Kwa umri wake hata asingekua na cheo chochote,anastahili kuheshimiwa Kama mama mwingine yeyote,sio busara kumtolea Maneno machafu mtu mzima kukuzidi,na hata ambae mnalingana,sio busara pia kumtolea matusi ya nguoni,hapo tupo pamoja,
Kuhusu Kumuombea Hapana,sijawahi kuelewa anavyoongoza na hatua anazochukua kukabiliana na changamoto zinazotukabili,ombi langu asipate nafasi nyingine ya kuongoza maana tutakua pabaya zaidi ya hapa,..
UZALENDO,why mnapenda sana kutumia Neno UZALENDO kila mnapo taka ku please wananchi?? Je sisi tu ndio tuwe wazalendo Ila watawala wao wale mema ya nchi kwa wizi,ufisadi,dhulma,??Kama Kuna watu inatakiwa watuoneshe UZALENDO ni Nini,wa kwanza awe Rais,wabunge,mawaziri,...
to hell with UZALENDO,I'll deny this country kwa sahani ya chips yai