Watanzania tuelezwe ni wapi alipo Rais wetu Mpendwa John Magufuli, ni haki yetu kujua

Status
Not open for further replies.
Hakuna habari yoyote itakayofuatia, everything is fine...

Hizi tetesi zitapita na mwaka utaisha salama salimini..
 
Kwa kuwa mzigo haukuingizwa GePG, makusudi ili wagawane na wasiojulikana, huenda wajanja kuwazidi wale washamba wameukomba pamoja na computa zao?? Kwa hiyo huko ni vilio na pressure,
Namkumbuka prof. jay aliimba. nanukuu
" aliyeuza cheni bandia kapewa hela bandia ngoma droo"
 
People hate what they can't conquer! They should blame God.
 
Halafu huwa nakushangaa sana unaposhabikia hivi vitu ili hali unajulikana fika na kila mmoja humu ndani, Mkuu wakati mwingine jitahidi sana kujifikiria mara mbili pale kwenye nyuzi zenye utata kama huu.
Huyu amebakiza kuuwa kwa vitendo. Hilo la nia tayari tunahesabia siku za kutimiza hiyo nia.
 
Bahati mbaya there is nothing you can do. Keep hating what you can't conquer
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…