Akilindogosana
JF-Expert Member
- Jan 12, 2020
- 4,303
- 12,679
- Thread starter
-
- #41
Inasemekana walikunywa Sumu. Ila kwenye msiba walidanganya wakasema waliumwa ghafla. Ila ili kulinda heshima ya familia na standards zao walidanganya kuwa "marehemu aliumwa ghafla na akafariki"Acha mkuu.Cyo powa walijinyonga?
Mimi nimekutana na kinyozi amesomea masuala ya upasuaji, surgeon. Nikadhani ni kamba. Jamaa katuonesha pdf ya vyeti kwenye simu yake. Sikuwahi kudhania mtu kasomea upasuaji/surgeon akakosa kazi.Noma sana mzee baba tatizo la ajira ni kubwa sana.. saiv kuna mpaka mabeki tatu wenye degree.. kuna beki tatu nishawahi kuona siku anawafundisha watoto wa boss wake hesabu nikashangaa iweje beki tatu anashuka mahesabu hv maana hawa wengi wanajua kuesabu na kuandika tu baada ya kupiga nae story mbili tatu ndo akaniambia ana degree ya uhasibu
Ukishajinasua wanakuletea kadi za michango ya harusi. Na wakiumwa direct wanafikia kwako ulipojenga waishi wakifanya matibabuNdo mfumo uko ivo mzee nikujinasua mwenyewe.
Iyo coz ipo Tz?Mimi nimekutana na kinyozi amesomea masuala ya upasuaji, surgeon. Nikadhani ni kamba. Jamaa katuonesha pdf ya vyeti kwenye simu yake. Sikuwahi kudhania mtu kasomea upasuaji/surgeon akakosa kazi
π Ukitoboa ndio utajua unao ndugu wengi sanaUkishajinasua wanakuletea kadi za michango ya harusi. Na wakiumwa direct wanafikia kwako ulipojenga waishi wakifanya matibabu
Ipo, tena jamaa kasoma chuo kikubwa tz, a-level na o-level alipiga divIIyo coz ipo Tz?
R.I.PInasemekana walikunywa Sumu. Ila kwenye msiba walidanganya wakasema waliumwa ghafla. Ila ili kulinda heshima ya familia na standards zao walidanganya kuwa "marehemu aliumwa ghafla na akafariki"
Dah cio powaa kwa mtu kama uyo kukaa bench ila ndo life.Ipo, tena jamaa kasoma chuo kikubwa tz, a-level na o-level alipiga di
Afu anapga kaz na watu aliowach mtaa *****..Ipo, tena jamaa kasoma chuo kikubwa tz, a-level na o-level alipiga divI
Kawaida ila kipnd kigm wankusmnga tuπ Ukitoboa ndio utajua unao ndugu wengi sana
Inatakiwa waswahili tubadilike.Kawaida ila kipnd kigm wankusmnga tu
Viongozi wa dini hawatasaidia chochote kwenye hilo wazo lako maana hizo fedha wanazitaka wao wafanyie mambo yao.Naomba viongozi wa dini msadie kufikisha ujumbe huu, misikitini na makanisani. Suluhisho la ukosefu wa ajira sio maombezi pekee. Masheikh, Maustadh, Mapadri, Maaskofu, Mitume, Manabii, Wachungaji na watumishi wa Mungu naomba mfikishe ujumbe na Mungu atawabariki.
Pia watu maarufu kwenye mitandao tafadhali saidieni kufikisha ujumbe huu huko Facebook, Instagram, Twitter, YouTube. Hata vyombo vya habari kama, radio, tv, magazeti fikisheni ujumbe
[emoji23][emoji23][emoji23] chief hustling kwakiswahili ni nini?Wabongo hatuna financial literacy. Tunapenda kuishi kwa kubangaiza na kuteseka, hata kazi unakuta mtu anaiita mihangaiko bora hata niggers wanasema hustling ila wangekuwa Bongo labda wangeita suffering. Hela iliyopatikana kwa shida inaonekana ya maana sana
Ndio support inayozungumzwa hapo sasaWahindi kufanya biashara siyo lazima awe na mtaji.
Akishakodi godown au frame anaweza kuchukua bidhaa za kuuza kwa mali kauli kwenye viwanda vya wahindi wenzao.
Hebu nichangie mtazamo wangu kwenye hili.
Mtaji wa kwanza ni nguvu zako mwenyewe. Kama vijana ni lazima ujitume katika kazi mbalimbali na uonyeshe uwezo wa kujisimamia kabla ya kupokea huo mtaji. Haijalishi ni kazi ya namna gani ila ni lazima uweke aibu kando na kuifanya.
Kwa mfano mm binafsi nakumbuka nimeshauza barafu nikiwa graduate. Nilipopanga palikuwa na wapangaji wengine, nikanunua vitu vingine kama sabuni, pipi,soda na vingine nikaanza kuuzia wapangaji kidogo kidogo. Baada ya muda Mungu akanibariki nikapata frame nikalipia nikaanza rasmi.
Kwa kweli hata sikupata support ya nyumbani na hii imenisaidia kuheshimu wateja na biashara pia.
Niwashauri vijana wenzangu, maisha siyo rahisi kama mnavyofikiria. Mkilalamika kuwa hampewi mitaji mnajichelewesha wenyewe kwenye kutimiza ndoto zako. Kwanza jiulize huyo unaetaka akupe mtaji yeye alipewa na nani mtaji wake??? Hapo ulipo tumia kila ulichonacho bila kujali kuwa nyumbani kuna Prado wala Harrier, toka angalia hata fursa ya ya kupata hela ndogo tu kwa Siku ila amini Mungu kuwa baada ya muda utafika mbali.
Mtaji upo mikononi na akilini mwako. Weka aibu pembeni ingia fanya chochote. Tizama hata vitu mnavyotumia hapo nyumbani kwa wingi uangalie pia upatikanaji wake na pia kwa namna unavyoweza kuwasaidia wengine kuvipata. Ukifanya hivi utajulikana na tayari utakuwa umeingia kwenye kutengeneza kipato.
Heri ya mwaka mpya 2023.
Moja kwa moja kwenye mada
Mwaka jana 2022, kama majobless wengine niliendelea kuhudhuria interview mbalimbali za utumishi na sehemu nyingine nyingi sana. Kitu nilichoona naona majobless wanaongezeka sana sio kama zamani nilivyokuwa nikiwaona. Yaani naona makutano na mafuriko ya watu wakiendelea kuomba kazi. Wengine ni wadogo zangu kabisa πππ napiga nao pepa. Sasa kuna kitu nimekiona nimeona nitoe wazo. Kwenye interview huwa nakutana na masela zangu wa zamani na wenyewe wapo kwenye mpambano wa kutafuta kazi. Wengine ni wachovu kama mimi πππ. Ila nashangaa nakutana pia na wengine ambao kwao mambo safi na wenyewe wapo kwenye interview. Huwa nawauliza. Hivi ninyi kwenu si wakusuport uanzishe kitu? Unajua kimasiharamasihara unaeza kufika miaka 50 bado unayafuta kazi au unajitolea?
Unakuta mwingine kwao mzazi anamuweka ndani tu. Ila nje kuna magari makali, harrier, vanguard, prado e.t.c unakuta mzee wake anacheo kwenye serikali au sekta binafsi pia anazonyumba kadhaa za wapangaji ila dogo yupo ndani hawamsuport. Wanampahela ya kwenda kwenye interview tu na miaka inaenda. Au anajitolea kwerikweri πππππ.
Wengine unakuta wazee wake wapo vizuri ila wana misimamo ya kizee kwamba ajira ndio kila kitu. Kila siku wanamuuliza dogo, mbona hautafuti ajira? Hao wazee huwa ni wakishamba sana wanadhani miaka hii ajira inapatikana kirahisi kama enzi zao, ukimaliza form four tayari una ajira ππππ.
