Watanzania tuelewe nafasi ya Rais kama Kiongozi wa nchi na tumheshimu Rais Samia Suluhu Hasani

If your Happy to take Credit which you don't Deserve..., You shouldn't get mad when things go Opposite....

Hakuna mtu anayetukanwa na kudharauliwa kama common man Kitaa, cha ajabu hana hata mtetezi...,
 
Kwa post yako hii hakikisha kila unaposhindwa kufanya kile wanachotaka mke wako au mume wako au watoto wako na familia yako kwa ujumla unawahimiza wakutukane

itapendeza sana ikianzia kwako
Mfano hauko relevant, mimi sijaisaliti familia yangu. Nikishindwa jambo mke wangu atanisaidia bila hiyana kabisa. Hakuna siku ntatukanwa sababu sijatengeneza mazingira ya kutukanwa.
 
Asante sana, mama D.
 
Mfano hauko relevant, mimi sijaisaliti familia yangu. Nikishindwa jambo mke wangu atanisaidia bila hiyana kabisa. Hakuna siku ntatukanwa sababu sijatengeneza mazingira ya kutukanwa.

Kama wewe unavyojitetea kwamba hujaisaliti familia yako huku wanafamilia wanalalama
Rais nae ukimuuliza atakujibu kwamba hajakusaliti

Utatukanwa tuuuuu kama unabisha weka mawasiliano yao hapa uone familia yako wanavyolalama
 
Heshima na Maadili yote ya Kitanzania yangekuwa yamelindwa hata wewe muda huu usingekuwepo mtandaoni unabishana na wanaume.

Yoda kwani wewe ni mwanaume??? Mbona na mimi ni Mwanaume pia hahahaha

Hahahaaaa
 
Kuna matumizi mabaya sana ya neno "uzalendo", maana inaoneoana uzalendo ni kuwa Sawa na viongozi,kinyume chake ni kosa kubwa.Hii haiwezi kuwa Sawa,binadamu lazima wawe na fikra huru na sio kuendeshwa na matamko.

Tunapo weka mkazo juu ya uzalendo,basi hatuna budi kufanya ya kizalendo pia,huwezi kuiba Kura na kuidharau sheria mama ya taifa alafu ukajiita Mzalendo.shida kubwa ya Watanzania ni kuishi maisha ya kinafiki.
 
If your Happy to take Credit which you don't Deserve..., You should when things go Opposite....

Hakuna mtu anayetukanwa na kudharauliwa kama common man Kitaa, cha ajabu hana hata mtetezi...,

Simama uwe mtetezi mkuu
 
Hiyo Katiba inayokuongoza imetoka kwenye biblia na Quran

Tulia ujifunze
Hii katiba imeshindwa kushughulikia wezi wa kura, wezi wa pesa za walipa kodi.

Je hivyo vitabu vyenu vya Quran na Biblia ndio vinafundisha hayo??
 
Kujiita Muslim au Christian hakumfanyi mtu kuwa mwema na mwaminifu kwa watu na kwa Mungu
Wengi wanaabudu dini na madhehebu ila hawafuati sheria ya Mungu wala kumuabudu Mungu

binafsi katika haya maisha kama kuna kitu nimejifunza ni kutokuingilia ugomvi nisiouelewa chanzo chake, for sure kuna sababu kwa nini wanaotukana wanafanya hivyo with impunity na hata usikute sababu hazina uhusiano wowote ule na manufaa ya nchi kama wasemavyo, usikute kwenye wizi wamezibiana na wameamua kumwaga mboga, hivyo mnaotetea mnatumika tu na wakishaelewana utasikia kimya na si bandari wala ardhi yetu itarudishwa ktk kwa waarabu…
 
Nyongeza: huwezi kuwa mzalendo kwa kuishi maisha ya anasa halafu unaowaongoza ni mafukara!

Wao wakiugua, wanaenda Ulaya kutibiwa. Akina sisi tukiugua, tunapambana hapa hapa.

Uzalendo uko wapi hapo?
 
Watanzania tumheshimu na kumuombea sana Rais wetu Samia Suluhu Hasan tusisahau kwamba Rais wa nchi amebeba hatma ya nchi na wananchi wake...
Upuuzi, mtupu, tumuheshimu kwa lipi? Sio, lazima kila mtz ampende rais! Huyo sio mama yetu, sio shangazi,tumempa kazi, tunamlipa mshahara, hatufanyii hisani kuwa ikulu, kwanza, ni manufaa, kwake anakula mokoto makubwa, kila anachokifanya sio hisani, ni, wajibu wake, tutamkutana kwa uraisi wake, hatutamtukana kwa jinsia, yake, madudu mengi yanayoemdelea, nchi hii, CAG kasema mashirika yote ya, umma yanafanya hasara! Rais yupo Kimya, hakuna mtu kafukuzwa , kafungwa, anacheka Cheka tu,! Hapo, lazima, tutampopoa kwa, matusi,kama, anaona kazi, ngumu, si aache tu!

PM wa Israel, ni war hero, amepigana, Vita, ni veteran wa elite IDF unit, ameipambania nchi yake kwa, miaka, mingi, lakini amefanya makosa, ya, ufisadi na nchi ipo vitani,wananchi, wanataka, aachie ngazi! Sembuse hawa wa kwetu wamekuwa raisi kwa mserereko, hakuna jema wametufanyia zaidi ya kuibq na kuifisadi nchi, escrow, Richmond, meremeta nk, harafu wanataka tuwachekee tu, fuckers assholes
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…