Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Namkumbuka prof. jay aliimba. nanukuuKwa kuwa mzigo haukuingizwa GePG, makusudi ili wagawane na wasiojulikana, huenda wajanja kuwazidi wale washamba wameukomba pamoja na computa zao?? Kwa hiyo huko ni vilio na pressure,
Dah mbona mnatuumiza, kama kunalolote tuweke waz,Acha ashangilie ila hilo analotegemea halitatokea.
People hate what they can't conquer! They should blame God.Mh. ni mzima hana shida yoyote tatizo ni hii habari za umbea zinazotawala humu kumhusu Mh, zinatia hasira sana. Huwezi kumuombea/kumtabiria mtu kifo wakati bado ni mzima.
Hili suala moderators kuacha habari kama hizi zinazomchafua kiongozi wa nchi kuna uwalakini ndani yake.
Huyu amebakiza kuuwa kwa vitendo. Hilo la nia tayari tunahesabia siku za kutimiza hiyo nia.Halafu huwa nakushangaa sana unaposhabikia hivi vitu ili hali unajulikana fika na kila mmoja humu ndani, Mkuu wakati mwingine jitahidi sana kujifikiria mara mbili pale kwenye nyuzi zenye utata kama huu.
Bahati mbaya there is nothing you can do. Keep hating what you can't conquerHuyu hatuwezi kumuombea ana roho ya kishetani. Watanzania hatuko kama yeye, huyu ni Mnyarwanda, hao ndiyo wana roho za kuua ua tu. Kumbuka alivyompoteza Ben Sanane, kumbuka na risasi 16 kwenye mwili wa Tundu Lissu.
Hata akichomoka hii, hana muda mrefu ata saundisha tu. Wanaoishi na pacemaker,mwili una dhoofu kadri umri unavyokwenda. Itafika mahali kinakataa.
Siko CDM, niko na CDM katika kutetea democrasia! Siko CDM, NIKO na CDM katika.....Na wewe unasema watu wanadhani wewe ni mchaga kwa kuwa " uko" Chadema ungekuwa TLP au Nccr wasingedhania hivyo...... Unamaanisha hivyo ndio?
Kwani anaumwa?Leo nimeshtuka hakuna Live pale ikulu mawasiliano You tube.Get well soon Mr president.
🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔Shida ni kunani? Mbona hakuna uwazi?View attachment 1237469
Nenda huko tweeter mimi sitaki matatizoHebu nipe screenshot yake
Hawa wanaosema fulani muuaji,ana roho mbaya blah blah blah, kwenye thread kama hizi ndio unajua wao ndio Wana roho mbaya na wauaji sema hawana nafasi tu.Huyu amebakiza kuuwa kwa vitendo. Hilo a nia tayari tunahesabia siku za kutimiza hiyo nia.
Ivi nani anaumwa?Kwenye suala la ugonjwa si vizuri kumwombea mtu mabaya jamani
Dr Salim Ahemed Salim anaumwa ila tunashukuru anaendelea vizuri Mungu anabariki.Ivi nani anaumwa?
Kwahiyo UKO na wachaga katika......!Siko CDM, niko na CDM katika kutetea democrasia! Siko CDM, NIKO na CDM katika.....
MaCCM dhambi ya ukabila inawatafuna wenyewe.Kwahiyo UKO na wachaga katika......!