
-Citzen centred Approach

Tunamshukuru Mungu anaenda kutupa Magufuli wa Tofauti Kidogo. Ataziba hamu yetu iliyopungua baada ya kuondokewa na Mpendwa wa Taifa.
🚮🚮🚮

Mtasogeza sana tarehe,2025 ni wiki ijayo tuu sio mbali 🤣🤣
 
Kama rais atakuwa ni muislamu mambo ya uzalendo yatakuwa ndoto hakuna muislamu ataacha kuabudu mabeberu na waarabu
Nyie wakelristo si mlikua mnawapa maeneo wazungu wakae vzr na hamkutaka watoe uhuru mpaka waislamu walipoamua na hadi leo mnarudisha nyuma serikali kwa wizi na vyeti feki
 
Raisi wa kuazimwa nchi jirani
too low mliberali ata kama yes ni ameazimwa ndion rais wako na huwezi fanya lolote kwa sababu baba yako
Kambarage alivoungana na hao nchi jirani hakuweza kuona mbali alifikiri Mungu ako na ujamaa nae, ona sasa mmebakia kubweka kama lil bit**h.
 
Nyie wakelristo si mlikua mnawapa maeneo wazungu wakae vzr na hamkutaka watoe uhuru mpaka waislamu walipoamua na hadi leo mnarudisha nyuma serikali kwa wizi na vyeti feki
Tumia akili africa akukua na wakristo wala waislamu hivyo swali lako ni upumbavu hso wahalifu wa kizungu na kiarabu ndiyo walileta ukristo na uislamu...hivyo ukisema nyie wakristo umesha kosea...maana utakuwa unaongea kana kwamba ukristo siyo zao la ukoloni na uislamu siyo zao la ukoloni...kwenye swala la kupigania uhuru hatutakiwi kuwataja wakristo au waislamu maana ukristo na uislamu ni kovu la ukoloni pia ...tena hata tukiongelea dini.. baada ya ukoloni kuingia ndipo wengine wakawa wakristo na wengine waislamu....ukisikia vita vya majimaji usidhani walikuwa waislamu au wakristo waafrica tulipigania nchi zetu kabla ya kuwa na dini za ukristo na uislamu dhidi ya wakoloni ...ukisikia mangi meza wa uchagani usidhani alikuwa mkristo au muislamu tumia akili ...ukisikia chifu mkwawa usidhani alikuwa mkristo au muislamu ...hata watu wa pwani ya africa mashariki hawakuwa waislamu pia.
 
Ukitazama kwa jicho la maendeleo, uzalendo, weledi na mapenzi Tundu Lissu ana fanana kwa asilimia 90% na Hayati Dr Josef Pombe Magufuli Aliyekuwa Rais wa JMT awamu ya tano.
Jambo moja ambalo sote tunakubaliana ni kuwa Tundu Lissu hana vielement vya One Man Show. He is inclussive and Citzens oriented


This man has special features packaging

  • Confidence
  • Reliability
  • Knowledgiable
  • Patriotism
  • Human Rights Defender
  • Development oriented
  • Citzen centred Approach

Tunamshukuru Mungu anaenda kutupa Magufuli wa Tofauti Kidogo. Ataziba hamu yetu iliyopungua baada ya kuondokewa na Mpendwa wa Taifa.
20241218_051429.jpg
 
Tumia akili africa akukua na wakristo wala waislamu hivyo swali lako ni upumbavu hso wahalifu wa kizungu na kiarabu ndiyo walileta ukristo na uislamu...hivyo ukisema nyie wakristo umesha kosea...maana utakuwa unaongea kana kwamba ukristo siyo zao la ukoloni na uislamu siyo zao la ukoloni...kwenye swala la kupigania uhuru hatutakiwi kuwataja wakristo au waislamu maana ukristo na uislamu ni kovu la ukoloni pia ...tena hata tukiongelea dini.. baada ya ukoloni kuingia ndipo wengine wakawa wakristo na wengine waislamu....ukisikia vita vya majimaji usidhani walikuwa waislamu au wakristo waafrica tulipigania nchi zetu kabla ya kuwa na dini za ukristo na uislamu dhidi ya wakoloni ...ukisikia mangi meza wa uchagani usidhani alikuwa mkristo au muislamu tumia akili ...ukisikia chifu mkwawa usidhani alikuwa mkristo au muislamu ...hata watu wa pwani ya africa mashariki hawakuwa waislamu pia.
Uko sahihi katika nani walioingiza hizo Dini Afrika na hapa Tanzania au sijui unapaita Tanganyika !
Lakini ukizungumzia zile zama za stone age hata nguo zilikuwa hakuna watu walikuwa wakitembea uchi au kuvaa majani na mengineo kama hayo ,
Polepole watu wakaanza kubadilika kutokana na maingiliano yao na watu wa kutoka pande hizo usizozipenda wewe ,
Watu wakaanza na kuvaa nguo na mambo mengine kama hayo,
Na mabadiliko hayo hayakuanzia Afrika tu bali ni Duniani kote, hata huko hizi Dini mbili za Waisiharamu na Wakirisito zilikoanzia Mashariki ya Kati nao pia walikuwa wapagani kama upendavyo wewe!
Lakini nao wakaanza kubadilika badilika Polepole kwa migugumbaro ya kila aina na mpaka hata Vita zilipiganwa pia baina ya hao wapagani na hao waliokuwa na imani na Dini zao mpya walizotaka zifuatwe ,
Kama ujuavyo Maendeleo yana gharama zake pia !
Watu wakataka Maendeleo hivyo ikabidi na baadhi ya Vitabia tabia vya ajabu ajabu waviache,
Polepole watu wakaanza kubadilika na kufuata vile walivyoviona vina manufaa katika maisha yao kama Elimu mpya iliyopatikana na mambo kama hayo !

Kwa kifupi ni kwamba mabadiliko hayo hayakuja kuanzia Africa bali yalifanyika Duniani kote na wapo waliyoyakubali ambao ni wengi na wapo walioyakataa baadhi ya mabadiliko lakini mabadiliko ya kuacha kuvaa majani wakayakubali !
Maisha ni DYNAMICS
TUSINGEWEZA KUISHI VILE VILE MPAKA WAKATI HUU,
Ndio maana hata wewe na mimi tunawasiliana hapa bila hata ya kujuana !
Wapongezwe waliotuletea yale mabadiliko ya mwanzo ! 🙌
 
Back
Top Bottom