Watanzania tuanzishe utaratibu wa kuchangia vijana kama mtaji au fursa

Watanzania tuanzishe utaratibu wa kuchangia vijana kama mtaji au fursa

Duh! Mimi nimetoa maoni ili kutatua changamoto ya ukosefu wa ajira kwa ngazi ya familia. Hasahasa zenye uwezo wa kifedha.


Ishu ya wajibu wa serikali mtashtukia mnasubiri sana kutatua, unakuta mtu anafikisha miaka 40-50 bila kazi au ramani 😂. Wale ni wanasiasa tu na akili zao zinawaza kushinda uchaguzi. Na msitegemee kuitoa ccm kwa kura za uchaguzi kwa maana jamaa wana historia ya kuchakachua matokeo ya uchaguzi. Uchaguzi unakuwa ndoige, wakishinda ni kama wameshinda na wakishindwa ni kama wameshinda.

Na hakuna mtu muoga kama Mtanzania. Labda mkapindue serikali 😂

Tofautisha kupindua serikali na kuwa na serikali ya watu.

Kumbuka kuwa na serikali ya watu ni wajibu wetu sote na hasa tulio wazalendo.

Asiyekuwa mzalendo was nini?
 
Asante sana kwa maoni.



Ila hapo kwenye viongozi, mtasubiri sana. Maana wapo bize na kulamba asali 😂😂😂. Pia mipango yao ni kushinda uchaguzi hata kwa wizi. Bora tatizo la ajira litatuliwe kifamilia.

NB: Hakuna mtu muoga kama Mtanzania. Kama mnataka mabadiliko ya uongozi, labda mkapindue serikali.
Futa hio NB yako.
 
Kilaza mwingine huyu hapa.Reward gani? Kama hakuna kitu kwanin anakubali kujieleza
Kilaza baba ako mpumbavu wewe.. huna lolote kutaka tu unyenyekewe, kama una connection mpe mtu wewe una tegemea graduates ndo katoka tu chuo aweze kumudu kila kinachotakiwa kufanyika ofisini? sasa aje kujieleza kwako kwa kipi ulichonacho. Wewe ni CEO wa bank au profesa?
 
Back
Top Bottom