Watanzania safari za Kenya zimewashinda licha ya kuachiwa uwanja wote


Mkuu ww ni mtu mzima ila unafeli sana, usipende kudhani vitu usivyovijua, tumeban ndege zenu as a reciprocal measure, hii ni purposefully done, not to take chances while we pinned u down, ni hakuna in wala out, tutachukua fursa hii ban ikiisha, mkitaka iishe, kwa upande wetu mtakula ban mpaka mtuondoe kwenye list yenu ya kijinga mnayotumia kama justification ya kuibia Wakenya maskini, but since u guys mmeshachukua pesa na masharti ya mabwana zenu ni kuleta impression kwamba Tz kuna Corona, basi mtakula jeuri na utumwa wenu mpaka mwisho wa dunia. Bongo ulikuwa huijui, utaijua vizuri sasa.
 
Bwahaha!!top 20 ndio unaturingishia hapa[emoji23][emoji23][emoji23]
Top 20 kenyan kuna nchi nyingi sana, sai tulipofikia tunakomaa na vya kwetu alafu wengine badae..
Wanafiki tumewaelewa
Umepewa facts umebaki kujichekesha chekesha kama mmama.
 
Nyambafu!!! hujui Kenya bado wana corona!!
 

List hamtoki mpaka dawa ya corona au chanjo ije Kenya, tujihakikishie usalama wetu kwanza, mindege kuja Dar haiwezi ikalinganishwa na uhai wetu au afya ya watu wetu.
Ban kila kitu, tufungiane mipaka, fukuza Wakenya wote huko lakini hatubadilishi eti tuachie muingie bila kupimwa, lazima mpimwe na wataalam wetu, hilo litaendelea kuwa hivyo mpaka mwisho.
Halafu ndivyo mnafanywa kote hadi Uganda, ila yakifanywa na Kenya mnalia sana.
 
Ug hawajaweka iyo list. Sasa kama hamtutoi kwa iyo list, usije na hadithi za mmetuachia sijui uwanja tumeshindwa, hatujashindwa, tumeamua tu iwe kama mtakavyo na sisi tunajaribu kuwakinga tusiwaambukize, tutaona nani atakaelegeza hii kamba, Kati ya Kenya na Tz, si mlilianzisha, tutamalizia.
 
"Dawa ya Corona au chanjo, IJE Kenya," venye mmeshikiwa akili, very stupid mindset.
Nina hamu tufungiane mipaka kabisa, mtaletewa masumu muambiwe pelekeni Tz, na mlivyo na roho mbaya mtavolunteer sana, fortunately we have the best intelligencia, we're safe.
 
Mumekosa abiria na kushindwa, tatizo lenu chuki na uzembe, na ndio maana mtaendelea kuwa maskini kwa muda mrefu maana wivu na chuki huwatafuna.
Hv mkuu, leo umepata angalau mlo mmoja na familia yako?
 
Hehee!!top 20 ni mbili tu, nimekuumbua sasa umeona uanze kujitoa ufahamu..
Ila ujue takwimu zinasema km mnatuwaza sana[emoji23][emoji23]
Ile siku utaona forum ya kenya iko na tz section ni tag..
 

Jaribu peleka pua lako Uganda ndio uelewe maana yake, kwanza Uganda wamewafanyia dharau kubwa zaidi ya tulichowafania nyie, wameweka jeshi UPDF mpakani, kajamba yeyote thubutu kupita bila kupimwa uchezee vichura. Wao wametenganisha jamii za mpakani hata wale huchangia makabila. Nafuu kwentu sisi hatujawatenganisha jamii za mipakani, wao bado wanaishi kama ndugu.

Kuhusu ndege mumedhihirisha nyie bado ni wale wale wazembe wa kutupwa jalalani, mumeachiwa uwanja maana hatujazuia ndege zenu, ila mkazubaa fursa zimenyakuliwa na Rawndair, KLM n.k., nyie bado mumeganda hapo mnajipa vijisababu eti hakuna abiria wa kutosha, watu wa hovyoo sana nyie na mtaendelea kuwa maskini kwa muda mrefu maana mpo mpo tu.
Tanzania has been ranked the 24th poorest country in the world

Mumetajwa kuwa watu wa IQ ndogo Afrika
Tanzania has the lowest IQ in East Africa
 

Mkuu ukiona ivo ujue sisi watanzania hatuna umuhimu na ninyi. Bali ninyi ndiyo mna umuhimu na sisi uchumi wenu unatutegea sisi.

