Umbea tuVyovyote itakavyokuwa lazima mama anahusika. Ni samia? Wote hatujui hebu fuatana nami kufuatilia 'senema' hii hadi mwisho. Tafadhali usihame kitini kwako na ikiwezekana usihamishe chaneli kutoka kwenye kuibiwa kompyuta hadi kwingine. Tumalizie igizo hili hadi mwisho.
Nakutakia uangalizi mwema kabisa.
Afu wewe ndg nadhani ninakufahamuYeah! It is a bit complicated. Mavua haya ya dasilama yasokuwa na ahadi ya kuja wala kuisha. Dah! Mbona week end hii ni complicated!! Kishasema; Siwezi kuja kwani hakuweza kuondoka
sijakupata hapo, njiwa ?Huyu demu ni njiwa
sijamtakia kifo, hapana nasema reactions ninazoziona humu, basi! Sijamtakia kifo katu
Mkombozi ni fedha peke yake hawa wengine mauzauza tu,ukipigiwa cm kutoka nyumbani kuwa Baba au Mama ni mgonjwa utakachotuma ni fedha na siyo story za Meko!Nakumbuka wakati ule Yesu anapelekwa kwa pilato walipiga kelele asulubiwe, bila ata kujua kosa lake, naye pilato aliwajibu, nimsulubishe mfalme wenu? Wale wakapaaza sauti kuwa, hatuna mfalme mwingine zaidi ya Kaiser, msulubishe! Nami leo nawauliza, mwamtakia kifo mkombozi wenu??
Ben Saanane yuko wapi? Azory gwanda yuko wapi? Mbona Mungu hakuwalinda amlinde Jiwe? Tafakari!Taifa, Afrika na Dunia nzima, tunamhitaji JPM akiwa Hai, mwenye afya na nguvu. Amefanya mengi tangia akiwa waziri na sasa akiwa Rais. Ni mfano na kielelezo bora kwa uwezo wa waafrika kupanga na kusimamia maendeleo yao wenyewe.
Tungepata viongozi watano tu kama yeye, Afrika ingeendelea kwa kasi.
Kwa mdodroro wowote wa kiafya, tunamuombea afya njema, hali na nguvu ya kuendelea kuliongoza taifa sasa na kuwa mshauri mkuu wa viongozi wa kiafrika baada ya kung'atuka.
Mtazamo kwamba wengi wanamchukia sio kweli, hao ni mafisadi, wenye vyeti feki, wahujumu uchumi, majangili, na vibaraka wa mabeberu.
Naamini Mungu atamlinda, atamkinga na kumuongoza vyema Daima.
Waooo shikamoo mzee kumbe umepanda cheo baada kukuombea upate!! Sasa endeleza uganga wako sasa mzee babaSijamtaja MTU lakini
Inaonekana elimu yako ilikusaidia kujua kusoma na kuandika tu.Nyie mwombeeni aishi, siye tuache tunaomuombea aondoke. Mwisho wa siku tutaona mshindi wala msi panick.
sure hukumtaja mtu!Sijamtaja MTU lakini
Watamuona Mungu..Mathayo 5:8Habari haiwi habari mpaka ifike masikioni mwa watu . Any way tetesi zibaki tetesi alipangalo mungu mwanadamu hana nafasi. Heri wenye moyo safi maana wataitwa wana wa mungu......
Kama Jiwe linamong'onyolewa itakuwa habari nzuri sana.
Halafu huwa nakushangaa sana unaposhabikia hivi vitu ili hali unajulikana fika na kila mmoja humu ndani, Mkuu wakati mwingine jitahidi sana kujifikiria mara mbili pale kwenye nyuzi zenye utata kama huu.Sijamtaja MTU lakini
Hata wewe pia hatukuaminiKigogo ni tapeli kama matapeli wengine. Msiwe na tabia ya kuamini watu kirahisi.
Ajabu sasa pamoja na kujua kusoma na kuandika mimi ndiye hawara wa mama yako wewe unayejua mengi.Inaonekana elimu yako ilikusaidia kujua kusoma na kuandika tu.
AmenMagufuli yupo na ataendelea kuwepo, Na ikumbukwe kuwa Tanzania haitokuja ipate Rais mwenye uthubutu kama yeye. Mweneyezi Mungu ampe Maisha marefu Mr President.
Viva Tanzania...
Viva Mr President J.P.M