Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Liangalie hilo neno "unasimamiwa" vizuri halafu uone kama linafaa kuwepo.Je,Waangalizi huwa Wasimamizi tangu lini?Uchaguzi wa Kenya unasimamiwa na JK wa Tanzania, usisahau hilo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Liangalie hilo neno "unasimamiwa" vizuri halafu uone kama linafaa kuwepo.Je,Waangalizi huwa Wasimamizi tangu lini?Uchaguzi wa Kenya unasimamiwa na JK wa Tanzania, usisahau hilo
Achana na hiyo taka taka, nasikia hana mpinzani humu JF kwa michango ya kipumbavu! Yuko 24/7 humu kuanzisha mada zisizo na kichwa wala miguu! Hata hivyo naambiwa nisishangae sana kwani asilimia kubwa huko CCM wako hivyo hivyo. Mtu ulelewe katika mazingira ya wizi halafu usiwe mwizi, thubutu!Liangalie hilo neno "unasimamiwa" vizuri halafu uone kama linafaa kuwepo.Je,Waangalizi huwa Wasimamizi tangu lini?
Mwendazake alikuwa Rais alikuwa hajui Kiswahili wala Kingereza umeelewa wewe?Sijui wewe taka taka uliwezaje kujiunga Jamii Forums. Wewe utakuwa wale waleeee...unatia aibu. Jifunze angalau kuandika Kiswahili, lugha yetu ya taifa
Kusema na kutenda mbalimbali. Hili linajulikana, na ushahidi umejaa tele humu JF toka Sept. 28, 2011.
Na kama kawaida, swali lililoulizwa halina jibu!
Tuendelee na mengine.
Mwendazake alikuwa Rais alikuwa hajui Kiswahili wala Kingereza umeelewa wewe?
Eti ananitukana huyo...hizi laana tumeletewa tu na CCM. Mikesha ya mwenge ilituletea viumbe vya ajabu kweli kweli...ataachaje kunitukana? Halafu kwa uhayawani wake anadhani yule shetani anayeungua motoni nina connection naye? Kwa kweli hanijui; atanijulia wapi?🙆🙆 Duuu kazi ipo leo.
Eti ananitukana huyo...hizi laana tumeletewa tu na CCM. Mikesha ya mwenge ilituletea viumbe vya ajabu kweli kweli...ataachaje kunitukana? Halafu kwa uhayawani wake anadhani yule shetani anayeungua motoni nina connection naye? Kwa kweli hanijui; atanijulia wapi?
Niliuliza swali mkuu wangu 'Tindo', lakini sikupata jibu.Ulitaka iweje labda bro?
Swali gani mkuu, maana usidhani ni lazima ukiuliza swali ujibiwe kama kwenye chumba cha mtihani. Kumbuka sio lazima kila muda unapouliza mtu asubiri kukujibu.Niliuliza swali mkuu wangu 'Tindo', lakini sikupata jibu.
Shetani kwake ni gizani, malaika kwake ni kwenye mwanga. Siyo rahisi kufanya uovu kwenye mwanga.Tanzania kura huhesabiwa kwa siri gizani. Kenya zinahesabiwa hadharani kwenye mwanga!
Uchaguzi uliopita Kuna mtu aliuawaIle sio tume ya NEC
Ule ulikuwa ni Uchafuzi Mkuu.
EeeenHeeeee!Swali gani mkuu, maana usidhani ni lazima ukiuliza swali ujibiwe kama kwenye chumba cha mtihani. Kumbuka sio lazima kila muda unapouliza mtu asubiri kukujibu.
EeeenHeeeee!
Kutojibu swali ni kukosa jibu.
Mdogo wake Mh Wenje, mdogo wake HecheUchaguzi uliopita Kuna mtu aliuawa
Real meaning of Human CivilizationKenya wapo juu, wapo mbele, wamestaarabika, ni binadamu kamili waliohitimu evolution, siyo hapa kwetu ambapo eti ukipiga kura ukakae mbali, usione wanavyoiba na kubadilidha matokeo.
Kama Ulaya vile.Kenya wapo vizuri sana 🙏
Hapo hakuna mtu alieumia uchaguzi umeisha salama