Watanzania tuelezwe ni wapi alipo Rais wetu Mpendwa John Magufuli, ni haki yetu kujua

Status
Not open for further replies.
Mkuu umesahau kauli za msukuma, Musiba na kibajaji kipindi Lissu kapigwa risasi?
 
Ninachoogopa ni kuwa nchi haitakuwa salama maana walioumizwa naye watalipiza kwa watu wake wa karibu
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…