Watanzania tuelezwe ni wapi alipo Rais wetu Mpendwa John Magufuli, ni haki yetu kujua

Status
Not open for further replies.
Kuna wahuni na baadhi ya wanasiasa tuliowaheshimu wameonesha kushangilia tetesi hizo! Tabia za kichawi kabisa hata kama huwangi usiku.

Rais wetu ametenda mambo makubwa na yenye manufaa kuliko madhaifu mnayomhukumu nayo na kumtakia mabaya.

Serikali itoe taarifa rasmi badala ya kuacha redio mbao ziendelee kulisha jamii chuki na tabia mbaya kabisa kuombeana mabaya kwa matamanio binafsi.

Ukweli haupiganiwi bali unajipigania.
 
Kwani mpaka sasa hajaonekana hadharani kwa miezi mingapi

Akionekana kila siku shida asipoonekana shida.Mbona kule Nigeria buhari anaweza kukaa hata miezi 3 bila kujulikana aliko
Huku sio Nigeria mzee baba..Nigeria kuna separation kubwa baina ya raia ndani ya nchi sio wamoja wale na kuna watu hawamtambui Buhari kama ni raisi wao..ila sisi tumejengwa kwa misingi ya umoja na mshikamano bila kujali tofauti zetu za kidini na kikabila tuna haki ya kujua alipo raia namba moja ambaye bila yeye hakuna sisi maana tunamtegemea alisongeshe gurudumu
 
Alikuwa kwenye kampeni nyanda za korosho yapaswa tbccm watujuze
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…