Victoire
JF-Expert Member
- Jul 4, 2008
- 24,386
- 57,588
Ila jamaa atapona tu.sidhani..... kigog usimwamini sana siku hizi..........pacemaker zimefail? ๐ ๐ ๐ ๐ ๐
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila jamaa atapona tu.sidhani..... kigog usimwamini sana siku hizi..........pacemaker zimefail? ๐ ๐ ๐ ๐ ๐
Hakuna kitu kama hicho hapo chini. Huyu anataka kuona reaction za watu!Ila jamaa atapona tu.
Jana niliona yale magari yanaludi dar nikiwa mkurangaamepumzika kazunguka mikoa mingi , maybe kesho ataendelea
kuna nini? acha hizo... all is under control by Jiwe!Tuombee taifa letu
Funguka basi kidogo mkuuIla jamaa atapona tu.
Time will tell. I have a strong feeling that Mr president will make it. He will not die. He will live .Hakuna kitu kama hicho hapo chini. Huyu anataka kuona reaction za watu!
37.-.
(5) Endapo kiti cha Rais kitakuwa wazi kutokana na Rais kufariki dunia, kujiuzulu, kupoteza sifa za uchaguzi au kutomudu kazi zake kutokana na maradhi ya mwili au kushindwa kutekeleza kazi na shughuli za Rais, basi Makamu wa Rais ataapishwa na atakuwa Rais kwa muda uliobaki katika kipindi cha miaka mitano na kwa masharti yaliyoelezwa katika ibara ya 40, kisha baada ya kushauriana na chama cha siasa anachotoka Rais atapendekeza jina la mtu atakae kuwa Makamu wa Rais na uteuzi huo utathibitishwa na Bunge kwa kura zisizopungua asilimia hamsini ya Wabunge wote. Baba Swalehe
Lakini ikulu ipo DodomaJana niliona yale magari yanaludi dar nikiwa mkuranga
Time will tell. I have a strong feeling that Mr president will make it. He will not die. He will live .
Lakini ikulu ipo Dodoma
unayajua brother?Kuna mazito yanaendelea yanatisha mzee
Hayaelezeki elewa hivyo
Mmmh kuna tatizo lolote juu ya afya yake?Time will tell. I have a strong feeling that Mr president will make it. He will not die. He will live .
HEART ATTACK,but everything is under control.Why is this statement?
Nothing,all is well.Mmmh kuna tatizo lolote juu ya afya yake?