SweetyCandy
JF-Expert Member
- Sep 17, 2022
- 3,109
- 6,323
Misaada ipi na hatuna shida??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwamposa si ana miujiza ya kufuta madeni labda wamtumie 😄Trump amekataa huo ujinga, hakuna sehemu utapata misaada mikubwa tofauti na Marekani
Naona umehama kwenye mikopo unaleta ligi.Halafu kumbuka Takwimu zako kuhusu SSH zinajumuisha miaka 2-3 tu (2021-2023), na uchumi hauwezi kupimwa kwa muda mfupi namna hiyo, na bado kwenye mahesabu umeboronga.
Kingine Miradi mingi inayochangia ukuaji wa GDP sasa ilianza enzi ya Maguful lakini matokeo yake yanaonekana sasa.
Magufuli alikumbana na changamoto za COVID-19 mwishoni mwa utawala wake, hali iliyopunguza ukuaji wa uchumi, ingekuwa huyu SSH asingetoboa, hali ingekuwa mbaya vibaya sana.
Serikali ya JPM ilijenga miundombinu mikubwa ambayo inaweza kuwa na athari za muda mrefu.
Hata ongezeko la Pato la Taifa chini ya Rais Samia lina uhusiano mkubwa na juhudi za Magufuli. Miradi aliyoanzisha Magufuli imekuwa msingi wa maendeleo yanayoonekana wakati wa SSH.
Miradi ya Hayati JPM aliyoanzisha wakati wa uongozi wake imechangia katika ongezeko la Pato la Taifa chini ya SSH. matokeo yake yameendelea kuonekana hata baada ya uongozi wake kumalizika. ujenzi wa barabara na madaraja na upanuzi wa barabara mbalimbali umechangia kuboresha biashara na usafirishaji, hivyo kuongeza mzunguko wa fedha katika uchumi chini ya SSH.
Magufuli aliboresha usimamizi wa sekta ya madini kwa kusimamia mikataba na kuhakikisha serikali inanufaika zaidi, chini ya SSH mapato kutoka madini yameongezeka, ikiwa ni matokeo ya mfumo mzuri ulioanzishwa wakati wa JPM.
Na JPM angeendelea kuwepo, uchumi ungekuwa juu zaidi , angalia miradi aliyoacha kama SGR, faida zake mnaziona sasa katika ajira, biashara, na kupunguza gharama za usafirishaji wa mizigo, angalia mradi mkubwa wa kuzalisha megawati 2,115 za umeme, kujenga madaraja n.k....
Na huyo kikwete akatuambia mtwara itakuwa kama Dubai na kwa gesi iliyopo umeme tutakuja kuuza mpaka nchi za jirani...hawa ndio wanasiasa na sisi ndio wadanganyikaMtu usafiri si kuomba msaada tu bali kutengeneza mahusiano na kutafuta uwekezaji.
Mfano Chukulia huyo Kikwete Angalia uwekezaji alioleta Tanzania utafananisha na nini?
Kamleta Dangote Tanzania akawekeza zaidi ya Trilioni, kawaleta Wavietnam ambao ngumu kuwakuta popote Duniani wakaja kusambaza Internet vijijini nao zaidi ya Trilioni wamewekeza, unapata vipi huu uwekezaji ukijifungia ndani?
Kwamba wewe si mfatiliaji wa habari za kimataifa?,Umejifungia tu Tanzania au vipi!!!MwanaJF, yaani mara hii umeshayaona maendeleo ya traore?!!!😄😄😄😄
Tuambie ameshaiendeleza vp nchi yake?!!!! Umesimuliwa na nani, lissu au?!!!
Yule ni tapeli tupu kama CCM wengineMwamposa si ana miujiza ya kufuta madeni labda wamtumie 😄
Ova
Kwa Vision zake, Aliekuja baada yake hakuwa na Vision hio, utamlaumu Vipi Kikwete?Na huyo kikwete akatuambia mtwara itakuwa kama Dubai na kwa gesi iliyopo umeme tutakuja kuuza mpaka nchi za jirani...hawa ndio wanasiasa na sisi ndio wadanganyika
Kama ilivyo kawaida kwa makusudi na kwa kudhamiria umeamua kuweka uongo wa kiwango cha juuSawa Twende Taratibu
Magu amerithi deni la $16.2B toka kwa Kikwete kwa Gdp ya 49.99B
Mpaka mwishoni 2020 deni la Taifa lilikua 25.5B kwa GDP ya 66B so kulikua na ukuaji wa Pato la Taifa Takriban 16B na ukopaji wa 9.3B ndani ya miaka 5.
