LIKE
JF-Expert Member
- Dec 17, 2013
- 4,755
- 9,889
Time will tell. I have a strong feeling that Mr president will make it. He will not die. He will live .
Noted.
maana na ww za huko jikon huwa harufu inakufikia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Time will tell. I have a strong feeling that Mr president will make it. He will not die. He will live .
HEART ATTACK,but everything is under control.
Hili lijamaa ni lishakunakuKigogo ana mengi, Leo kaamka vibaya.View attachment 1237176
Safari ya kuhamia Dodoma iliishia wapi ?Jana niliona yale magari yanaludi dar nikiwa mkuranga
na pia hapendi UNAFIKIMungu Ni Mwema Wakati Wote
Ikulu ya mapichapicha na kuonyesha mitandaoni ipo Dodoma. Ikulu hasa ya kazi za Rais ipo pale Magogoni jijini la wajanja DSMLakini ikulu ipo Dodoma
Tena ni tabia za kishetani kuwaombea wenzetu mabaya.Huyo jamaa anamaanisha mukulu yupo taabani kwa kuumwa ndio maana amedai bado izrael amalize kazi ili mama akamate usukani, huu ni uchuro kwa mukulu aache hayo mambo
Ameamia juzi tu hapa...hayo maneno mengine unayosema ni ya kwenye vibanda vya kahawaIkulu ya mapichapicha na kuonyesha mitandaoni ipo Dodoma. Ikulu hasa ya kazi za Rais ipo pale Magogoni jijini la wajanja DSM
halafu zesh, ndio nini sasaNa iwe kheri
kweli tupuKigogo ni attention seeker kama walivyo wakina Musiba. Wamekutana na Pogba sio mtu wa kupotezea mambo basi kila anayemchokonoa na yeye lazima a react.