Watanzania tuelezwe ni wapi alipo Rais wetu Mpendwa John Magufuli, ni haki yetu kujua

Status
Not open for further replies.
Qoute frm doctor
"Heart attack survival rate is only 06% km ikimpata mtu nje ya hospital"
 

Umeshamlaani tayari kama hujui. Ni YESU KRISTO WA NAZARETH pekee mwenye sifa hiyo ya kushinda mauti na kuzimu.
 
Taarifa zinaweza kutoka kidogo kidogo asante sasa tumejua anaumwa
 

Ulinzi wa mabunduki na magari ndio yatazuia uchawi kuingia?

Y’all niggas be serious at times!
 

Funga 20mil people using internet in TZ!

Y’all niggas are dying with heart attacks!

Na bado!
 

Na ni Watanzania wengi wanaosubiri kuimba parapanda....
 

Kwa bahati mbaya hakuna mjinga wa kuamini hizo propaganda za kitoto, eti wapinzani wanashirikiana na mabeberu kutekeleza huo ujinga. Na kama kuna mwananchi anayeamini hizo propaganda mfu, abaki huko huko kwenye giza hatumlazimishi kutoka huko gizani. Napenda ufahamu wananchi wengi wa sasa wameshamka na walishatoka kwenye hizo porojo za mabeberu, nadhani kiongozi wetu wa sasa na timu yake ni watu wanaoishi kwa mitazamo ya karne iliyopita, ndio maana hata propaganda zao ni hizo outdated.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…