baba-mwajuma
JF-Expert Member
- Feb 1, 2014
- 4,178
- 7,591
Context ni kwamba Kikwete kakaa miaka 10 ukijumlisha mi 5 tu ya Samia ama Mita I tu ya Magufuli utakua unamuonea, ni Either ugawanye Deni na GDP ama deni na miaka waliyokaa upate Figure nzuri kimahesabu.Context ipi? Nimerekebisha namba ambazo umeamua kuongopa
Nijumlishe debi la 2011? Sijakuelewa
Kikwete alikopa kuliko hao wawili, hii ni data ulizoweka mwenyeweaana umesema magu alikopa $9b ,na Samia kakopa $7b
Wote hao hawajamfikia jk hiyo $14b
Unapata mahangaiko ya bure unaamua hadi kupika data ili kujiridhisha ya nini? Wenyewe wote hao hakuna anayejali hilo
Bwege wewe mbona unarahisisha vitu kiasi hiki?Kwa Vision zake, Aliekuja baada yake hakuwa na Vision hio, utamlaumu Vipi Kikwete?
Hizo ndio zile data zilzokuwa discussed kila siku humu za Kupika, Inakuaje mwaka huu Export iwe 2M then mwaka unaofuatia iwe 400M unaofuatia tena iwe 2M?Link uliyoweka inapingangana na ulichoandika, export iliongezeka kwa $2b, maelezo yako data zilipaswa ziwe zimeshuka na sio kuongezeka
Korosho haikushuka, ndio ilikwenda juu kuanzia uzalishaji hadi mapato
Kwenye cashewnuts umesema uongo wa hali ya juu. Korosho wakati JK anaingia iliporomoka hadi kufikia $25m kutoka $68m aliyokuwa nayo mkapa, japo baadae ilianza kupanda. Kikwete nae alifanya nn korosho ikaporomola hivyo 2007, aliua wakulima?
Jk anaondoka export value ya korosho ilikua $196m, but magu aliipeleka hadi $500m, hatujawahi kufika hiyo level hata kwa Sasa. Hapo utaweza vipi kusema aliua hiko kilimo?
Pitia hapa usome tena vizuri trend ya korosho kutoka BOT, urudi uje ufute ulichoandika
and 100 others kuwa makini tena na taarifa za baba mwajuma. Anaweka uongo mwingi
Usianze kuahangaika. Tuchukue tu hadi September 2015. Hapa deni lilikua $15b, hadi may 2021 Deni lilikua $24b, ambayo bado ni ile ile $9b. Hiyo trillion 61 ni kwa TShs, hapo sisi tumezungumzia dollars, Wala usichanganyeSababu 2021 ipo shared kati ya Samia na Magu, nimeweka tu kwa Samia sababu shared ya Magu na Kikwete nimeweka kwa Magu. Ukiangalia data za Bot Q1 2021 ambayo uongozi wa Magu bado ulikua madarakani deni ni Trilioni 61.8
Tanzania's Debt Surge Driving Economic Growth or Impending Risk? - TICGL
In March 2021, Tanzania's external debt stood at TZS 61,805,876 million (61 trillion), representing a decrease of 5% from February 2021, but a notable increase of 9% from March 2020. This suggests a fluctuating pattern in external borrowing, possibly influenced by economic conditions and...ticgl.com
Hakuna data nzuri za miezi 2015 ila tulianza na Trilioni 20 tu kamaliza na Trilioni 34, so fanya hesabu zako mwenyewe kilichokopwa na Magu ni between Trilioni 27 mpaka 40, kama una data za Quarter za 2015 Niwekee.
Hii video ya Tundu Lisu ikisisitizia Nilicho ongea.
View: https://x.com/bavicha_taifa/status/1361397249331392514/mediaViewer?currentTweet=1361397249331392514¤tTweetUser=bavicha_taifa
Uliweka data za BOT ni wewe, hapa tena unasa huziamini ni za kupika? Ulipoziweka ulikua hujui kuwa ni za kupikwa? Au sababu ya wewe kuweka link ya data za BOT ni ipi? Ulijua hatutafungua hiyo link?Hizo ndio zile data zilzokuwa discussed kila siku humu za Kupika, Inakuaje mwaka huu Export iwe 2M then mwaka unaofuatia iwe 400M unaofuatia tena iwe 2M?
Assume hizo data ni sahihi na wewe ni mkulima, mdogo unaweza afford mwaka huu ulime upate faida mwaka I ulime Upate hasara yote, then mwaka unafuata faida unafuata hasara etc, hakuna mwaka kipindi cha Kikwete ambazo Export revenue zilikua 2M.
Pitia huu uzi watu wakidscuss kupikwa kwa data za korosho, uzalishaji na bei zilizouzwa.
Tani 4,852,851 za korosho ghafi zauzwa Lindi
Tani 4,852,851 za korosho ghafi zimeuzwa katika minada miwili iliyofanyika kwa nyakati tofauti katika Wilaya za Lindi na Nachingwea mkoani Lindi mwishoni mwa wiki. Kaimu Mrajisi wa Vyama vya msingi vya ushirika mkoani Lindi, Robert Nsunza alisema tani 2,111 ziliuzwa katika mnada Nachingwea...www.jamiiforums.com
Hiyo sio context, context ilikua ni total ya Deni lote nani kakopa ngapi.Context ni kwamba Kikwete kakaa miaka 10 ukijumlisha mi 5 tu ya Samia ama Mita I tu ya Magufuli utakua unamuonea, ni Either ugawanye Deni na GDP ama deni na miaka waliyokaa upate Figure nzuri kimahesabu.
CUsianze kuahangaika. Tuchukue tu hadi September 2015. Hapa deni lilikua $15b, hadi may 2021 Deni lilikua $24b, ambayo bado ni ile ile $9b. Hiyo trillion 61 ni kwa TShs, hapo sisi tumezungumzia dollars, Wala usichanganye
Wakati wa JK September 2015 Deni likiwa $15b, soma BOT report hapa
Wakkati wa magu hadi April 2021 ilikua $24. Nimeongezea mwezi mmoja kwa magu nimepunguza miwili kwa jk ili uwe na amani zaidi.
Hapo naamini utaelewa Kama bado sema
Hiyo kukopa trillion 40 itafute humo kwenye reports za BOT kama utaiona, mwanasiasa huzungum,a chochote na ukichagua kuamini hilo badala ya reports basi usichuje kuamini mengine. Lissu alisema kikwete ni fsadi mkubwa, je unakubaliana nae? Alisema Abdul na mama yake ni wala rushwa je unakubaliana nae?
Tulisema twenda kwa data basi twende kwa data
For the sake of discussion tutumie data zako ni $9B imekopwa, within 5 years,Usianze kuahangaika. Tuchukue tu hadi September 2015. Hapa deni lilikua $15b, hadi may 2021 Deni lilikua $24b, ambayo bado ni ile ile $9b. Hiyo trillion 61 ni kwa TShs, hapo sisi tumezungumzia dollars, Wala usichanganye
Wakati wa JK September 2015 Deni likiwa $15b, soma BOT report hapa
Wakkati wa magu hadi April 2021 ilikua $24. Nimeongezea mwezi mmoja kwa magu nimepunguza miwili kwa jk ili uwe na amani zaidi.
Hapo naamini utaelewa Kama bado sema
Hiyo kukopa trillion 40 itafute humo kwenye reports za BOT kama utaiona, mwanasiasa huzungum,a chochote na ukichagua kuamini hilo badala ya reports basi usichuje kuamini mengine. Lissu alisema kikwete ni fsadi mkubwa, je unakubaliana nae? Alisema Abdul na mama yake ni wala rushwa je unakubaliana nae?
Tulisema twenda kwa data basi twende kwa data
Then usidandie Lori kwa mbele kwa usichokijua, kasome comment yangu ya mwanzo.Hiyo sio context, context ilikua ni total ya Deni lote nani kakopa ngapi.
Wanasema halotel ana kipandeMtu usafiri si kuomba msaada tu bali kutengeneza mahusiano na kutafuta uwekezaji.
Mfano Chukulia huyo Kikwete Angalia uwekezaji alioleta Tanzania utafananisha na nini?
Kamleta Dangote Tanzania akawekeza zaidi ya Trilioni, kawaleta Wavietnam ambao ngumu kuwakuta popote Duniani wakaja kusambaza Internet vijijini nao zaidi ya Trilioni wamewekeza, unapata vipi huu uwekezaji ukijifungia ndani?
Tulikwishakuwa omba omba wa dunia. Ikafikia hata kuomba na kupewa ikawa ni sifa ya mgombea urais. Kwamba eti awe anajulikana duniani. Baadaye marais wetu wakabweteka. Ukawa mtindo kusafiri. Kama kawaida ikawa kama ngoma, wapo waliozidisha.
JK yeye aliishi hewani kuliko hata rubani. JPM akafunga breki. Akaitwa mshamba. Akachochewa asafiri, yeye akagoma, akafanya makubwa kuliko waliosafiri sana. Maisha yakawa mafupi -RIP. Sasa akaingia mwingine.
Huyu akaaminisha umma kufungua nchi atapata misaada. Kuleta misaada ikawa ni kazi rasmi ya rais wa TZ. Mawazo yakawa mchanganyiko. akapingwa yeye akaendelea na akachochewa kama forward wa ligi kuu. Akacheza na taarabu, kamera zikimfuatilia akiwa na mashoga zake nayeye kama vijembe vya taarabu, akanengua tu!
Sasa tuulizane safari za kuleta misaada bado ni dili? Hiyo ndo kazi ya rais? Mashabiki wa utawala, bado muna ushahidi wa faida za safari hizo? Sasa tuna uhakika wa kutopewa misaada na US je, bado tunaona haya kukemea Ushoga na badala yake kusema maadili! Maadili! maadili!
Twende Taratibu 2019/20 tumepata revenue 500M usd kwa link yako uliyoweka ya mwanzo BotUliweka data za BOT ni wewe, hapa tena unasa huziamini ni za kupika? Ulipoziweka ulikua hujui kuwa ni za kupikwa? Au sababu ya wewe kuweka link ya data za BOT ni ipi? Ulijua hatutafungua hiyo link?
Kwa nini iwe ya kupikwa hadi leo? Huamini hata wanaozitoa hizo data kwa Sasa?
Basi tusemw BOT waongo, ingia hapa kwa FAO uone huo mwaka ulinganishe na za BOT
Inawezekana, ila all in all Halotel ilikua ni mkombozi wa watanzania kabla Awamu ya 5 hawaja anza kupanga Mabando.Wanasema halotel ana kipande
Ukapimwe ndugu kwa hiyo huwezi kukaa kwako ukavutia wawekezaji mpaka uwafate majumbani kwao huu ni ujinga wa mtu mweusi kufikiri hivyo.inabidi tumpinge adui ujinga.Kamleta Dangote Tanzania akawekeza zaidi ya Trilioni, kawaleta Wavietnam ambao ngumu kuwakuta popote Duniani wakaja kusambaza Internet vijijini nao zaidi ya Trilioni wamewekeza, unapata vipi huu uwekezaji ukijifungia ndani?
Tupe ushahidi bwana magurue usilete mboyoyo hapaHajawahi safari popote kutafuta Msaada bali connection za biashara,uwe jnafuatiloa ziara za Rais.
Na Kwa taarifa Yako hajawahi fanya ziara ya hasara.
Hii umeweka kama layman, hujui kwa nini kila mwaka deni linaongezeka?C
For the sake of discussion tutumie data zako ni $9B imekopwa, within 5 years,
Umesema mwenyewe Kikwete Deni la Taifa lilikua $4B japo ningependa kuona na riport ya Bot mwezi kama huo Toka kwa mkapa.
So Tuna Magu
9B kwa 5 Years
Kikwete
11B kwa 10 years
9 gawanya 5 ni 1.8B usd per year
11 gawanya 10 ni 1.1B usd per year.
700M usd ni takriban Trilioni 2 zaidi Magu alikua akikopa kwa mwaka compare na mtangulizi wake.
So utazunguka utarudi pale pale.
Hapo hatuja factor ukuaji uchumi.
Hiyo haihalalishi kuweka takwimu sio sahihiThen usidandie Lori kwa mbele kwa usichokijua, kasome comment yangu ya mwanzo.
Nimetoka kukuambia kuwa aliyeweka link ya BOT ni wewe, angalia tena mwanzoni. Mm nimesoma na kuchambua ulichoweka labda upikua hujui kuwa hiyo hiyo link Ina advantage kwa ulichotaka kionekane ni hasaraTwende Taratibu 2019/20 tumepata revenue 500M usd kwa link yako uliyoweka ya mwanzo Bot
Kwenye link yako ya pili uzalishaji tani 232K
So kilo ilikua dola 2.15 roughly 5000 na kitu.
Ila bei tuliyouza (kwa media zetu za kiswahili) inaonesha ilikua ni kati ya 1500-2300
Source
Sasa nielimishe mkuu, hio 1500-2300 imefikaje kuwa 5000?
Hio ni between 140M usd mpaka 220M usd tu, kama Data hazikupikwa nipe mchanganuo wake.
Toa na mifano hai, Kila siku kiongozi wa Nchi X anamfata Nchi Y kuongeza ushirikiano haijaanza leo wala jana.Ukapimwe ndugu kwa hiyo huwezi kukaa kwako ukavutia wawekezaji mpaka uwafate majumbani kwao huu ni ujinga wa mtu mweusi kufikiri hivyo.inabidi tumpinge adui ujinga.
Data za Bot za zamani of course ni credible tulikua na mikataba na wafadhili hizo data kuwa published kwa uwazi, something open Government nimesahau jina Lake ila Magu akajitoa kupika data.Nimetoka kukuambia kuwa aliyeweka link ya BOT ni wewe, angalia tena mwanzoni. Mm nimesoma na kuchambua ulichoweka labda upikua hujui kuwa hiyo hiyo link Ina advantage kwa ulichotaka kionekane ni hasara
Pili tuamue tutumie taarifa zipi ambazo ni credible, maana hutaki za BOT unasema ni za kupikwa, alafu hapo hapo unaleta za page ya kilimo kwanza kwa nini nazo usiamini kuwa hazipo sawa?
Kama una doubt za BOT kwa nini ulianza kutuwekea link ya data za BOT? Na hapo umetoka Tena kuniambia niweke data za Deni za BOT. Tukubaliane sasa tutumie zipi