Siku zote Wakenya ndiyo wanaoshobokea watanzania.
 
Hehee!!top 20 ni mbili tu, nimekuumbua sasa umeona uanze kujitoa ufahamu..
Ila ujue takwimu zinasema km mnatuwaza sana[emoji23][emoji23]
Ile siku utaona forum ya kenya iko na tz section ni tag..
πŸ˜…πŸ˜… Ni mbili kwenye akili yako, tena saivi ni 10, mboso kaingia trending tayari, wakati wapo wakenya kibao wametoa ngoma lakini hawajanusa trendy
 
Wewe piga chorus zako za kila siku sijui iq, umaskini, on the ground we know who is poor, can't feed themselves and has low iq, mfano wewe unavyoreason na hii chorus yako ya kila siku, just shows how low iq you are, serikali yenu inavyowaibia na kuwaweka curfew usiku, shows what a shit hole low iq nation, you guys are, venye mnakuwa taken for a ride with covid 19 millionaires, Tz unaowaita maskini & low iq has been messing around with your shit hole and the poor shit hole can't do nuthn other than complaining,
Umaskini, population wise, Kenya ndio ina asilimia kubwa ya maskini ukicompare na Tz, Kenya ndio mna high unemployment rate kuliko Tz, afu unakuja na ngonjera zako hapa, wengi huku JF tu nakuona ni lifara tu limoja with vry low iq, lenye same chorus ambayo humsaidia kufeel on top whilst in reality, every east African with senses knows now that Tz ndio baba lao.
Thanks to Corona, tutazidi kuwa prove kwamba nyinyi ni maskini with low iq and you can't do anything to Tz sababu tumewaweka kiganjani, toka lini low iq akamweka high iq kiganjani, only in EA.
Let the game continue.
 
[emoji28][emoji28] Ni mbili kwenye akili yako, tena saivi ni 10, mboso kaingia trending tayari, wakati wapo wakenya kibao wametoa ngoma lakini hawajanusa trendy
Mafara hawa wanapenda kutufuatilia fuatilia afu wa nakuja na karamani Chao uchwara, source ni account ya Twitter, eti watz tuna wawaza sana, mbona hawa trend in our YouTube trends.
Walitaka susia our music, hawakuweza, hakuna kitu wameweza against Tz, afu fara mmoja anasema wao wana high iq.
The audacity
 
Wanajisahaukisha tu
Yaani mpaka mawaziri na magavana wao wa naongelea Tanzania kwenye petty things kabisa huko mitandaoni, ndio ujue namna gani Tanzania ipo effective kuanzia kwa viongozi wao wakubwa mpaka mlalahoi wa mathare

Sijawahi kuona hata siku 1 viongozi wetu wakiingolea Kenya kwenye handlers zao, wasanii wao wote wapo desperate na Tanzania, wachezaji wao team ya Taifa karibu wote wapo kwenye clubs zetu, nimeshangaa mpaka wachezaji wa kike karibu wote wamekimbilia Tanzania

Hivi. Hapa bado tuna haja ya kujadili nani anamuwaza mwenzake? πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
Mumekosa abiria na kushindwa, tatizo lenu chuki na uzembe, na ndio maana mtaendelea kuwa maskini kwa muda mrefu maana wivu na chuki huwatafuna.
Wewe unaimizwaje na umasikini wetu?..
 

Sio chorus ni facts za kisayansi, nyie ni aibu ya Afrika, mna kila kitu lakini makini wa kutupwa, tatizo lipo kwenye IQ kama namna utafiti ulibainisha.
 
[emoji28][emoji28] Ni mbili kwenye akili yako, tena saivi ni 10, mboso kaingia trending tayari, wakati wapo wakenya kibao wametoa ngoma lakini hawajanusa trendy
Zilete hzo kumi jomba[emoji23][emoji23][emoji23]
Manake naona unaumia sana[emoji122][emoji122][emoji122]
Nimekuletea screenshots naona zinekuchoma sana[emoji382][emoji382][emoji382]
 
Subutu!!museven anahamu nao sana ndio manake wanajitoa ufahamu kw kujitia kuiandama kenya na kuipotezea uganda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…