Deni la Taifa sasa hivi imezidi 33B ila hatuna data za 2024 za Gdp, natumia za 2023.
Mpaka 2023 GDP yetu ilikua ni 79B usd na deni 31B usd, sawa na ongezeko la 13B usd kwenye pato na 5.5B usd kwenye Deni
Ukiangalia ratio hapo
Magu 1.77
Samia 2.36
So kila 1 aliyokopa Magu alizalisha 1.77 na Kila moja aliyokopa Samia alizalisha 2.36.
Pengine ikawa ratio ya Samia imeshuka 2024 maana viashiria vinaonesha kuna ongezeko dogo ila still ni much better kuliko Magu.
Hivyo mtu yoyote yule anayemsema Samia na kumsifia Magu kwenye Suala zima la ukopaji ni mnafiki, tu wote Wawili Samia na Magu utawala wao tumeshuhudia ukopaji mkubwa mno, Wamekopa zaidi kuliko maraisi wote 1961-2014.
Trillion 30?? Hapo juu umetoka kusema ni kwa kipindi chake alikopa $9b, ambayo kwa rate iliyokua ya 2300 ni trillion 20Kama Ndungai ni smart why hakulalamika hilo wakati wa Magu? Wote Magu na Samia wanachuana kwenye Kukopa, Ukumbuke Magu miaka michache nae Alikopa zaidi ya Trilioni 30 tena zisizo na Tija maana ongezeko lake la uchumi halikuakisi huo mkopo.
Kutaja namba tu bila context haina maana yoyote. Kama mimi nilivyoweka context na wewe unaweza weka?Kama ilivyo kawaida kwa makusudi na kwa kudhamiria umeamua kuweka uongo wa kiwango cha juu
Magu anaingia madarakani Deni lilikua $18b na sio $16b
Gdp 2015 ilikua $47b na sio $49b
Magu na mama Samia hawajakopa sana kuliko kikwete. Kikwete kaingia madarakani, 2006 Deni lilikua $4b, katoka madarakani Deni lipo $18b, hivyo kakopa $14b.
Angalia kila mwaka hapa chini
Tanzania External Debt 1970-2025
Total external debt is debt owed to nonresidents repayable in currency, goods, or services. Total external debt is the sum of public, publicly guaranteed, and private nonguaranteed long-term debt, use of IMF credit, and short-term debt. Short-term debt includes all debt having an original...www.macrotrends.net
and 100 others kuwa makini na data anazoweka baba mwajuma. Anawekaga mauwongo mengi
Link uliyoweka inapingangana na ulichoandika, export iliongezeka kwa $2b, maelezo yako data zilipaswa ziwe zimeshuka na sio kuongezekaNaona umehama kwenye mikopo unaleta ligi.
1. Covid Tanzania ni 2020, mwaka wa mwisho full wa Magu, vipi kuhusu 2015-2019 si uchumi vile vile ulikua hohehahe?
2. Miradi mingi ya Magu ni ya Ovyo
-SGR ni mradi Luxury
-uwanja wa Chato, mbuga na mambo mengine huko kwao
-Air Tanzania etc
Vyote vinakula hela havina maana yoyote atleast kidogo bwawa la umeme lina tija.
3. Gdp sasa haikui sababu ya Magu, bali inakua kwa kureverse alivyofanya nakupa mifano michache.
-Magu aliua kabisa kilimo kuanzia, Korosho alivyofanya mjuaji, Mbaazi zikaenda hadi 200, tumbaku, Pamba etc sasa hivi Mazao wa kulima wengi ni neema, So kureverse Policy zake za kilimo kumesaidia.
Soma hapa Exports za Nchi,
Bank of Tanzania
www.bot.go.tz
Ukiangalia Kikwete anaacha Nchi Tayari Exports zinafika 5B usd ila alivyoingia Magu tu Ghafla zikashuka hadi 4B na hali ikaendelea hivyo hadi 2018, ni 2020 pekee akafanikiwa kufika 6B usd, so it take him 5 year angalau kumpita Kikwete, Ila kuanzia 2021 mpaka leo Export inaongezeka toka 6.3 mpaka 7.6B usd 2023.
