Watanzania tuchutame, Uchaguzi Mkuu nchini Kenya umetuacha uchi

Watanzania tuchutame, Uchaguzi Mkuu nchini Kenya umetuacha uchi



Sina la kusema, nimepigwa butwaa. Najiuliza kama ule nilioushuhudia nchini Tanzania mwaka 2020 ulikuwa ni uchaguzi kweli.

Tukubali tusikubali, huu uchaguzi nchini Kenya umetuvua nguo na kutuacha uchi wa mnyama na kama bado tunazo tuchutame.

Nafuatilia matokeo yanavyotiririka kwenye TV na kushuhudiwa na Dunia nzima, bila kusubiri ruhusa.

Eti siri katika kuhesabu kura, really? Kura zikishapigwa kuna siri gani tena? Si ni kutangaza tu matokeo? Huu ujinga aliuanzisha nani hapa Tanzania?

Burn In Hell Magufuli
 
Unauliza au unapigia jibu mstari? Wakati uchaguzi wa znz unafutwa baada ya watu kuumizwa na CCM kushindwa, JK si ndio alikuwa rais, au unajitoa ufahamu?
Huyo anaitwa @JKipaya, kafuzu katika utaahira! Watu dizaini hii wametamalaki nchini Tanzania utadhani kuna kiwanda cha kuwafyatulia.

Nireteeni @JKipaya,
nireteeeni @JKipaayaa,
nireteeeeeniii @JKipaaayaaaaaa
 
Una uhakika kama kura zinahesabiwa kwa siri hapa Tanzania au unakurupuka tu?

Kura zinapigwa kwa siri (kwa kuwa ni haki ya mpiga kura kumchagua mtu anayemtaka bila kujulikana anamchagua nani)

Linapokuja suala la kuhesabu kura zinahesabiwa kwa uwazi kabisa ambapo kunakuwa na wasimamizi wa uchaguzi na mawakala wa wagombea then yanabandikwa hadharani.

Anyway, una taarifa kuwa huko kenya kuna malori mawili yamedakwa kutoka Uganda yamebeba wapiga kura?😄
 
Una uhakika kama kura zinahesabiwa kwa siri hapa Tanzania au unakurupuka tu?

Kura zinapigwa kwa siri (kwa kuwa ni haki ya mpiga kura kumchagua mtu anayemtaka bila kujulikana anamchagua nani)

Linapokuja suala la kuhesabu kura zinahesabiwa kwa uwazi kabisa ambapo kunakuwa na wasimamizi wa uchaguzi na mawakala wa wagombea then yanabandikwa hadharani.

Anyway, una taarifa kuwa huko kenya kuna malori mawili yamedakwa kutoka Uganda yamebeba wapiga kura?😄

Unasema hivyo unadhani huwa hatuoni kinachofanyika kwenye chaguzi zetu, hasa kipindi cha dhalimu?

Malori kukamatwa na wapiga kura ni jambo sahihi, ingekuwa hapa kwetu wala wasingekamatwa maana wangekuwa wameletwa na CCM.
 
Kwa Tanzania ni kosa kisheria kuhesabu kura za Rais kituoni - Kura ya Rais itahesabiwa na Tume pale Makao makuu....

afu you call it UCHAGUZI aisee tuchutame ni aibu kwa kweli, tupo nyuma miaka 100 mbele ya wakenya.
Acha uongo kura zote zinahesabiwa Kituoni.
 
Linapokuja suala la kuhesabu kura zinahesabiwa kwa uwazi kabisa ambapo kunakuwa na wasimamizi wa uchaguzi na mawakala wa wagombea then yanabandikwa hadharani.
Hii ni Jamii Forums, huu ni udaku hebu kaupeleke huko kwenye ile mitandao yenu na si Jamii Forums. Sijui Watanzania tumelogwa au vipi, shame on you Madukwa Peter...
 
Nakumbuka yale matukio ya wasimamizi wa uchaguzi kujificha chini ya meza na kwenye makabati,wagombea wa CHADEMA kunyakuliwa fomu na masanduku kuporwa na maaskari wa kitanzania mchana kweupe


#17,march,2021
#msifikiri tunapendwa sana
 
Kinachozungumziwa ni utaratibu wa wazi uliowekwa na tume ya uchaguzi sio mawazo ya mgombea vile atakavyopokea matokeo.
Uwazi mnauona nyinyi tu kwa kuwa watz mmekuwa desperate mno na chaguzi za wengine.

Shida ya chaguzi za Africa wala siyo uwazi bali kutokuaminiana.

Kama huo uwazi utaishia kwenye mgogoro hauna maana.
 
Namuona Kenyata anaenda kupiga kura akiwa hana rundo la maaskari na wanajeshi waliojihami kwa bunduki wakimzonga zonga

Huku kwetu wkt wa upigaji kura kule Dodoma tuliona Magu akiwa na lundo la wanajeshi wenye silaha za kivita utafikiri tupo Afghanistan
Kwahyo unaogopa bunduki? Au ulitaka asiwe na ulinzi wa bunduki? Kwahyo alindwe na manati?
 
Back
Top Bottom