Watanzania tuelezwe ni wapi alipo Rais wetu Mpendwa John Magufuli, ni haki yetu kujua

Status
Not open for further replies.
Hayo machache mazuri ilikuwa ni wajibu wake na tulishamshukru kwa kumlipa mshahara,hayo mabaya uliyosema hayakuwa kwenye JD yake na tungekuwa raia tunaotambua wajibu wetu kwa nchi yetu tulipaswa tuwe tumemngoa
 
Ndo mjitafakari km mnapendwa au mnalazimishwa kupendwa!!!???

Watendeeni watanzania wema na sio kuwajutisha kwa makusudi kisha kujisikia raha kwa vile wavyoumia.Lione na Para lake, Bayaaaaaaaaaaaaaaa.
Miaka mia hakuna mbadala!
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…