Watanzania tuelezwe ni wapi alipo Rais wetu Mpendwa John Magufuli, ni haki yetu kujua

Status
Not open for further replies.

Mie nilishaamua na kuchagua kuwa na roho nzuri. Na ndio naendelea kujifunza kuendelea kuwa hivyo diku zote za maisha yangu.

Kuwa na roho mbaya kwangu ni mzigo sana, siwezi kuubeba.

Lakini ukiona roho mbaya inakusukuma kufurahia na kuamini tetesi ujue inaelekea hatua mbaya zaidi, inaweza kuwa uchawi.
 
Huu ni mfano wa kibwege kishamba kijinga sana, watanzania wabobezi wapo UK ipi? acha ujinga wako acha kuvuta Bangi kisha kutengeneza propaganda za kiwendawazimu ukazani watanzania ni wajinga kama wewe, hakuna asiyejua mabaya aliyotendewa Tundu lisu na wote wanafahamu bila ubaya wenu unyama wenu Tundu lisu leo hii asingekuwa huko alipo sasa, mungu ni mwema na malipo ni hapa hapa Duniani
 
Kwani kimsingi ukipitia maandiko yao yoote kuna aliyemtaja mkulu. Au na wewe unahishis tuu?πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…