Watanzania tuchutame, Uchaguzi Mkuu nchini Kenya umetuacha uchi

Najuta kwanini nilizaliwa hapa kwenye nchi ya makondoo.
Uh - Oh!
Hii ni kali. Ni baadhi ya maneno yanayosemwa wakati wa akili inaporuka, na baadae hujutiwa.

Naomba uniwie radhi juu ya swali langu hili: "Nchi ya makondoo", mwelevu atashindwa vipi kuyamudu na ukondoo wao?

Simama kidete uyachunge vizuri haya makondoo.
 
Bado tu misukule ya Nyerere haijaamka, laiti wangekua active kama wanavyogombea kununua jezi tungekua mbali kuliko Kenya.

Kwa ufupi 2020 hakukua na uchaguzi ila uzuri qliyejifanya jeuri na mwamba hakufanikiwa kufaidi matunda ya uhayawani wake.
 
Bwana Mkubwa Haki inachukuliwa ikibidi hata kwa nguvu,CCM pamoja na ukichaa wao sidhani &siamini kama wamefika hatua ya kukata tawi walilokalia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…