-kuzinguana na Majirani, wote tunajua Magu alivyoa biashara na Majirani zetu Kuanzia Kenya hadi Congo, wafanyabiashara hali ilikua tete, mama wa watu alivyoingia cha kwanza ni kutembelea majirani na kurudisha uhusiano, To the stage mpaka Tatizo likawa si wageni tena kuja Tanzania bali Polisi na Tra kuomba Rushwa kwa dola, mpaka kupelekea Mgomo wa Wafanyabiashara.
-Utalii, wakati wa Magu Arusha walikua hoi, Utalii Kikwete aliacha pato lake around $2B usd na wakati wote wa Magu hatujawahi. Vuka 2.6B usd sometime ulikua unashuka hadi chini ya 2B usd, ila Ghafla sasa hivi pato la Utalii ni 3.3B usd Record high toka nchi ipate Uhuru.
Kuna mambo mengi yamechangia Gdp kuongezeka, ila definitely Miradi ya Magu si kigezo, bali yeye ndio katuchelewesha sana tu.
HahahaTulikwishakuwa omba omba wa dunia. Ikafikia hata kuomba na kupewa ikawa ni sifa ya mgombea urais. Kwamba eti awe anajulikana duniani. Baadaye marais wetu wakabweteka. Ukawa mtindo kusafiri. Kama kawaida ikawa kama ngoma, wapo waliozidisha.
JK yeye aliishi hewani kuliko hata rubani. JPM akafunga breki. Akaitwa mshamba. Akachochewa asafiri, yeye akagoma, akafanya makubwa kuliko waliosafiri sana. Maisha yakawa mafupi -RIP. Sasa akaingia mwingine.
Huyu akaaminisha umma kufungua nchi atapata misaada. Kuleta misaada ikawa ni kazi rasmi ya rais wa TZ. Mawazo yakawa mchanganyiko. akapingwa yeye akaendelea na akachochewa kama forward wa ligi kuu. Akacheza na taarabu, kamera zikimfuatilia akiwa na mashoga zake nayeye kama vijembe vya taarabu, akanengua tu!
Sasa tuulizane safari za kuleta misaada bado ni dili? Hiyo ndo kazi ya rais? Mashabiki wa utawala, bado muna ushahidi wa faida za safari hizo? Sasa tuna uhakika wa kutopewa misaada na US je, bado tunaona haya kukemea Ushoga na badala yake kusema maadili! Maadili! maadili!
Context ipi? Nimerekebisha namba ambazo umeamua kuongopaKutaja namba tu bila context haina maana yoyote. Kama mimi nilivyoweka context na wewe unaweza weka?
Na kama Unaweka mwaka 2015 ni wa Kikwete (Japo kuanzia katikati ya mwaka Biashara zilianza kufungwa toka Magu alipochaguliwa na CCM) basi jumlisha pia na Debi la 2011.
Kwenye data zangu deni la 2011 sijaliweka kwenye data za Magu. So utarudi pale pale round.
Pia Ukipiga mahesabu hapo
1. Deni per year
Kutoka 4B mpaka 18B kwa miaka 10 ni around 14B ambayo ni roughly 1.4B kwa mwaka, wote Samia na Magu wamekopa zaidi ya hicho kwa mwaka.
2. Deni vs Gdp ratio
Ukiweka hilo deni 14B Kikwete Gdp kaikuta around 18B kaiacha around 49B unapata around 31B ambayo ni ratio roughly 2.21 still better value.
Sababu 2021 ipo shared kati ya Samia na Magu, nimeweka tu kwa Samia sababu shared ya Magu na Kikwete nimeweka kwa Magu. Ukiangalia data za Bot Q1 2021 ambayo uongozi wa Magu bado ulikua madarakani deni ni Trilioni 61.8Trillion 30?? Hapo juu umetoka kusema ni kwa kipindi chake alikopa $9b, ambayo kwa rate iliyokua ya 2300 ni trillion 20
Kwa nini hapa unasema ni trillion 30??