Watanzania tuelezwe ni wapi alipo Rais wetu Mpendwa John Magufuli, ni haki yetu kujua

Status
Not open for further replies.
Uliona au ulihadithiwa.? Tafuta clip uone kama aliitwa tu akaanza kufokewa bila kuulizwa.
 

Kama amefanya Mema mengi unafikiri ni kwa nini wafurahie Habari mbaya juu yake Mkuu ?
 
Huyu kigogo ashtakiwe kwa uhaini.simpendi magufuli kwa baadhi ya matendo yake lakiini kumuombea kifo huo ni zaidi ya unyama.
...hakika mkuu kumtangazia kiongozi mkuu wa nchi uzushi wa namna hii nisawa na uhaini...sheria ichukue mkondo wake ili iwe fundisho kwa wapumbavu wengine
 
Siku hizi Twitter ni zaidi ya Facebook na Instagram imekuwa na umbea, uzushi wa kutosha

Kwa taarifa yenu Rais Yuko imara zaidi ya siku zote

Endeleeni kuota anapiga miaka 10 net halafu anaacha jembe
 
Nawashangaa sana vijana chuma kipo fiti tulieni moto uwaingie ,Mungu yuko na sis daima#ImaraDaima
 
Akishika Samiha anawatoa wote
Watajimwambafaia wapi sijui.Mtu aliyeelimika utazama kesho yake.Suleman Jaffo,Jokate,Mtaka ni hazina bora ya kesho,malaya wa kisiasa watafurushiwa madirishani
 
Hata JK aliwahi kuombewa itikafu ili afe, ila leo tunaambiwa na rais bora kuwahi tokea. Hakuna jipya kwa akili za watanzania
 
Siku hizi Twitter ni zaidi ya Facebook na Instagram imekuwa na umbea, uzushi wa kutosha

Kwa taarifa yenu Rais Yuko imara zaidi ya siku zote

Endeleeni kuota anapiga miaka 10 net halafu anaacha jembe
Asante

Ila aki R.I.P Unitag mkuu
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…