Pia kuna wengine wazee wao wanataka dogo asome zaidi ili apate kazi, unakuta mzee anamlazimisha dogo asome masters na PhD eti ndio itamsaida πππππ
Kwa niaba ya majobless wengine naomba kuwaambia wazee wote wenye itakadi hizo. Ajira sio rahisi kama enzi zenu za miaka ya 60,70,80,90. Siku hizi watu ni mafuriko. Masters ni nyingi sana na ajira ni ngumu kwerikweri πππππ.
Suluhisho ni sisi waTanzania tuanzishe utaratibu mpya wa kumaliza tatizo la ajira kwa ngazi ya familia.
Utaratibu ni kuchanga hela angalau mtoto apate mtaji au afanye partneship aanzishe mradi anaoona unafaa. Kama mnachanga mamilioni kwa ajili ya harusi, sendoff, kitchen party kwanini usimsaidie mwanao? Kama unahela za kujenga majumba ya wapangaji kwa mamilioni halafu unaambulia vilaki 3 kwa mwezi kwanini usimsaidie mwanao? Kama unahela za kununua magari, kluger, harrier, vanguard, kwanini usimsaidie mwanao?
Kama upo tayari kumsomesha mwanao masters na PhD kwa mamilioni halafu akose ajira, kwanini usimsaidie mwanao mtaji?
Muda umefika ninyi wenye angalau uwezo msaidie watoto wenu angalau mtoto apate mtaji wa kujiajiri au pawe na ushirikiano wa kifamilia kusaidia watoto majobless. Msipofanya hivyo mtashtukia mtoto anafikisha miaka 50 hana ajira wala chanzo chochote cha mapato πππ wala bila familia. Natoa siri hii ila usimwambie mtu "VIJANA WENGI WA KIUME HAWAOI SIKUHIZI, KWASABABU HAWANA AJIRA WALA VYANZO VYA MAPATO VYA KUELEWEKA"
NB:
1. Huu ujumbe uko dedicated kwa wazee ambao pesa wanayo ila hawana connection ya kuwasaidia watoto majobless. Sisi tunaotokea maisha ya kuungaunga tunakutana ajiraportal πππ.
2. Mtoto atakayepewa mtaji lazima afanyiwe due diligence mapema mwenendo wa tabia yake asije akahonga hela yote πππ
3. Utafiti wa kina wa gharama na makadirio halisi wa mradi lazima ufanyike kwa kina bila papara.
Wengine mtaboresha zaidi.
Samahani kama kuna mtu atakwazika kwa maoni yangu.
Nawatakia mwaka 2023 wenye mafanikio.
Serikali na TRA wajibu wao ni upi?Heri ya mwaka mpya 2023.
Moja kwa moja kwenye mada
Mwaka jana 2022, kama majobless wengine niliendelea kuhudhuria interview mbalimbali za utumishi na sehemu nyingine nyingi sana. Kitu nilichoona naona majobless wanaongezeka sana sio kama zamani nilivyokuwa nikiwaona. Yaani naona makutano na mafuriko ya watu wakiendelea kuomba kazi. Wengine ni wadogo zangu kabisa πππ napiga nao pepa. Sasa kuna kitu nimekiona nimeona nitoe wazo. Kwenye interview huwa nakutana na masela zangu wa zamani na wenyewe wapo kwenye mpambano wa kutafuta kazi. Wengine ni wachovu kama mimi πππ. Ila nashangaa nakutana pia na wengine ambao kwao mambo safi na wenyewe wapo kwenye interview. Huwa nawauliza. Hivi ninyi kwenu si wakusuport uanzishe kitu? Unajua kimasiharamasihara unaeza kufika miaka 50 bado unayafuta kazi au unajitolea?
Unakuta mwingine kwao mzazi anamuweka ndani tu. Ila nje kuna magari makali, harrier, vanguard, prado e.t.c unakuta mzee wake anacheo kwenye serikali au sekta binafsi pia anazonyumba kadhaa za wapangaji ila dogo yupo ndani hawamsuport. Wanampahela ya kwenda kwenye interview tu na miaka inaenda. Au anajitolea kwerikweri πππππ.
