Watanzania tuelezwe ni wapi alipo Rais wetu Mpendwa John Magufuli, ni haki yetu kujua

Watanzania tuelezwe ni wapi alipo Rais wetu Mpendwa John Magufuli, ni haki yetu kujua

Status
Not open for further replies.
Kuna wahuni na baadhi ya wanasiasa tuliowaheshimu wameonesha kushangilia tetesi hizo! Tabia za kichawi kabisa hata kama huwangi usiku.

Rais wetu ametenda mambo makubwa na yenye manufaa kuliko madhaifu mnayomhukumu nayo na kumtakia mabaya.

Serikali itoe taarifa rasmi badala ya kuacha redio mbao ziendelee kulisha jamii chuki na tabia mbaya kabisa kuombeana mabaya kwa matamanio binafsi.

Ukweli haupiganiwi bali unajipigania.
TAL Yuko wapi? Hajuna ajabu kwa mtu yeyote kutoweka iwapo alihusika kutowesha wenzake.
 
Muda mwengine wapuuzi unawaacha tu waendelee na upuuzi wao sio kila jambo unawajibu... Watakuwa wanakuendesha kwa upuuzi wao
 
Chuma kipo dodoma kimetulia waodhani meli ya mgiriki itatia nanga watasubiri wao
Hivi inakuaje mtu yeye muda wote anafuatilia other people’s businesses ?
When do you get time to work on yourselves and your dreams?

Most Tanzanians are mentally sick people.
 
Kuna mijitu mijinga sana, yaani wewe Raisi usipomuona lazima uambiwe??? huu ni utoto kabisa, Rais ni taasisi kubwa na anaweza akawa na majukumu mengine makubwa yakitaifa ambayo si lazima utangaziwe au uambiwe, anaweza kujipa mapumziko hata ya siku tatu, nne na wasaidizi wake wakawa kazini hizi ni siri za taasisi na watu wa protocal hebu tuache ujinga wa huko tweeter..

Kuna watu wameamua kujipa ajira ya upotoshaji huko tweeter na kugeuza mijitu kuwa mijinga na kupoteza muda huko tweeter kama mipumbavu...
 
Ohooooooooooooo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kumbe wanapima umbeya wa mitandao ha ha ha haaaaaa khaaaaaaaaaaa dah
 
Ikawa asubuhi ikawa jioni, siku ya pili.
IMG_20191019_160616.jpeg
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom