Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Wakenya KANU walishaitupa kuzimu siku nyingi tu.Yaap shida waBongo tunadhani waKenya wamefika Sababu yakuchekeana wamechapana na The Hague walifika now Kila mtu anamuheshimu mwenzie hakuna kitu kinatokea kama MANA jangwani...cccm wanajua Kura zikipigwa na kuhesabiwa kwa Uwazi watu watamaliza uchaguzi saa3 asubuhi...na wenyewe watakuwa kwenye jumba la makumbusho
Mkwere is always distructiveSina la kusema, nimepigwa butwaa. Najiuliza kama ule nilioushuhudia nchini Tanzania mwaka 2020 ulikuwa ni uchaguzi kweli.
Tukubali tusikubali, huu uchaguzi nchini Kenya umetuvua nguo na kutuacha uchi wa mnyama na kama bado tunazo tuchutame.
Nafuatilia matokeo yanavyotiririka kwenye TV na kushuhudiwa na Dunia nzima, bila kusubiri ruhusa.
Eti siri katika kuhesabu kura, really? Kura zikishapigwa kuna siri gani tena? Si ni kutangaza tu matokeo? Huu ujinga aliuanzisha nani hapa Tanzania?
CCM wao wanamiliki nchiTanzania ina wamiliki wake Mkuu.
Sisi hatuna uchaguzi isipokuwa tunavita pekeeSina la kusema, nimepigwa butwaa. Najiuliza kama ule nilioushuhudia nchini Tanzania mwaka 2020 ulikuwa ni uchaguzi kweli.
Tukubali tusikubali, huu uchaguzi nchini Kenya umetuvua nguo na kutuacha uchi wa mnyama na kama bado tunazo tuchutame.
Nafuatilia matokeo yanavyotiririka kwenye TV na kushuhudiwa na Dunia nzima, bila kusubiri ruhusa.
Eti siri katika kuhesabu kura, really? Kura zikishapigwa kuna siri gani tena? Si ni kutangaza tu matokeo? Huu ujinga aliuanzisha nani hapa Tanzania?
Nafikiri haelewi maana ya Uchi.Fafanua uchi kivipi
Hivi hili dude bado lipo...bado linalipwa kodi zetu. Dah, Watanzania wakati mwingine tuwe tunaona hata aibu! Kama ni kweli kodi zetu bado zinatafunwa na watu kama hawa basi ni halali kabisa kwetu kuendelea kutawaliwa na CCM!
Uakurupuka bila kunawa uso na kukimbilia kupost ujinga bila ufafanuzi.Sina la kusema, nimepigwa butwaa. Najiuliza kama ule nilioushuhudia nchini Tanzania mwaka 2020 ulikuwa ni uchaguzi kweli.
Tukubali tusikubali, huu uchaguzi nchini Kenya umetuvua nguo na kutuacha uchi wa mnyama na kama bado tunazo tuchutame.
Nafuatilia matokeo yanavyotiririka kwenye TV na kushuhudiwa na Dunia nzima, bila kusubiri ruhusa.
Eti siri katika kuhesabu kura, really? Kura zikishapigwa kuna siri gani tena? Si ni kutangaza tu matokeo? Huu ujinga aliuanzisha nani hapa Tanzania?
Tanzania hatuwezi kuwa na uchaguzi huru hadi tuwe na tume huru.Lile nduli lililokufa ndio liliharibu demokrasia yetu. Wachomaji huko jehanamu waongeze kuni
Si mwendazake tu system ya uchaguz tz inacontrilliwa na chama tawala. Mwenda zake aliongeza Kasi tu. Kwan hujjui vvyama vya upinzan vilivyoharibiwa vifaa vyao 2015 baada na wenyewe kujaribu kufanya tallsLile nduli lililokufa ndio liliharibu demokrasia yetu. Wachomaji huko jehanamu waongeze kuni
Tume ni tawi tu, msingi ni Katiba. Vyombo vya dola viwatumikie Watanzania wote bila kuangalia itikadi. Serikali iwajibike kwa wananchi na si chama cha siasa. Wawakilishi wa wananchi, Bunge, liisimamie serikali na siyo kuisifia tu muda wote.Tanzania hatuwezi kuwa na uchaguzi huru hadi tuwe na tume huru.
Lile nduli lililokufa ndio liliharibu demokrasia yetu. Wachomaji huko jehanamu waongeze kuni
Inasikitusha sana. Kuona watu nchi nzima wanahangaika kupata picha za uchi za Uwoya lkn kamwe huwasikii kuhangaika kuishinikiza serikali kutekeleza masuala ya muhimuKwakweli sijui shida ni ule mwenge?
Ndio maana mtaani hali ni ngumu ya maisha wanaishia kulalamika tu na kutupiga vibomu.Inasikitusha sana. Kuona watu nchi nzima wanahangaika kupata picha za uchi za Uwoya lkn kamwe huwasikii kuhangaika kuishinikiza serikali kutekeleza masuala ya muhimu
Kabisa Mwendazake alikoleza chumvi tu lakini siye aliyeanzishaSi mwendazake tu system ya uchaguz tz inacontrilliwa na chama tawala. Mwenda zake aliongeza Kasi tu. Kwan hujjui vvyama vya upinzan vilivyoharibiwa vifaa vyao 2015 baada na wenyewe kujaribu kufanya talls