Watanzania tuelezwe ni wapi alipo Rais wetu Mpendwa John Magufuli, ni haki yetu kujua

Status
Not open for further replies.
Mafisadi Wazalendo nao vipi?
 
Pamoja na akili zako kuwa ndogo!hapo umekosa sana!katubu
Mbona nyie wale mnaowapa lebo ya "usaliti" mnataka kuwatanguliza haraka haraka, yoyote anaye stahili kufa na mtoa roho israel afanye kazi yake haraka bila kubagua, wengi wameshatangulia na wote tuko njiani japo kuna wengine wanajitahidi sana kuwahisha wenzao wakizani wao wanaspecial permit ya kutoka aliye juu kuishi milele.
 
Zitto ndiye Kigogo na Kigogo ndiyo Zitto mkuu !!

Huyu kigogo ni mtu anayejijua mwenyewe tu, kila siku tunasikia watu wana guess mara huyu mara yule. Kigogo2014 popote ulipo zama kichakani zaidi na kamaflage ya hari juu ukiwachora tu na kututupia madini.
 
Mafisadi Wazalendo nao vipi?
 
Bila kuwasahau mabeberu na wapiga dili, RIP jiwe
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…