Watanzania tuelezwe ni wapi alipo Rais wetu Mpendwa John Magufuli, ni haki yetu kujua

Status
Not open for further replies.
Ni kama vile tumeshaingia ukumbini na tunasubiri director aanze kutuonesha senema ya kuogofya sana...
Kila mtu yuko kimya ukumbini... Hofu na sintofahamu vikiwa vimetanda... Senema haiji... Wana propaganda na wazee wa kurekebisha wako kazini kuhakikisha wapenzi watazamaji hawataruki senema ya kutisha sana itakapoanza..
Wapiga mayowe hayaa
Wapaparikaji haya
Washangiliaji hayaa
Wapiga vifijo nderemo na mahamham wote hayaa
Wapiga kwikwikwi wote mule mule
Director tuna hamu ya kuona muvi... Usitusubirishe sana
Naelekea kwa mama muuza
 
Ngoja waje
 
Off topic.....Vyakula vya misibani sijui kwanini huwa vina ladha..pilau la msibani jamani ni tamu kweli kweli!
Bdw nimemis tu pilau..

Utatangulia wewe hata kabla ya huyo unaye mwombea kifo....idiot
 
Ukiona kelele nyingi namna hii ujue sindano na dawa inawaingia vizuri wale wote waliokuwa wanawaibia Watanzania na kupata mpunga bila kufanya shughuli yoyote ya maana. Hapa Kazi Tu kama hufanyi kazi na usile. Safi sana JPM hadi pale nchi hii itakapokuwa imepiga maendeleo yanayoendena na umri wake.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…