Watanzania tuelezwe ni wapi alipo Rais wetu Mpendwa John Magufuli, ni haki yetu kujua

Watanzania tuelezwe ni wapi alipo Rais wetu Mpendwa John Magufuli, ni haki yetu kujua

Status
Not open for further replies.
Acheni kupotosha watu tulikuwa tunafuwatilia msafara mwanzo mwisho.

Shida ilianza Masasi na sina uwakika kama watu wanao angalia afya ya Rais waliona lile tukio sisi tulio kuwa mbali tuliona kabisa baada ya pale msafara uliondoka na kwenda kijijifulan baadae ukarud ila Rais aliondoka ktk njia ambayo mpaka sasa no one know wala siwezi kuandika hapa as nimfuwasi wa kuto toa kila siri.

Usiku ule ambao nyie mnauliza yupo wapi Taifa lilikuwa kazini na nina dhani hakuna alie lala.

Ila Taifa letu lina tunu yaaman na upendo huwez amini watu walikuwa wamoja kuliko hii mambo ya mtandao kiukweli natamani kulia ila Wazee wetu amabo ni top secret number one wanampenda sana kijana wao kiukweli sina uwakika kama kuna chama kina unity kama ccm.

Nataman kulia ila navipongeza vyombo vyote vya ulinzi na usalama na top secret ya Rais kiukweli hawa ni mashujaa shime serikali yangu na taifa langu.

Tuache upotoshaji... Japo from now Rais atapunguza Ratiba za kaz nyingi nakupata muda wakupata mapumziko. Pia kam mnkumbuka anamualiko wa German kamamnakumbuka sim ya Angel kwa Rais..

Huwezi zunguka unatukana wanaume wenzako kama mizoga!

Nao ni wanaume na watu wenye familia!

Walichokifanya ni kutumia nguvu asilia kumuelewesha kua inatakiwa atumie busara!
 
Kadri tetesi zinavozidi kuenezwa na radio mbao Ni wazi kuwa huko tuendako ulinzi wa anayeitwa Rais wa nchi utaimairishwa ajabu...

Ndiyo... Juhudi kubwa zitaongezwa kuimarisha ulinzi wa huyo Rais - karibu yake, around him, katikati ya kadamnasi. Juu na angani.... Wanaoonekana na wasioonekana.... Wanaojulikana na Wasiojulikana..
Like we never experienced before...

Na hatua hiyo itathibitisha kuwa tetesi zile za radio mbao zilikuwa zaidi ya tetesi..!

#FuturePost
Mlinzi wa binadamu ni Mungu hayo yote uliyotaja nosense, kwan unafkiri hakuwa na ulinzi? au ulinzi ulikuwa mdogo?
 
Hivi mm ndo huwa sielewi ama!! Unaweza nitajia wanyonge waliopata haki zao na ni haki gani hizo na wamebadili vipi maisha yao??
 
Acheni kupotosha watu tulikuwa tunafuwatilia msafara mwanzo mwisho.

Shida ilianza Masasi na sina uwakika kama watu wanao angalia afya ya Rais waliona lile tukio sisi tulio kuwa mbali tuliona kabisa baada ya pale msafara uliondoka na kwenda kijijifulan baadae ukarud ila Rais aliondoka ktk njia ambayo mpaka sasa no one know wala siwezi kuandika hapa as nimfuwasi wa kuto toa kila siri.

Usiku ule ambao nyie mnauliza yupo wapi Taifa lilikuwa kazini na nina dhani hakuna alie lala.

Ila Taifa letu lina tunu yaaman na upendo huwez amini watu walikuwa wamoja kuliko hii mambo ya mtandao kiukweli natamani kulia ila Wazee wetu amabo ni top secret number one wanampenda sana kijana wao kiukweli sina uwakika kama kuna chama kina unity kama ccm.

Nataman kulia ila navipongeza vyombo vyote vya ulinzi na usalama na top secret ya Rais kiukweli hawa ni mashujaa shime serikali yangu na taifa langu.

Tuache upotoshaji... Japo from now Rais atapunguza Ratiba za kaz nyingi nakupata muda wakupata mapumziko. Pia kam mnkumbuka anamualiko wa German kamamnakumbuka sim ya Angel kwa Rais..
German tena kwa mabeberu? Akiondoka so watu watapiga diri/li
 
Si wamesema mzee?
...wanasema aliugua ghafla na kupelekwa ughaibuni!
Sasa kama wewe unasema huo ni uzushi tuthibitishie kuwa hayo si ya kweli!!!
Hakuna taarifa kwa umma toka ofisi yoyote
 
Ilifikia kipindi ukishuhudia kwenye runinga unakuta mtu analindwa kwa masilaha, mabrifikesi, miwani, earphones, nguo nyeusi, helkopita, mbwa n.k..
Yaani ilikuwa hatari kuliko hata alindavyo Rais wa Somalia...
Lakini hayo yote yatazidishwa maradufu....
Like we never seen before!
Kwahivyo ulivyovitaja wataongeza nini tena?
 
Naomba kuhoji,Yale wasemayo kina kigogo,mcomoro na wenzake yan ukweli wowote?? Kama hayana ukweli kwann wasikane au kutoa ufafanuz wowote
Tutawasaka hao kwa kutoa taarifa uzushi iwe mfano kwa wengine
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom