Watanzania tuelezwe ni wapi alipo Rais wetu Mpendwa John Magufuli, ni haki yetu kujua

Watanzania tuelezwe ni wapi alipo Rais wetu Mpendwa John Magufuli, ni haki yetu kujua

Status
Not open for further replies.
Walitolewa kanda ya ziwa... Wakaja White House.... Wakatoa tamko atakae chukua fomu watamshughulikia.. Yote yalimlenga jasusi


Cheo ni dhamana


Sasa kapewa kamtihani kadogo... Awatumie hao hao kujiokoa...

Nawaza mungu wa dar atakuwa ktk hali gani??


Mkuu linda buku 7 yako

"mungu wa Dar" alituma post moja kule twitter yenye kuthibitisha kitu kwa 75%
 
marehemu unampa heshima sana,huyu mfu alikuwa anatuendesha utafikiri sisi wake zake, akayateke mashetani huko
Punguza mapepe basi kwa heshima ya jukwaa letu pendwa!

Usifanye wote humu tuonekane tuna tabia moja
 
Kwakweli nchi inahitaji maombi makubwa sana wachawi wameanza kuroga watu mchana kweupe mbuzi anakula majani bila aibu,ramli zinapigwa kweupe bila aibu,
Jamani wachawi hawa wakiachiwa na ulozi wao wanaweza kuuwa watu au kudhuru kweupe.
Ni vyema kila mmoja kwa dini yake akaongeza maombi kulishinda hili kundi hatari la wachawi!
Mchawi namba moja anayewanga mchana ni yule aliyemshambulia kwa nia ya kumuua Tundu Lissu
 
Huyu jamaa namkubali kwenye ujenzi. Ila simkubali kwenye kuonea watu asiowapenda.

Bora arudi aondoke 2020 kwa kupumzika kuliko kufa.
Nchi yetu itaharibika ndani ya muda mchache sana maana watu watalipizana visasi na kugombea nafasi zao
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom