Watanzania tuelezwe ni wapi alipo Rais wetu Mpendwa John Magufuli, ni haki yetu kujua

Status
Not open for further replies.
Mbona Mkuu Kipara kipya, unanung'unika sana??

Hii post ina uhusiano wowote na tetesi zinazoendelea kusambaa kwenye mitandao ya kijamii??
 
Ni kweli mkuu hawa wachawi wanapita mitaaani wanasema Mzee Nyerere hakufanyakitu kwa maendeleo ya Tanzania ,sasa tuwaulize mbona walisomeshwa bure ,yaani kuanzia chupi,gagulo,kaniki,penseli ,uji unaukuta shuleni leo hii walimu ndio wanaowafanyia wanafunzi mitihani na wao wanashangilia,kwa kweli hawa ni wachawi inabidi wapate naomba,nyerere alikuwa na kiwanda cha viatu a.k.a Bora ,leo hii wao wanaongopa kwa kiwanda cha gabacholi si uchawi huo jamani!!
 
Mtu alikua katika ziara, ameamua ajipe mapumziko, huku nje tayari watu wanaongea, au mnataka mmuone kila siku! Mwacheni mzee wa watu nae ale bata
Sikh zote mbona huwa anaenda likizo Chattle kwa kujimwambafai ktk luninga? Kwann iwe siri sasa?
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…