Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Nashindwa kuelewa kwanini msemaji yupo kimya mpaka saa hizi, akanushe jamaniHii imenifanya nicheke peke yangu kama mchizi vile[emoji38]View attachment 1238824
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nashindwa kuelewa kwanini msemaji yupo kimya mpaka saa hizi, akanushe jamaniHii imenifanya nicheke peke yangu kama mchizi vile[emoji38]View attachment 1238824
Unaamini yule ni Bashe kweli,ile itakua ni mtu mwingine kabisa kaamua kujiita hivyo,fake id
duh!Nawaombeni jamani msishangilie sana hii ishu ni mtego mmoja mkubwa sana umetegwa
Mtanishukuru baadae !
Kwani tayari?Tunamsubiri msemaji mkuu wa serikali
Mwenyekiti wa mkutano anajulikana,
Mgeni rasmi amejulikana.
Nafasi yake haipo tena.
( Naiwe hivyo. Wote sema Amina.
Aah Big Sir amechomoa battery janaKwani tayari?
Hayo machache mazuri ilikuwa ni wajibu wake na tulishamshukru kwa kumlipa mshahara,hayo mabaya uliyosema hayakuwa kwenye JD yake na tungekuwa raia tunaotambua wajibu wetu kwa nchi yetu tulipaswa tuwe tumemngoaPamoja ya kwamba Mh Rais amefanya mambo mengi ambayo si ya kibinadam(hasa kuwatesa watu pasipo na sababu),lakini pia amefanya machache mazuri na yatakumbukwa..siombei kimkute kifo wala ugonjwa mimi nahitaji atoke kwa amani ili baadae warithi wake wamchukulie hatua huku akiwa ana shuhudia.
Popote ulipo Mh Rais nakuombea afya njema na uzima ili nawe kikombe ulichowatengenezea wenzako kikirudie ukiwa hai.
Miaka mia hakuna mbadala!Ndo mjitafakari km mnapendwa au mnalazimishwa kupendwa!!!???
Watendeeni watanzania wema na sio kuwajutisha kwa makusudi kisha kujisikia raha kwa vile wavyoumia.Lione na Para lake, Bayaaaaaaaaaaaaaaa.
Ni kuhusu r.i.p et mkuuMimi nimefata mkumbo tu,hata sijui nini kinachoendelea humu,
Anyway huwa wanasema "kubali wito lkn usiyakubali maneno"
Nani amekufa.?ameshakufa,kama unampenda sana nenda ukazikwe naye pamoja
Utakufa wewe kwanza mbw mkubwa!Kama amefariki alale pema peponi maana syo wa kwanza kufariki, mochwari zote nchini zina maiti, na ni binadamu kama yeye pia
Aaah kuna nyingine haipo verified ina comment Sana Sana kwenye post za kigogo ,nilijua unaongelea hiyo,nimekupataWakati yuko verified.....ni yeye yule
Ukweli gani?huo ndo ukweli
Wewe lazima tukudo! Naona unawashwa kweli kweliAu afanyiwe video recording huko hospitali
Mkuu unanishambulia kwa nini,hivi ukisoma hiyo post niliyoiquote,na nilichoandika wewe unaelewa nini?Dereva ndio alichomoa CCTV? Dereva ndio aliajiri wale polisi wanaolinda getini kwenye yale makazi? Tumia basi akili hata kidogo.
Mwenye roho mbaya ni yule aliyekaa kimya watu walipouwawa na kutekwa huku alikuwa na mamlaka kuzuia.Hizi siku chache watu wenye roho mbaya na chuki iliopitiliza wanajidhihirisha.
Ndo anaowamaanisha wale si walijikushanya mchana kwenye. ..na wakatangazwa Nguvu za giza hazitashindaPlus na wale wachawi wa Gambus, waliotoa onyo kwa yeyote atakayechukua fomu ya kugombea Urais mwaka 2020, wakitoa onyo kuwa watampoteza!
Labda wamemsukumizia kwenye cheo kikubwa zaidi,Kiongozi wa Malaikavipi polisi wameshindwa kumlinda?? maana alikuwa anatembea na msafara mkubwa na wanajeshi wenye silaha za moto nje nje[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]