Wengine unakuta wazee wake wapo vizuri ila wana misimamo ya kizee kwamba ajira ndio kila kitu. Kila siku wanamuuliza dogo, mbona hautafuti ajira? Hao wazee huwa ni wakishamba sana wanadhani miaka hii ajira inapatikana kirahisi kama enzi zao, ukimaliza form four tayari una ajira ππππ.
Pia kuna wengine wazee wao wanataka dogo asome zaidi ili apate kazi, unakuta mzee anamlazimisha dogo asome masters na PhD eti ndio itamsaida πππππ
Kwa niaba ya majobless wengine naomba kuwaambia wazee wote wenye itakadi hizo. Ajira sio rahisi kama enzi zenu za miaka ya 60,70,80,90. Siku hizi watu ni mafuriko. Masters ni nyingi sana na ajira ni ngumu kwerikweri πππππ.
Suluhisho ni sisi waTanzania tuanzishe utaratibu mpya wa kumaliza tatizo la ajira kwa ngazi ya familia.
Utaratibu ni kuchanga hela angalau mtoto apate mtaji au afanye partneship aanzishe mradi anaoona unafaa. Kama mnachanga mamilioni kwa ajili ya harusi, sendoff, kitchen party kwanini usimsaidie mwanao? Kama unahela za kujenga majumba ya wapangaji kwa mamilioni halafu unaambulia vilaki 3 kwa mwezi kwanini usimsaidie mwanao? Kama unahela za kununua magari, kluger, harrier, vanguard, kwanini usimsaidie mwanao?
Kama upo tayari kumsomesha mwanao masters na PhD kwa mamilioni halafu akose ajira, kwanini usimsaidie mwanao mtaji?
Muda umefika ninyi wenye angalau uwezo msaidie watoto wenu angalau mtoto apate mtaji wa kujiajiri au pawe na ushirikiano wa kifamilia kusaidia watoto majobless. Msipofanya hivyo mtashtukia mtoto anafikisha miaka 50 hana ajira wala chanzo chochote cha mapato πππ wala bila familia. Natoa siri hii ila usimwambie mtu "VIJANA WENGI WA KIUME HAWAOI SIKUHIZI, KWASABABU HAWANA AJIRA WALA VYANZO VYA MAPATO VYA KUELEWEKA"
NB:
1. Huu ujumbe uko dedicated kwa wazee ambao pesa wanayo ila hawana connection ya kuwasaidia watoto majobless. Sisi tunaotokea maisha ya kuungaunga tunakutana ajiraportal πππ.
2. Mtoto atakayepewa mtaji lazima afanyiwe due diligence mapema mwenendo wa tabia yake asije akahonga hela yote πππ
3. Utafiti wa kina wa gharama na makadirio halisi wa mradi lazima ufanyike kwa kina bila papara.
Wengine mtaboresha zaidi.
Samahani kama kuna mtu atakwazika kwa maoni yangu.
Nawatakia mwaka 2023 wenye mafanikio.
Heri ya mwaka mpya 2023.
Moja kwa moja kwenye mada
Mwaka jana 2022, kama majobless wengine niliendelea kuhudhuria interview mbalimbali za utumishi na sehemu nyingine nyingi sana. Kitu nilichoona naona majobless wanaongezeka sana sio kama zamani nilivyokuwa nikiwaona. Yaani naona makutano na mafuriko ya watu wakiendelea kuomba kazi.
Wengine ni wadogo zangu kabisa πππ napiga nao pepa. Sasa kuna kitu nimekiona nimeona nitoe wazo. Kwenye interview huwa nakutana na masela zangu wa zamani na wenyewe wapo kwenye mpambano wa kutafuta kazi. Wengine ni wachovu kama mimi πππ.
Ila nashangaa nakutana pia na wengine ambao kwao mambo safi na wenyewe wapo kwenye interview. Huwa nawauliza. Hivi ninyi kwenu si wakusuport uanzishe kitu? Unajua kimasiharamasihara unaeza kufika miaka 50 bado unatafuta kazi au unajitolea?
Unakuta mwingine kwao mzazi anamuweka ndani tu. Ila nje kuna magari makali, harrier, vanguard, prado e.t.c unakuta mzee wake anacheo kwenye serikali au sekta binafsi pia anazonyumba kadhaa za wapangaji ila dogo yupo ndani hawamsuport. Wanampa hela ya kwenda kwenye interview tu na miaka inaenda. Au anajitolea kwerikweri πππππ.
Wengine unakuta wazee wake wapo vizuri ila wana misimamo ya kizee kwamba ajira ndio kila kitu. Kila siku wanamuuliza dogo, mbona hautafuti ajira? Hao wazee huwa ni wakishamba sana wanadhani miaka hii ajira inapatikana kirahisi kama enzi zao, ukimaliza form four tayari una ajira ππππ.
Pia kuna wengine wazee wao wanataka dogo asome zaidi ili apate kazi, unakuta mzee anamlazimisha dogo asome masters na PhD eti ndio itamsaida πππππ.
Kwa niaba ya majobless wengine naomba kuwaambia wazee wote wenye itakadi hizo. Ajira sio rahisi kama enzi zenu za miaka ya 60,70,80,90. Siku hizi watu ni mafuriko. Masters ni nyingi sana na ajira ni ngumu kwerikweri πππππ.
Suluhisho ni sisi waTanzania tuanzishe utaratibu mpya wa kumaliza tatizo la ajira kwa ngazi ya familia.
Utaratibu ni kuchanga hela angalau mtoto apate mtaji au afanye partneship aanzishe mradi anaoona unafaa. Kama mnachanga mamilioni kwa ajili ya harusi, sendoff, kitchen party kwanini usimsaidie mwanao? Kama unahela za kujenga majumba ya wapangaji kwa mamilioni halafu unaambulia vilaki 3 kwa mwezi kwanini usimsaidie mwanao?
Kama unahela za kununua magari, kluger, harrier, vanguard, kwanini usimsaidie mwanao?
Kama upo tayari kumsomesha mwanao masters na PhD kwa mamilioni halafu akose ajira, kwanini usimsaidie mwanao mtaji?
Muda umefika ninyi wenye angalau uwezo msaidie watoto wenu angalau mtoto apate mtaji wa kujiajiri au pawe na ushirikiano wa kifamilia kusaidia watoto majobless. Msipofanya hivyo mtashtukia mtoto anafikisha miaka 50 hana ajira wala chanzo chochote cha mapato πππ wala bila familia.
Natoa siri hii ila usimwambie mtu "VIJANA WENGI WA KIUME HAWAOI SIKUHIZI, KWASABABU HAWANA AJIRA WALA VYANZO VYA MAPATO VYA KUELEWEKA" na "MTOTO HALI CHETI".
Naomba viongozi wa dini msaidie kufikisha ujumbe huu, misikitini na makanisani. Suluhisho la ukosefu wa ajira sio maombezi pekee. Masheikh, Maustadh, Mapadri, Maaskofu, Mitume, Manabii, Wachungaji na watumishi wa Mungu naomba mfikishe ujumbe na Mungu atawabariki.
NB:
1. Huu ujumbe uko dedicated kwa wazee ambao pesa wanayo ila hawana connection ya kuwasaidia watoto majobless. Sisi tunaotokea maisha ya kuungaunga tunakutana ajiraportal πππ.
2. Mtoto atakayepewa mtaji lazima afanyiwe due diligence mapema mwenendo wa tabia yake asije akahonga hela yote πππ.
3. Utafiti wa kina wa gharama na makadirio halisi wa mradi lazima ufanyike kwa kina bila papara.
Wengine mtaboresha zaidi.
Samahani kama kuna mtu atakwazika kwa maoni yangu.
Nawatakia mwaka 2023 wenye mafanikio.
Forward huu ujumbe kwa wazazi wote mnaowajua. Au hata kwenye magroup yoyote. Ujumbe ufike. Hasahasa mzazi mweye mtoto jobless au anayejitolea.