Watanzania tuelezwe ni wapi alipo Rais wetu Mpendwa John Magufuli, ni haki yetu kujua

Status
Not open for further replies.
Imetoka nyingine kuwa kuna mkutano unaanza j3 na yeye alipaswa kuwa mgeni rasmi ila hatokuwepo badala yake atawakilishwa na makamu wa Raisi.


Hapo vipi?
Mwenyekiti wa mkutano anajulikana,
Mgeni rasmi amejulikana.
Nafasi yake haipo tena.
( Naiwe hivyo. Wote sema Amina.
 
Naona mods wameunganisha nyuzi zote za taharuki
 
natamani sana ayaone haya namuombea uhai kwenye nyama damu na mifupa
 
Hahahaha Bawacha ni muda tuu mtaumbuka
Ni muda tuu mtaumbuka endeleeni kujifariji....
 

Disability is best defined as the inability of someone to see an ability of someone else!!

Tukubali tu kuwa wewe na hao "wadudu" hamna tofauti rasmi... Wote lenu moja... Na mmeligawa Taifa letu!
Cha ajabu sasa... kufa hao wadudu...sawa... mnachekeleaga sana "kuwaua"...
Ila matatizo yakiwabishia hodi ghafla mnataka ushirika na wale wadudu "mnaowaua" ili kujifariji!
Shame on!¡
 
Pamoja ya kwamba Mh Rais amefanya mambo mengi ambayo si ya kibinadam(hasa kuwatesa watu pasipo na sababu),lakini pia amefanya machache mazuri na yatakumbukwa..siombei kimkute kifo wala ugonjwa mimi nahitaji atoke kwa amani ili baadae warithi wake wamchukulie hatua huku akiwa ana shuhudia.

Popote ulipo Mh Rais nakuombea afya njema na uzima ili nawe kikombe ulichowatengenezea wenzako kikirudie ukiwa hai.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…